Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 38,898
- 28,001
potelea mbali waseme vyovyote,mwanzo mgumu lkn wanauhakika na viti 10,kuna vyama vlianzishwa hata kiti kimoja walikosa,na viliishi na badae vikawa tishio,kuliko kuwa mjumbendio na mtumwa na kubaguliwa afadhali muanze upya ili kuwa na demokrasia na uzalendo wa kweli kwa nchi yetu me niko kusini nawasubiri kwa hamu wakina ZITTO.
Aisee.....Zitto alikupa nini mbona unampapatikia hivyo..