ACT-Wazalendo: Maridhiano ya funika kombe tunayakataa, hatutatumika

ACT-Wazalendo: Maridhiano ya funika kombe tunayakataa, hatutatumika

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu, ameweka msimamo mzito kuhusu mchakato wa maridhiano nchini, akisisitiza kuwa chama hicho hakitashiriki katika mazungumzo yoyote ya "ulaghai" yanayolenga kufunika makosa yaliyotokea wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.

Akizungumza kwenye kikao cha viongozi wa chama cha ACT Wazalendo kilichofanyika Januari 8, 2026 Jimbo la Lindi Mjini katika ukumbi wa Gafu, Kata ya Makonde mkoani Lindi, Semu amesema maridhiano ya kweli lazima yasimame kwenye misingi ya haki, uadilifu, na kukiri kwa makosa yaliyofanywa dhidi ya raia.

Kiongozi huyo aliongeza kuwa maridhiano ya dhati yanapaswa kuambatana na mageuzi ya kimuundo katika mifumo ya kijamii, kisiasa, na kiuchumi ambayo imekuwa chanzo cha migogoro nchini. Amesema kuwa ACT Wazalendo itakuwa mstari wa mbele kudai maridhiano jumuishi yanayoheshimu utu wa kila Mtanzania badala ya kutumika kama chombo cha kuhalalisha dhuluma.

Semu alitumia fursa hiyo kutoa pole kwa wanachama na wakazi wa Lindi waliokumbwa na madhila wakati wa uchaguzi, akihimiza umoja na mshikamano katika kuendelea kupigania haki za raia


 
Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu, ameweka msimamo mzito kuhusu mchakato wa maridhiano nchini, akisisitiza kuwa chama hicho hakitashiriki katika mazungumzo yoyote ya "ulaghai" yanayolenga kufunika makosa yaliyotokea wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.

Akizungumza kwenye kikao cha viongozi wa chama cha ACT Wazalendo kilichofanyika Januari 8, 2026 Jimbo la Lindi Mjini katika ukumbi wa Gafu, Kata ya Makonde mkoani Lindi, Semu amesema maridhiano ya kweli lazima yasimame kwenye misingi ya haki, uadilifu, na kukiri kwa makosa yaliyofanywa dhidi ya raia.

Kiongozi huyo aliongeza kuwa maridhiano ya dhati yanapaswa kuambatana na mageuzi ya kimuundo katika mifumo ya kijamii, kisiasa, na kiuchumi ambayo imekuwa chanzo cha migogoro nchini. Amesema kuwa ACT Wazalendo itakuwa mstari wa mbele kudai maridhiano jumuishi yanayoheshimu utu wa kila Mtanzania badala ya kutumika kama chombo cha kuhalalisha dhuluma.

Semu alitumia fursa hiyo kutoa pole kwa wanachama na wakazi wa Lindi waliokumbwa na madhila wakati wa uchaguzi, akihimiza umoja na mshikamano katika kuendelea kupigania haki za raia



ANA UHAKIKA ANACHO KINENA? ZITTO KABWE ANASEMAJE KATIKA HILO?
 
mhh sasa mpaka ACT hawataki maridhiano, Itabidi CCM waridhiane na Jeshi tu kama kawaida yao
Hawakutegemea wananchi wangeweza kuandamana, na wakadhani kwakuwa cdm wamegoma kushiriki wao wangeonewa huruma na ccm. Sasa wamejua kuwa msimamo wa cdm ndio ulikuwa wa wananchi, hivyo na wao sasa hivi inabidi wafuate msimamo wa cdm, kwani ndio yenye imani ya umma.

Ile voters turn out imewatisha, hawakujua kuwa wao pamoja na ccm hawana ushawishi wa umma kiasi kile. Hivyo ili wasipoteze kabisa kwenye umma, inabid kucheza bit za cdm.
Tlaatlaah ERTUGRUL BEY HAYA LAND HOV stakehigh
 
Mbona ni kama CHADEMA tu, kwa nini hawakuungana tangu mwanzo kuukataa ule uchaguzi, si wangefanikiwa pakubwa kuleta mageuzi? ACT hawana msimamo
wangepata wabunge wa2-3 usingesikia hii kitu. Walikua na ndoto ya kuwa chama kikuu cha upinzani, sasa wameona uelekeo ni kule vilipo vyama vya ccmB
 
wangepata wabunge wa2-3 usingesikia hii kitu. Ealikua na ndoto ya kuwa chama kikuu cha upinzani, sasa wameona uelekeo ni kule vilipo vyama vya ccmB
ACT walishindwaje kujua wananchi wanataka nini? Wenzao CHADEMA wanajua kusoma nyakati, wanaelewa wananchi wanataka nini na wanacheza na biti la wananchi bampa tubampa.
 
Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu, ameweka msimamo mzito kuhusu mchakato wa maridhiano nchini, akisisitiza kuwa chama hicho hakitashiriki katika mazungumzo yoyote ya "ulaghai" yanayolenga kufunika makosa yaliyotokea wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.

Akizungumza kwenye kikao cha viongozi wa chama cha ACT Wazalendo kilichofanyika Januari 8, 2026 Jimbo la Lindi Mjini katika ukumbi wa Gafu, Kata ya Makonde mkoani Lindi, Semu amesema maridhiano ya kweli lazima yasimame kwenye misingi ya haki, uadilifu, na kukiri kwa makosa yaliyofanywa dhidi ya raia.

