wax
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 5,940
- 5,746
Hii ipo TZ tu mwizi anaitwa jembe!
Kima ww una ushahidi nenda mahakamani
Hii ipo TZ tu mwizi anaitwa jembe!
mm.kilicho ni kera sana ni wale makamanda wa shy ambao ndio walikuwa wahasichaji wazuri wa cdma shinyanga na kuaminiwa na wana shinyanga sasa nao wamegeuka na kuwasaliti wana wa shinyanga halali.yao kuzomewa aa
Kima ww una ushahidi nenda mahakamani
Hii ipo TZ tu mwizi anaitwa jembe!
mimi hao act naona wanabendera nyingi kuliko wanachama
Alipokuaminisha ndipo ukafanyaje? Bac ikiwa umechukia acha povu karuka tena karuka matunda hakufikia,sitaki mbichi hizi....tumwambie kamanda SLAA atuonyeshe ushahidi kwakile siku zote alituaminisha kuwa lowassa ni fisadi
Wewe ndiye uliyetwambia