clain casparian
Member
- Feb 19, 2015
- 11
- 3
Umexhasema n ACT hicho n chama kilicho jipanga na kina malengo ya kupata wabunge wengi hvyo mikutano inayofanywa n kujipanga kwao kama vyama vyenu. Havijajipanga huko huko cyo wazalendo ww
Wakati kunavyama vina miaka zaidi ya 10 vimeshindwa kufanya mikutano hata mkoa mzima.
Nyie hamna wabunge wala madiwani wanaokichangia chama.
Kama Zitto aliweza kutangaza mali alizonazo na amezipata vipi, kwanini ameshindwa kutueleza pesa za kuendesha chama zinapatikana wapi?
Wadhamini wa chama ni akinanani.
Kama mtanzania nahitaji majibu?
elewa kwamba mmi sio mwanasiasa wala mwanachama wa chama chochote kile hivyo naongea juu ya kile ninachokiona
Nudgu mimi ni mtumishi wa umma hivyo sheria hainiruhusu kufanya hivyo, so naitakia kila la kheri ACT kwenye safari yake ya mafanikioACT inawahitaji sana watu kama nyie ambao hamjaamua kujiunga na chama chochote.....ACT ina imani kuwa huenda moja ya sababu ya kutokujiunga na chama chochote ni kuwa hadi sasa hamjaona chama chenye malengo chanya kwa taifa hili, kutokana na hivyo basi ACT imeletwa ikiwa na muundo, sera na malengo yatakayowavutia sana watu kama wewe.
Karibu ACT
Wakati kunavyama vina miaka zaidi ya 10 vimeshindwa kufanya mikutano hata mkoa mzima.
Nyie hamna wabunge wala madiwani wanaokichangia chama.
Kama Zitto aliweza kutangaza mali alizonazo na amezipata vipi, kwanini ameshindwa kutueleza pesa za kuendesha chama zinapatikana wapi?
Wadhamini wa chama ni akinanani.
Kama mtanzania nahitaji majibu?
Siasa ni game, act ni player... Funded by other politicians, wakichokwa watatoswa Kama mrema alivyotoswa
Mkuu [MENTION]BAK [/MENTION] , nilikua nakutahdharisha tu kuwa uwe makini. Hata kama unapishana kimawazo na ZZK, lakini jamaa kwa sasa ndio habari ya mujini. Tuungane nae kuleta mabadiliko ya kweli.
Wakati kunavyama vina miaka zaidi ya 10 vimeshindwa kufanya mikutano hata mkoa mzima.
Nyie hamna wabunge wala madiwani wanaokichangia chama.
Kama Zitto aliweza kutangaza mali alizonazo na amezipata vipi, kwanini ameshindwa kutueleza pesa za kuendesha chama zinapatikana wapi?
Wadhamini wa chama ni akinanani.
Kama mtanzania nahitaji majibu?
Mbona majibu yako wazi? Zitto kaondoka CHADEMA, kaondoka na lundo la wanachama wa CHADEMA na sehemu ya Wazungu ambao wamekuwa wanafadhili M4C na fujo mbalimbali za akina Tundu nchini. Mbowe na Slaa wanalijua hilo: Zitto kaondoka na baadhi ya Wazungu wanaofadhili upinzani Afrika. Umeelewa!
Wakati kunavyama vina miaka zaidi ya 10 vimeshindwa kufanya mikutano hata mkoa mzima.
Nyie hamna wabunge wala madiwani wanaokichangia chama.
Kama Zitto aliweza kutangaza mali alizonazo na amezipata vipi, kwanini ameshindwa kutueleza pesa za kuendesha chama zinapatikana wapi?
Wadhamini wa chama ni akinanani.
Kama mtanzania nahitaji majibu?
Mkuu acheni kutafuta visingizio,.......michango ya wanachama na wapenzi wa wachama inatosha kuendesha hiyo mikutano, pia kuna huduma ya vodacom abayo mtu yoyote anaweza kuomba tune ya chama na akachangia kidogo kama 200...mdogo mdogo mambo yanakaa sawa.
Mimi naupenda huo uzalendo, lakini kama kweli ninyi ni wazalendo, wekeni hapa chanzo chenu cha mapato. Naona chama chenu kilianza zamani kidogo lakini hakikupata kufanya mambo hadi siku kiongozi wenu mkuu alipochukua kadi na kupewa uongozi ndipo tukaanza kuona harakati. Je, ZZK ndiye ACT? Je, mna ujasiri wa kutueleza mnapata wapi mapato yenu kwa ghafla namna hiyo? Kwa nini tuwaamini?Ungana na Wazalendo kwenye mkutano unaofanyika katika viwanja vya furahisha Mwanza LIVE kupitia RFA kuanzia saa 11
ACT WAZALENDO, TAIFA KWANZA, TURUDI KWENYE MISINGI
Nimeipenda sana hii kwani fedha hizi zinatoka kwa Mwigulu na lazima tujue mwigulu anazipata wapi? Pia kambi iliyo chini ya Rostam inatoa fedha nyingi sana kwa huyu MSALITI na MPENDA PESA.Wana visima vinaitwa hazina na kingine kinaitwa Rostam Aziz, wanajichotea tu za kutosha. Kamwe hawawezi kuelezea vyanzo vyao vya mapato halali kwa sababu hakuna kitu kama hicho.
Mkuu BAK , nilikua nakutahdharisha tu kuwa uwe makini. Hata kama unapishana kimawazo na ZZK, lakini jamaa kwa sasa ndio habari ya mujini. Tuungane nae kuleta mabadiliko ya kweli.
Jamaa kaomba Million 700 za mikutano, matangazo na wanahabari kwenye vyombo mbalimbali vya habari na huku kwenye mitandao ya kijamii. Wameajiriwa wengi sana nadhani ajira hizo ni kati ya zile millioni moja JK alizosema.