Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,498
- 51,092
ACT walidhani kuwa maadam wamo katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa huko Zanzibar, basi labda CCM wangeanza kuwatreat fairly.
Lakini wakasahau kuwa CCM kimeshakuwa chama cha dhulma, kama kiliwadhulumu mara ya kwanza, mara ya pili, mara ya tatu n. k kitaendekea kuwadhulumu mpaka itokee nguvu ya kukomesha dhulma hiyo.
Sasa juzi wameshiriki uchaguzi huko Konde, wamefanyiwa michezo ileile ya kihuni.
Huko Kigoma pia wakishiriki uchaguzi, wakalialia kufanyiwa michezo ya ajabu kabla ya baadae kutoa ripoti ya kujikosha.
Hawa jamaa wa ACT kiukweli kabisa kukubali kwao kushiriki kwenye ile serikali ya Zanzibar kulinyong'onyesha mapambano ya wananchi kudai katiba mpya yenye tume huru za chaguzi ndani yake.
Kiufupi kilichofanyika katika makubaliano yale ni tamaa tu ya madaraka ya baadhi ya watu, na pia inasemwa kuwa kuna watu walihakiishiwa kuwa kwenye payroll ya Serikali ili wabariki dhulma ile, na sote tunaona wametulia tuli!
Watanganyika na Wazanzibar bila kuungana na kudai katiba mpya hawa CCM wataendelea kufanya uhuni wao uleule
Hizi Chaguzi za marudio zituonyeshe tu uchaguzi wa 2025 utakuwaje kama hakuna mabadiliko yoyote ya msingi katika hizi tume.
Lakini wakasahau kuwa CCM kimeshakuwa chama cha dhulma, kama kiliwadhulumu mara ya kwanza, mara ya pili, mara ya tatu n. k kitaendekea kuwadhulumu mpaka itokee nguvu ya kukomesha dhulma hiyo.
Sasa juzi wameshiriki uchaguzi huko Konde, wamefanyiwa michezo ileile ya kihuni.
Huko Kigoma pia wakishiriki uchaguzi, wakalialia kufanyiwa michezo ya ajabu kabla ya baadae kutoa ripoti ya kujikosha.
Hawa jamaa wa ACT kiukweli kabisa kukubali kwao kushiriki kwenye ile serikali ya Zanzibar kulinyong'onyesha mapambano ya wananchi kudai katiba mpya yenye tume huru za chaguzi ndani yake.
Kiufupi kilichofanyika katika makubaliano yale ni tamaa tu ya madaraka ya baadhi ya watu, na pia inasemwa kuwa kuna watu walihakiishiwa kuwa kwenye payroll ya Serikali ili wabariki dhulma ile, na sote tunaona wametulia tuli!
Watanganyika na Wazanzibar bila kuungana na kudai katiba mpya hawa CCM wataendelea kufanya uhuni wao uleule
Hizi Chaguzi za marudio zituonyeshe tu uchaguzi wa 2025 utakuwaje kama hakuna mabadiliko yoyote ya msingi katika hizi tume.