Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,955
- 831,493
Kazi mliyotumwa ya kuifubaza CUF mliifanya kwa weledi mkubwa sana kiasi kwamba kwasasa CUF si lolote si chochote mbele ya siasa za Tanganyika nachelea kusema na visiwani pia..!
Vema msijisahau kwamba ile ilikuwa ni kandarasi na mlilipwa.. Ilikuwa ni biashara japo ya kificho kwakuwa haikuwa na stakabadhi za malipo! Na kwa namna fulani mliinyima mamlaka ya mapato, mapato yake stahiki..
Kandarasi ikiisha kambi inafungwa.. Wahusika wanatawanyika.. Sasa tawanyikeni.. Kandarasi mpya si yenyu tena! Zali limemwangukia CHAUMIA
CHAUMIA ndio habari ya mjini kwasasa .. Kwenye kandarasi ya kuifubaza CHADEMA.. sijui watafanikiwa kwa kiasi gani lakini nijuavyo kwa hakika CHADEMA sio CUF
Nimeona mahali ACT wameanza kulia...someni alama za nyakati.. Kama macho hayaoni.. Basi masikio yenu yasikie
Vema msijisahau kwamba ile ilikuwa ni kandarasi na mlilipwa.. Ilikuwa ni biashara japo ya kificho kwakuwa haikuwa na stakabadhi za malipo! Na kwa namna fulani mliinyima mamlaka ya mapato, mapato yake stahiki..
Kandarasi ikiisha kambi inafungwa.. Wahusika wanatawanyika.. Sasa tawanyikeni.. Kandarasi mpya si yenyu tena! Zali limemwangukia CHAUMIA
CHAUMIA ndio habari ya mjini kwasasa .. Kwenye kandarasi ya kuifubaza CHADEMA.. sijui watafanikiwa kwa kiasi gani lakini nijuavyo kwa hakika CHADEMA sio CUF
Nimeona mahali ACT wameanza kulia...someni alama za nyakati.. Kama macho hayaoni.. Basi masikio yenu yasikie