PreGE2025 ACT- WAZALENDO lieni kimyakimya msipige kelele

PreGE2025 ACT- WAZALENDO lieni kimyakimya msipige kelele

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
ACT na CHAUMA ni kama chatu, kazi yao kumeza wengine kwa manufaa ya ccm.

Ila CHAUMA watapata taabu sana maana lengo lao limejulikana kabla hawajaanza
Itabidi ccm igawane na chauma baadhi ya majimbo na kama wewe ni mwanaccm unataka jimbo la chauma basi huna budi kwenda chauma ili ushinde, maana bila shaka mamlaka za juu zimeshaamua jimbo lipi na lipi ni la chauma.
 
jamaa wana propaganda za kisenge sana yaani

and it is getting old

sasa wamegeukia Chaumma

the same way,watapitwa sasa hivi!
Changamoto kubwa kwenye hivi vyama vya siasa hapa nchini vina watu wengi wenye akili ndogo.

Haiwezekani mtu/watu ukae nao miaka zaidi ya 10 unawasifu kila siku tena kwa mapambio ya kila aina.

Ghafla kuja kuondoka wageuke jina ghafla na kuonekana kuwa walikuwa hamnazo.

Lazima tujue kitu mtu huwa habadiliki ghafla kufanya ujinga kama hajauzoea huo ujinga hata kwa siri.

Narudia tena mwanasiasa yeyote yule duniani kwanza hutanguliza maslahi yake au ya wale wanaompa nguvu halafu ndio maslahi ya watu yanafata.

Kuthibitisha hili jikumbushe ishu ya tarrifs kati ya CHINA na USA je Trump alibana kote kwa rungu la tarrif au kuna sehemu alilegeza.

Natamani sana CCM wabadilike wamfae kila mwananchi na nchi kwa ujumla ila kwa aina ya watu wengi waliopo katika siasa za upinzani safari bado ndefu.

Hizi shutuma za usaliti zinazomuandama MBOWE sasa hivi ni siasa ambazo alizipanda yeye mwenyewe na anazivuna sasa hivi kwahyo wala asione wanamkosea wenzie.

Ila tu na Lissu nae ajiandae kikombe kilekile alichomnyweshea Mbowe nae atakinywea tuombeni uzima muda utakuja kuwa shahidi.

Pale Chadema miaka yote ya MBOWE alipokuwa mwenyekiti ilionekana yeyote anaegombea katumwa na CCM na ni msaliti propaganda iliyomgeukia MBOWE mwenyewe.

Kwahyo atakaefata kuchukua kiti baada ya Lissu kama kutakuwa na mtifuano wa uchaguzi basi hili suala la usaliti lazima liendelee.

Interview iliyommaliza MBOWE ni ile aliyoifanya LISSU na BBC akasema mwenyekiti toka atoke jela amebadilika.KAZI IKAWA IMEISHA.

LISSU alimuita MAGUFULI dikteta uchwara hilo jina aliitwa na wanachadema wenzie.
 
Kazi mliyotumwa ya kuifubaza CUF mliifanya kwa weledi mkubwa sana kiasi kwamba kwasasa CUF si lolote si chochote mbele ya siasa za Tanganyika nachelea kusema na visiwani pia..!

Vema msijisahau kwamba ile ilikuwa ni kandarasi na mlilipwa.. Ilikuwa ni biashara japo ya kificho kwakuwa haikuwa na stakabadhi za malipo! Na kwa namna fulani mliinyima mamlaka ya mapato, mapato yake stahiki..

Kandarasi ikiisha kambi inafungwa.. Wahusika wanatawanyika.. Sasa tawanyikeni.. Kandarasi mpya si yenyu tena! Zali limemwangukia CHAUMIA

CHAUMIA ndio habari ya mjini kwasasa .. Kwenye kandarasi ya kuifubaza CHADEMA.. sijui watafanikiwa kwa kiasi gani lakini nijuavyo kwa hakika CHADEMA sio CUF

Nimeona mahali ACT wameanza kulia...someni alama za nyakati.. Kama macho hayaoni.. Basi masikio yenu yasikie
Uhakika kaka ACT watalia saana
 
20250523_170102.jpg
 
Changamoto kubwa kwenye hivi vyama vya siasa hapa nchini vina watu wengi wenye akili ndogo.

