Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo & Chadema undeni A Joint Electoral Intelligence Team (JEIT)

Sophist

Platinum Member
Mar 26, 2009
4,484
3,400
Huu ni ushauri kwa vyama husika - ACT Wazalendo na CHADEMA. Tunawashaurini kukaa, kubaliana (juu ya role, cooperation principles and operational modality) na kisha undeni JEIT iwasaidie kukusanya intelligence za uchaguzi wakati wa kampeni.

Lisha ichambue na kuwashauri namna ya kupanga na kutekeleza mipango/mikakati ya kampeini zenu, kufuatilia na kusimamia mwenendo wa uchaguzi siku ya kupiga kura, kuhesabu kura, kujumlisha kura na kutangaza matokeo. Ni muhimu sana.

Mwaka 2015 nilishuhudia namna kura za mgombea urais pale ofisi ya DED zilivyokuwa zikibadilishwa pasipokuwa na intervention yoyote.

Kila la kheri kwa utekelezaji
 
Huu ni ushauri kwa vyama husika - ACT Wazalendo na CHADEMA. Tunawashaurini kukaa, kubaliana (juu ya role, cooperation principles and operational modality) na kisha undeni JEIT iwasaidie kukusanya intelligence za uchaguzi wakati wa kampeni.

Lisha ichambue na kuwashauri namna ya kupanga na kutekeleza mipango/mikakati ya kampeini zenu, kufuatilia na kusimamia mwenendo wa uchaguzi siku ya kupiga kura, kuhesabu kura, kujumlisha kura na kutangaza matokeo. Ni muhimu sana.

Mwaka 2015 nilishuhudia namna kura za mgombea urais pale ofisi ya DED zilivyokuwa zikibadilishwa pasipokuwa na intervention yoyote.

Kila la kheri kwa utekelezaji
Umetoa ushauri mzuri ila mazingira yetu ya kisiasa yatawabana, vyombo vya dola huenda vikatumika kuwazuia.

Ila mtoa mada kwa sasa umeamua kuasi ''mfumo"...😂😂😂
 
Umetoa ushauri mzuri ila mazingira yetu ya kisiasa yatawabana, vyombo vya dola huenda vikawazuia.

Ila mtoa mada kwa sasa umeamua kuasi ''mfumo"...😂😂😂
Ni sahihi, nishauri pia upinzani ujaribu kuwa na marafiki kwenye vyombo vya dola, siyo kutunyooshea vidole kila siku sisi wababaya.

Wapo kwenye vyombo vya dola waumini wa utawala wa sheria na haki, watumike!
 
Ni sahihi, nishauri pia upinzani ujaribu kuwa na marafiki kwenye vyombo vya dola, siyo kutunyooshea vidole kila siku sisi wababaya.

Wapo kwenye vyombo vya dola waumini wa utawala wa sheria na haki, watumike!
Hata kama wakiwa na marafiki huko kwenye hivyo vyombo sana sana watapata marafiki ambao ni watumishi wenye vyeo vya chini tu.

Urafiki kama huo utaishia kuwaumiza zaidi wapinzani huku siri zao za vikao vya ndani zikivujishwa kwa watawala.
 
Hata kama wakiwa na marafiki huko kwenye hivyo vyombo sana sana watapata marafiki ambao ni watumishi wenye vyeo vya chini tu.

Urafiki kama huo utaishia kuwaumiza zaidi wapinzani huku siri zao za vikao vya ndani zikivujishwa kwa watawala.
Unakuaje na joint intelligence team mkiwa na mtu wa kitengo kama Membe(aliyekula kiapo cha milele na milele) na kama watu hawaamini then Membe aende kinyume na kiapo chake ataona kama yaliyomtokea Kombe hayatamkuta na yeye.

Makosa ya Chadema/Ukawa 2015 yanaenda kujirudia tena kupitia ACT,2015 Lowassa alikuja na Apson Mwang'o...nadhani mnajua huyo jamaa na mwishowe mission ikawa accomplished akaendelea kula zake pension yake.
 
Huu ni ushauri kwa vyama husika - ACT Wazalendo na CHADEMA. Tunawashaurini kukaa, kubaliana (juu ya role, cooperation principles and operational modality) na kisha undeni JEIT iwasaidie kukusanya intelligence za uchaguzi wakati wa kampeni.

Lisha ichambue na kuwashauri namna ya kupanga na kutekeleza mipango/mikakati ya kampeini zenu, kufuatilia na kusimamia mwenendo wa uchaguzi siku ya kupiga kura, kuhesabu kura, kujumlisha kura na kutangaza matokeo. Ni muhimu sana.

Mwaka 2015 nilishuhudia namna kura za mgombea urais pale ofisi ya DED zilivyokuwa zikibadilishwa pasipokuwa na intervention yoyote.

Kila la kheri kwa utekelezaji

Tatizo la ushirika wa ACT na Chadema ni kama ifuatavyo. Chadema wanataka kila ushirikiano utoe mgombea kutoka chadema kwenye kampeni kwasababu wao ndio chama kikubwa Tanzania na Cheney matawi na wagombea nchi azima. Wanasema Lisu anatosha kukusanya kura za huruma zinazotosha kuondoa CCM.

