PreGE2025 ACT- WAZALENDO lieni kimyakimya msipige kelele

PreGE2025 ACT- WAZALENDO lieni kimyakimya msipige kelele

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Kwa CDM watu washaweka nukta,Yani mpaka mkoloni mweusi(CCM) anatoka.
Uzuri wajinga wengi wameondona CDM(maombi yamejibiwa it's natural selection),imebaki pure cream.

Mwalimu wangu wa Advance aliwahi sema,Ni Bora kutawala wajinga buku(1000) kuliko welevu/wasomi wawili.

Ndicho kinachoendwlea,plus generation ya 1990`S na vitoto vya 2000 ni hatari.
Si miaka mingi kita-happen maana mnajua watu wengi wanaokimbilia CDM ni very bright na reasonable people's.

HIVI MMEJIULIZA WALIOMFURUSHA MBOWE NI KINA NAN?
Tulieni haya mambo yanahitaji subra tu ila yapo njiani.
 
mkuu

naona waliokua wanawatukana wote wamesepa na wengine wanafuata

hivyo hawana wa kumtukana tena...

wanaendelea kumtukana MBOWE nae atasepa

wakimaliza watawarudia wenyewe kwa wenyewe ndani

naona wana kikao kesho,nadhani watatangaza kushiriki uchaguzi na No reforms no election wataizika rasmi....pamoja na hayo washachelewa tayari!
Hatushiriki huo uchaguzi, ni bora chama kife kuliko kushiriki huo upuuzi wenu. ACT sijui chaumma ni nothing kwa chadema, tunapambana na dola maana ccm as a political party tumewazidi ushawishi zamani sana.

So acheni ngonjera, chadema is here to stay. Its more than a party or cult, it's lifestyle.
 
Chaumma imekuja katika kipindi ambacho uelewa wa mambo kwa watanganyika siyo sawa na ule wa 2013 au 2014.
Hii chaumma project imeferi kabla haija kutekelezwa. Ni nani ataenda kuwasikiliza??
CHAUMMA ili iende mjini lazima Chairman atumike kwenye kampeni ya Urais.
 
Kazi mliyotumwa ya kuifubaza CUF mliifanya kwa weledi mkubwa sana kiasi kwamba kwasasa CUF si lolote si chochote mbele ya siasa za Tanganyika nachelea kusema na visiwani pia..!

Vema msijisahau kwamba ile ilikuwa ni kandarasi na mlilipwa.. Ilikuwa ni biashara japo ya kificho kwakuwa haikuwa na stakabadhi za malipo! Na kwa namna fulani mliinyima mamlaka ya mapato, mapato yake stahiki..

Kandarasi ikiisha kambi inafungwa.. Wahusika wanatawanyika.. Sasa tawanyikeni.. Kandarasi mpya si yenyu tena! Zali limemwangukia CHAUMIA

CHAUMIA ndio habari ya mjini kwasasa .. Kwenye kandarasi ya kuifubaza CHADEMA.. sijui watafanikiwa kwa kiasi gani lakini nijuavyo kwa hakika CHADEMA sio CUF

Nimeona mahali ACT wameanza kulia...someni alama za nyakati.. Kama macho hayaoni.. Basi masikio yenu yasikie
Kama Watanzania wapenda mabadiliko watakubali Chadema ife badi nitajuwa kiwango cha ujinga na ueleqa mdogo kipo juu.
 
Kazi mliyotumwa ya kuifubaza CUF mliifanya kwa weledi mkubwa sana kiasi kwamba kwasasa CUF si lolote si chochote mbele ya siasa za Tanganyika nachelea kusema na visiwani pia..!

Vema msijisahau kwamba ile ilikuwa ni kandarasi na mlilipwa.. Ilikuwa ni biashara japo ya kificho kwakuwa haikuwa na stakabadhi za malipo! Na kwa namna fulani mliinyima mamlaka ya mapato, mapato yake stahiki..