Haiwezekani mtu/watu ukae nao miaka zaidi ya 10 unawasifu kila siku tena kwa mapambio ya kila aina.

Ghafla kuja kuondoka wageuke jina ghafla na kuonekana kuwa walikuwa hamnazo.

Lazima tujue kitu mtu huwa habadiliki ghafla kufanya ujinga kama hajauzoea huo ujinga hata kwa siri.

Narudia tena mwanasiasa yeyote yule duniani kwanza hutanguliza maslahi yake au ya wale wanaompa nguvu halafu ndio maslahi ya watu yanafata.

Kuthibitisha hili jikumbushe ishu ya tarrifs kati ya CHINA na USA je Trump alibana kote kwa rungu la tarrif au kuna sehemu alilegeza.

Natamani sana CCM wabadilike wamfae kila mwananchi na nchi kwa ujumla ila kwa aina ya watu wengi waliopo katika siasa za upinzani safari bado ndefu.

Hizi shutuma za usaliti zinazomuandama MBOWE sasa hivi ni siasa ambazo alizipanda yeye mwenyewe na anazivuna sasa hivi kwahyo wala asione wanamkosea wenzie.

Ila tu na Lissu nae ajiandae kikombe kilekile alichomnyweshea Mbowe nae atakinywea tuombeni uzima muda utakuja kuwa shahidi.

Pale Chadema miaka yote ya MBOWE alipokuwa mwenyekiti ilionekana yeyote anaegombea katumwa na CCM na ni msaliti propaganda iliyomgeukia MBOWE mwenyewe.

Kwahyo atakaefata kuchukua kiti baada ya Lissu kama kutakuwa na mtifuano wa uchaguzi basi hili suala la usaliti lazima liendelee.

Interview iliyommaliza MBOWE ni ile aliyoifanya LISSU na BBC akasema mwenyekiti toka atoke jela amebadilika.KAZI IKAWA IMEISHA.

LISSU alimuita MAGUFULI dikteta uchwara hilo jina aliitwa na wanachadema wenzie.
Mkuu

kila unachoongea ni sahihi

Ila chadema kama taasisi wangetakiwa the most powerful man in the party ambae ni mwenyekiti akistaafu alindwe kama wanavyofanya maccm ndio maana hakipasuki

ila mstaafu yeyote chadema awe mwenyekiti au yeyote anatukanwa kama mavi

huwezi tukana mkuu wa chama mstaafu ambae infact ana watu nearly half ya chadema nzima halafu chama kibaki salama

kama ulivyosema,silaha uliyoitumia hiyo hiyo siku inakurudia mwenyewe

mbowe imemrudi na Lissu itamrudi...hii ni failure ya chama kujenga utamaduni wa kulinda most volatile position holders hasa uenyekiti

hapo hatuna chadema tena,2030 yatarudi haya haya

labda misingi ya Chaumma ibadilike waimprove probably
 
Mkuu

kila unachoongea ni sahihi

Ila chadema kama taasisi wangetakiwa the most powerful man in the party ambae ni mwenyekiti akistaafu alindwe kama wanavyofanya maccm ndio maana hakipasuki

ila mstaafu yeyote chadema awe mwenyekiti au yeyote anatukanwa kama mavi

huwezi tukana mkuu wa chama mstaafu ambae infact ana watu nearly half ya chadema nzima halafu chama kibaki salama

kama ulivyosema,silaha uliyoitumia hiyo hiyo siku inakurudia mwenyewe

mbowe imemrudi na Lissu itamrudi...hii ni failure ya chama kujenga utamaduni wa kulinda most volatile position holders hasa uenyekiti

hapo hatuna chadema tena,2030 yatarudi haya haya

labda misingi ya Chaumma ibadilike waimprove probably
Ngoja tuone yajayo.

Kwa upande wangu natamani Lissu awe huru aje kwenye mapambano ya siasa.

Ili kuweka mzani vizuri.
 
Back
Top Bottom