ACT wanasema safari hii ni zamu yao kutoa mgombea wa ushirika na kwamba hawatakuwa sehemu ya fujo za Chadema kwenye kampeni. Pia ACT wanasema afya ya Lisu, CV ya Lisu, mgogoro wa Lisu na Mbowe, na kesi za Lisu mahakamani zinampa advantage mgombea wa ACT. Kwanyongeza ACT wanasema Chadema hawako serious na mabadiriko ya kweli kwasababu wanataka kumtoa populist leader na kumwimgiza populist leader mwingine. ACT wanaamini watashinda pasipo Chadema na kwamba kamwe hawataendelea kubembeleza ushirikiano wakitilia manani kununulika kwa wabunge na viongozi wa Chadema.

Pima mizani mwenyewe.
 
Huu ni ushauri kwa vyama husika - ACT Wazalendo na CHADEMA. Tunawashaurini kukaa, kubaliana (juu ya role, cooperation principles and operational modality) na kisha undeni JEIT iwasaidie kukusanya intelligence za uchaguzi wakati wa kampeni.

Lisha ichambue na kuwashauri namna ya kupanga na kutekeleza mipango/mikakati ya kampeini zenu, kufuatilia na kusimamia mwenendo wa uchaguzi siku ya kupiga kura, kuhesabu kura, kujumlisha kura na kutangaza matokeo. Ni muhimu sana.

Mwaka 2015 nilishuhudia namna kura za mgombea urais pale ofisi ya DED zilivyokuwa zikibadilishwa pasipokuwa na intervention yoyote.

Kila la kheri kwa utekelezaji
Excellent idea. Hasa wakati wa kuhesabu na kutangaza matokeo. Wawakilishi wa vyama katika vituo vya kupiga kura wapatiwe mafunzo maalum na wawe "properly managed". Hii ndiyo kete pekee itakayowasaidia kulinda kura zao. La sivyo watapigwa bao.
 
Ya 2015 yanajirudia tena. Huezi kuungana na mpinzani wako kumtoa mpinzani wako mwingine hali yakua unapingana na mpinzani wako
 
Huu ni ushauri kwa vyama husika - ACT Wazalendo na CHADEMA. Tunawashaurini kukaa, kubaliana (juu ya role, cooperation principles and operational modality) na kisha undeni JEIT iwasaidie kukusanya intelligence za uchaguzi wakati wa kampeni.

Lisha ichambue na kuwashauri namna ya kupanga na kutekeleza mipango/mikakati ya kampeini zenu, kufuatilia na kusimamia mwenendo wa uchaguzi siku ya kupiga kura, kuhesabu kura, kujumlisha kura na kutangaza matokeo. Ni muhimu sana.

Mwaka 2015 nilishuhudia namna kura za mgombea urais pale ofisi ya DED zilivyokuwa zikibadilishwa pasipokuwa na intervention yoyote.

Kila la kheri kwa utekelezaji
Mwaka huu ACT na CDM kura inabidi zilindwe kwa gharama zozote ,tushamchoka JIWE kaangusha UCHUMI.
 
Ila mtoa mada kwa sasa umeamua kuasi ''mfumo"
Tuko wengi tu. Tusipouasi mfuno nchi itaangamia. Tunapaswa kuiokoa nchi yetu kwa kuw ahuyu Bwn. ameikoroga kweli kweli. Hakuna cha kufuata Katiba wala sheria. Kila kitu anafanya anavyotaka yeye. Hii ni hatari kwa nchi kuendeshwa kwa personal whims.
 
Hata kama wakiwa na marafiki huko kwenye hivyo vyombo sana sana watapata marafiki ambao ni watumishi wenye vyeo vya chini tu.

Urafiki kama huo utaishia kuwaumiza zaidi wapinzani huku siri zao za vikao vya ndani zikivujishwa kwa watawala.
upinzani njaa nyingi wana ji snitch wenyewe,,,,,,, mfano mzuri ile hamahama kisa tusenti
 
Huu ni ushauri kwa vyama husika - ACT Wazalendo na CHADEMA. Tunawashaurini kukaa, kubaliana (juu ya role, cooperation principles and operational modality) na kisha undeni JEIT iwasaidie kukusanya intelligence za uchaguzi wakati wa kampeni.

Lisha ichambue na kuwashauri namna ya kupanga na kutekeleza mipango/mikakati ya kampeini zenu, kufuatilia na kusimamia mwenendo wa uchaguzi siku ya kupiga kura, kuhesabu kura, kujumlisha kura na kutangaza matokeo. Ni muhimu sana.

Mwaka 2015 nilishuhudia namna kura za mgombea urais pale ofisi ya DED zilivyokuwa zikibadilishwa pasipokuwa na intervention yoyote.

Kila la kheri kwa utekelezaji
Asante sana tunatarajia utatupatia ujuzi zaidi kuhusu namna ccm wanavyobadilisha kura kupitia ma-DED.
 
Back
Top Bottom