The Dictator
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 4,426
- 12,161
ACT Wazalendo kimelaani mapinduzi ya kijeshi nchini Niger na kusema kuondolewa kwa Serikali iliyochaguliwa kidemokrasia ni ukiukwaji mkubwa wa misingi ya demokrasia na utawala wa sheria.
Chama hicho kimelitaka jeshi kurejesha utawala wa kiraia.
~Swahilitimes
Chama hicho kimelitaka jeshi kurejesha utawala wa kiraia.
~Swahilitimes