Kiongozi huyo aliongeza kuwa maridhiano ya dhati yanapaswa kuambatana na mageuzi ya kimuundo katika mifumo ya kijamii, kisiasa, na kiuchumi ambayo imekuwa chanzo cha migogoro nchini. Amesema kuwa ACT Wazalendo itakuwa mstari wa mbele kudai maridhiano jumuishi yanayoheshimu utu wa kila Mtanzania badala ya kutumika kama chombo cha kuhalalisha dhuluma.

Semu alitumia fursa hiyo kutoa pole kwa wanachama na wakazi wa Lindi waliokumbwa na madhila wakati wa uchaguzi, akihimiza umoja na mshikamano katika kuendelea kupigania haki za raia


Mazungumzo yanajadili AMANI bila haki
 
Hawakutegemea wananchi wangeweza kuandamana, na wakadhani kwakuwa cdm wamegoma kushiriki wao wangeonewa huruma na ccm. Sasa wamejua kuwa msimamo wa cdm ndio ulikuwa wa wananchi, hivyo na wao sasa hivi inabidi wafuate msimamo wa cdm, kwani ndio yenye imani ya umma.

Ile voters turn out imewatisha, hawakujua kuwa wao pamoja na ccm hawana ushawishi wa umma kiasi kile. Hivyo ili wasipoteze kabisa kwenye umma, inabid kucheza bit za cdm.
Tlaatlaah ERTUGRUL BEY HAYA LAND HOV stakehigh
tunaweza kubishana sku nzima kuhusu ccm na chadema, ila ukitaka kujua wananchi wanahisia gan kuhusu chadema nenda kaangalie kwa kiongozi yoyote akipost kule X comments za wananchi zikoje
 
ANA UHAKIKA ANACHO KINENA? ZITTO KABWE ANASEMAJE KATIKA HILO?
Bila shaka hakumbuki kuwa vyeo vya uteuzi katika nafasi mbalimbali bado vipo; hasa kwenye balozi na mahali kwingineko' kama ukuu wa mkoa au wilaya.

Huyu mama mara nyingi ansahau kuwa yeye yupo hapo kama pambo tu, pamoja na kuwa na misimamo imara kabisa. Sijui huko ACT alifuata nini hasa!

Hivi OMO na Jecha kule Zanzibar wanasemaje; bado wanaendelea na nafasi zao kwenye serikali ya Umoja?
 
tunaweza kubishana sku nzima kuhusu ccm na chadema, ila ukitaka kujua wananchi wanahisia gan kuhusu chadema nenda kaangalie kwa kiongozi yoyote akipost kule X comments za wananchi zikoje
Huu ndio ujuha.
Kwa nini aende X wakati nchi hii ipo wazi. Waacheni CHADEMA wafanye kazi zao bila bughdha. Mwachieni Tundu Lissu, halafu uje hapa na kubwabwaja kama nguruwe asiyejuwa anachozungumzia.

Samia kuogopa ushiriki wa CHADEMA kwenye uchaguzi nako ulisubiri kwenda X kuona jinsi hao viongozi wako wanavyo post takataka huko?

Akili zako zimekuwa za kitoto sana.
 
tunaweza kubishana sku nzima kuhusu ccm na chadema, ila ukitaka kujua wananchi wanahisia gan kuhusu chadema nenda kaangalie kwa kiongozi yoyote akipost kule X comments za wananchi zikoje
Hoa wanaccm mmewaingiza na id kumi kumi mnadhani hatujui hali hiyo? Uhalisia ulikuwa juzi kwenye uchaguzi, ile voters turn out iliongea kila kitu. Huko X hao uvccm hadi wamekuwa kama wajinga, wanaleta habari za kutunga kuwa viongozi wa RC na cdm wana watoto wa nje. Wote wanaigana kuhusu uzushi mnaowapa! Kama wana content kwanini kila mmija asiwe na mawazo yake, badala ya kurudia kitu hicho hicho cha mwenzake?
 
Itakuwa Zitto anakupelekeaga moto choko, kwani hakuachiagi ya matumizi mpaka unamuonea wivu mke mwenza

INAONEKANA MCHEPUKO UMEGUSWA BWANA AKO KUTAJWA. TUACHE WANAUME TUNA MAONGEZI. NYIE WANAWAKE MNAWEZA MIPASHO TU NA MANYONYO YAKO KAMA FUKO LA TAKA.
 
Mzee wangu LMG aliwahi sema kuwa chama cha siasa ni watu.
CCM wanadai wana mtaji wa wanachama milioni 10.
CHADEMA wanadai wana wanachama milioni 10.
CHADEMA walikuja na NRNE.
Turn out ya voters GE29 ni chini ya milioni 4.

Hapo tunaona kuwa hata hao wanachama wa CCM kwa wingi, wanawasikiliza na kufuata maamuzi ya viongozi wa CHADEMA.
tunaweza kubishana sku nzima kuhusu ccm na chadema, ila ukitaka kujua wananchi wanahisia gan kuhusu chadema nenda kaangalie kwa kiongozi yoyote akipost kule X comments za wananchi zikoje
 
Back
Top Bottom