ACT-Wazalendo watikisa Mkoa wa Tanga leo

ACT-Wazalendo watikisa Mkoa wa Tanga leo

Mwenyekiti W ameshafungua mkutano na sasa ni maombi kutoka kwa mchungaji na Shehe.
 
Jamaa anasema ACT WAZALENDO wamekuja kutafuta vijiji 103 vilivyoko mikono mwa CCM na sio vijiji vilivyochukuliwa na upinzani tofauti na wanavyosema wanapropaganda.
 
Mjumbe wa kamati kuu mama Terry ndo anapanda jukwaani. Mama huyu hujulikana kama mama ushauri anaesema kupitia kipindi cha mama ushauri ITV.
 
Anaelezee historia ya elimu na uanaharakati wa kimageuzi wa wabondei wa Muheza.
Anasema kama mtu anaachana na mkewe sembuse chama?

Chamsingi maendeleo.
Wanamuheza c manamba wanataka maji wamechoka na wanataka maendeleo sasa.
ACT hawataki kugawa kura hapana wanataka wale ambao hawakujiandikisha wajiandikishe na wawapigia kura ACT.
 
Mjumbe wa kamati kuu mama Terry ndo anapanda jukwaani. Mama huyu hujulikana kama mama ushauri anaesema kupitia kipindi cha mama ushauri ITV.
Kamanda tupe updated tunakutegemea sisi wengine tupo mbali Karatu huku.
 
Vyama vyengine vipo na wajue pia kuwepo kwa vyama hvyo visidhani kwamba vyama vyengine havina haki ya kuwepo~ mama Terry.
 
Sasa Afande sele.
Yeye anasema anajisikia furaha kwamba yupo nyumbani kwani hapa ni sawa na Mo Town.
Yeye hajawah kuimba mapenzi yeye ni mwanamageuzi tangu siku nyingi.
 
Anasema kwamba Tz gaina mgawa sawa wa malisili za taifa na zitto amekuwa mstari wa mbele kuwapigania wananchili taifa liondokane na umaskini.
 
Ikiwa kuna mheshimiwa manake pembeni kuna mdharauliwa. Sisi hatuitani waheshimiwa kuonyesha usawa wetu.
 
ACT Wanapingwa MUSWADA WA KULIPWA WABUNGE KIINUA MGONGO CHA M238.
 
Zitto hajawah kuchukua posho la laki 3 tangu ameingia bungeni mpaka anaondoka.
 
Dah Afande Sele nimeshindwa kunukuu maneno yake yote manake yote ni dhahabu tupu.
 
Jamaa anasema ACT WAZALENDO wamekuja kutafuta vijiji 103 vilivyoko mikono mwa CCM na sio vijiji vilivyochukuliwa na upinzani tofauti na wanavyosema wanapropaganda.

Hili ndilo tunalolitaka na iwe hivyo maeneo mengine,nafahamu ana heshima kidogo kwa Lipumba na CUF .Afahamu kuwa CCM haina urafiki linapokuja swala la kugombea nafasi za ubunge ,udiwani na uraisi ,tuko pamoja namuombea asiropoke mambo ya kutenga watanzania.
 
Dah mkutano umeisha cm ilizima chaji lakini nitajitahdi kuwawekea picha inayonyesha nyomi pamoja na video.
 
Back
Top Bottom