Kandarasi ikiisha kambi inafungwa.. Wahusika wanatawanyika.. Sasa tawanyikeni.. Kandarasi mpya si yenyu tena! Zali limemwangukia CHAUMIA

CHAUMIA ndio habari ya mjini kwasasa .. Kwenye kandarasi ya kuifubaza CHADEMA.. sijui watafanikiwa kwa kiasi gani lakini nijuavyo kwa hakika CHADEMA sio CUF

Nimeona mahali ACT wameanza kulia...someni alama za nyakati.. Kama macho hayaoni.. Basi masikio yenu yasikie
Mambo ccm inayowafanyia watanzania kama ingekuwa Kenya, ccm wote na serikali yao wangekuwa wameisha kimbia nchi. Yaani mahosipitalini hakuna dawa, sheleni hakuna walimu wala vitabu halafu mijitu inatumia kodi za wananchi kutengeneza vyama vya siasa fake, na kununuwa pikipiki na magari ya kijani. Halafu magari hayo yanatembea mitaani watanzania hata kuyawasha na kibiliti wanashindwa. Hivi na katuloga?
 
kesho wana kikao mkuu

nadhani watabadili gia angani watatangaza wanashiriki...

na pia wataizika no reforms no election kesho hiyo hiyo

pamoja na yote washachelewa tayari

maccm kupitia kwa mkuu wa tume washawapiga block hakuna kushiriki sababu hawajajaza form za maadili

cha ajabu,watakimbilia mahakamani....ambapo ni mahakama ya maccm wale wale...same results

hawa jamaa watakula kiburi chao wenyewe!

big mistake ni viongozi kumtukana mbowe bila hatia yeyote
Chadema ya saizi haina ndimi mbili.

Waliokimbia walilijua hilo na ndio maana wametimkia huko wanakoona watapata fursa ya kugombea.
 
M
ACT na CHAUMA ni kama chatu, kazi yao kumeza wengine kwa manufaa ya ccm.

CHAUMA watapata taabu sana maana lengo lao limejulikana kabla hawajaanza
Mkuu nchi hii labda ushindwe tu kutafakari tu. Zito Leo hii hata akiongea Hana ule ujasiri wake Tena mbele ya jamii sababu moyo wake unamsuta. Chadema ndiyo chama pekee Cha kweli Cha upinzani tanzania. ndiyo maana wanawindwa na kuuwawa Mara wanapigwa risasi. Na hii toka zamani. Wameuwawa kina ALFONCE MAWAZO. kina daudi mwangosi mbele ya uso wa Dr slaa iringa. Chadema washapigwa bomu ARUSHA kwenye mkutano wao na askari kwa maagizo wakafa watu. Wameuwawa kina Ben saanane. Mzee ally kibao. Sasa kila mwenye uelewa anajua wapinzani ni kina nani. Na ndiyo maana kila chama ambacho ni tawi la ccm hawaguswi na uzuri wananchi hawana mda nao Tena. Fikilia walioenda CHAUMA hakuna lolote kwa wananchi zaidi ya kutajwa kwenye mitandao na hao ccm tu. Raia wa kawaida washajua mbivu na mbichi wanawacheka tu na kusema wanaona watanzania ni wajinga eeeeh hahahahahahahaaa.
 
Labda tu Zitto huenda akaachiwa jimbo la Kigoma kama kifuta machozi!
Otherwise ACT ilitumika kama toilet paper na sasa imetupwa!
Wamemtafutia kesi ya madai.. Anadaiwa mabilioni na habinder sigh
 
Si mlishasusia uchaguzi mkuu, mnataka huruma ya nini? Tuliwaonya kuhusu kumfurusha Mbowe.
Nani kasusia uchaguzi.. Mmeshaeleweshwa sana nini maana ya NO REFORMS NO ELECTION.. lakini nadhani uelewa wa baadhi yenu bado ni finyu sana
 
Katika makosa ambayo Maalim(RIP) alifanya ni kuhamia ACT. Au pengine siyo makosa bali alijua anachokifanya kwa sababu hata kuingia kwenye serikali ya kupewa slesi ya mkate haijakaa sawa. Huwezi kushiriki kwenye serikali halafu hapo hapo ukajiita ni mpinzani wa hiyo serikali.

hiyo ni kwa point of view yako. ILa kwa point ya Maalim Seif na Taasisi yake walikuwa sahihi 100%
 
Hatushiriki huo uchaguzi, ni bora chama kife kuliko kushiriki huo upuuzi wenu. ACT sijui chaumma ni nothing kwa chadema, tunapambana na dola maana ccm as a political party tumewazidi ushawishi zamani sana.

So acheni ngonjera, chadema is here to stay. Its more than a party or cult, it's lifestyle.
Kufa hakifi,makapi yote yatoke wabaki CHADEMA pure Haiwezekani CHADEMA kiwe kinatumika kuhalalisha ujingaujinga unaoendelea nchini kwenye chaguzi zisizo huru.Lissu na wengine wakazie hapohapo.
 
Back
Top Bottom