Just Pray
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 2,142
- 4,777
Chama cha ACT Wazalendo kimejitokeza na kujibu kauli ya katibu mwenezi wa ACT WAZALENDO Mkoa wa Dar es Salaam, Bi Monalisa Ndala, kuhusu madai ya kujiunga kwa aliyekuwa Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina, na chama hicho.
Makamu Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Bara, Mchinjita, Isihaka Machinjita, amesema Mpina si mgeni ndani ya chama kwani alijiunga nacho muda mrefu uliopita na tayari ni sehemu ya harakati zao. Amesisitiza kuwa chama hicho kipo wazi kwa viongozi na wananchi wote wanaotaka kushirikiana katika kuleta mabadiliko ya kweli nchini.
Makamu Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Bara, Mchinjita, Isihaka Machinjita, amesema Mpina si mgeni ndani ya chama kwani alijiunga nacho muda mrefu uliopita na tayari ni sehemu ya harakati zao. Amesisitiza kuwa chama hicho kipo wazi kwa viongozi na wananchi wote wanaotaka kushirikiana katika kuleta mabadiliko ya kweli nchini.