wakimataifa
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 942
- 169
zito kabwe alikuwa kiunganishi mzuri na wafadhiri wa nje na misaada chadema mmechoma nyumba
ACT-Wazalendo Kuandika historia Tanzania.
Hatimae Zimebaki siku Tatu Chama cha ACT-Wazalendo kifanyen uzinduzi wa chama,utakuwa uzinduzi wa kihistoria kutokana na wananchi wengi hasa wanyonge kuhamisika sana kuona chama chao kinaandika historia Mpya.
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa chama pamoja na wanachana ,wapenzi na mashabiki wa chama wanaendelea kumiminika toka kila pembe ya Tanzania.
Mapokezi ni mazuri Mpaka sasa Zaidi ya viongozi na wanachama toka Mikoa 24 wameshatinga Jijini Dar es Salaam kwaajili ya kushiriki tukio hilo la Kihistori.
Pia Wageni Mbalimbali toka Nchi za Afrika,Amerika na Ulaya wanaendelea kuwasili kwaajili ya kushuhudia uzinduzi wa chama hapo tarehe 29-03-2015 ndani ya ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam.
Tuliahidi ,tumeweza na sasa tunasonga Mbele.
Karibu wote mshuhudie safari ya ukombozi ikianza rasmi.
zito kabwe alikuwa kiunganishi mzuri na wafadhiri wa nje na misaada chadema mmechoma nyumba
We Nyani ni nani aliyekuroga? ivi ukiulizwa uoneshe barua ya zitto kufukuzwa unaweza ionesha? barua valid mpaka sasa ni ya zitto kujiondoa mwenyewe kwenye genge la mahafidhina wabaka demokrasia.
Na bado mtasema sana mwaka huu, ACT -wazalendo wameanza kueneza uzalendo kwa watanzania. Tutajua wanasiasa na wababaishaji wa siasa.
Naona genge la wa wafitini linaalika wanahabari
ACT-Wazalendo Kuandika historia Tanzania.
Hatimae Zimebaki siku Tatu Chama cha ACT-Wazalendo kifanyen uzinduzi wa chama,utakuwa uzinduzi wa kihistoria kutokana na wananchi wengi hasa wanyonge kuhamisika sana kuona chama chao kinaandika historia Mpya.
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa chama pamoja na wanachana ,wapenzi na mashabiki wa chama wanaendelea kumiminika toka kila pembe ya Tanzania.
Mapokezi ni mazuri Mpaka sasa Zaidi ya viongozi na wanachama toka Mikoa 24 wameshatinga Jijini Dar es Salaam kwaajili ya kushiriki tukio hilo la Kihistori.
Pia Wageni Mbalimbali toka Nchi za Afrika,Amerika na Ulaya wanaendelea kuwasili kwaajili ya kushuhudia uzinduzi wa chama hapo tarehe 29-03-2015 ndani ya ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam.
Karibu wote mshuhudie safari ya ukombozi ikianza rasmi.
ABABU Namwamba amekwisha fukuzwa kamati ya PAC Kenya Sababu ya Rushwa na Kamati yao kuvunjwa , Kama alivyo @ZITO ndege wanaofanana uruka pamoja
Tuliahidi ,tumeweza na sasa tunasonga Mbele.
zito kabwe alikuwa kiunganishi mzuri na wafadhiri wa nje na misaada chadema mmechoma nyumba