ACT presha ya nini!

ACT presha ya nini!

Samahani wadau mimi nilikuwa Offline siku nyingi sana. Sijui ACT kimesajiliwa lini, nani viongozi wake? Naomba kupewa ufahamu huu
 
ACT msikate tamaa,eti ni cha wa kigoma mbona hata CDM ni cha Mtei na mkwe wake mbowe?
 
Jamani ebu tuweni magreat thinker kwa kuacha kujadili vitu ambavyo havipo na havita kuwepio. Hiyo ACT ndio nini? kama sio kupotezeana muda tu.
 
Hiki ni chama kipya cha siasa inchini katika kujitambulisha sehemu mbalimbali ,ACT kinajipambanua kama wapigania democrasia wa kweli na wao ni wawazi na kimekuwa kikiwananga wapinzani wenzake hasa CHADEMA eti huko hakuna democrasia wala hakuna uwazi hii imenishangaza kwelikweli,kinajaribu kuwa ambia watu wajiungenacho kwa kuwa hakuna demokrasia ya kweli wala uwazi huko Chadema hapa ndipo ninapo washangaa zaidi,


Nilicho kitegemea mimi viongozi wa chama hichi wangetuuzia sera,itikadi ,dira,mipango,malengo na ilani zoa nilitegemea kuona sera za mazingira,afya,maji,kilimo,uwekezaji ,elimu,uchumi,usawa ,haki na nyingine nyingi kutoka ACT ambazo hazilingani na vyama vingine hasa CHADEMA, lakini mambo ni tofauti wanatuambia tujiungenacho tu kwa kuwa CHADEMA hakuna demokrasia! wala UWAZI haya ni maajabu .Kwa kuwakumbusha tu Chadema kimekuwa sauti ya wasio kuwa na sauti inchini hasa bungeni kimekuwa wasemaji wa watanzania maskini wasio na pa kusemea wamekuwa wawakilishi wa watanzania .

Napenda niwakumbushe ACT kuwa hutukuanza kuipenda CHADEMA hivihivi ila walitenda tukawaona,ACT acheni maneno bila vitendo kwani hizo ni taarabu tu,Napenda kuwa ambia ACT waTZ kwa wingi wao ni maskini wa kutupwa wengi wa walio maliza chuo kikuu wapo mtaani wakirandaranda hakuna ajira, wakulima wengi wanalima kwa jembe la mkono AFYA mbovu elimu inazorota ,barabara mbovu,maji hakuna na mabadiliko hakuna nilitegemea ACT watazungumzia sera hizi na si mapambano walio yaanza,ninapenda kuwaambia ACT hakuna democrasia duniani isiyo na mipaka hakuna.Na napenda kuwa kumbusha wa Tanzania waikumbuke CHADEMA wakati mwingine watakapo piga kura.

Jamani naomba nifahamishwe kwa upana wake, ACT ni nini? cha nani?? kimesajiliwa lini???
 
Naona hiyo kitu inayojiita ACT imeanza kuingiza mamluki humu jukwani. huyu ni mmoja wao.
Join Date : 7th March 2014
Posts : 233
Rep Power : 347
Likes Received23
Likes Given0

mimi sio mamluki ni mtanzania mzalendo ninaesubiri ukombozi kupitia chama makini cha ACT
 
Act ndo mkombozi wa watanzania,cdm ni ukoo wa mtei,ni saccos ya mbowe na genge la wachaga.
ACT ukoo wa zitto mpalula migebuka chama cha misikitini kimeanza kwa fujo kali utapojua kinaungana na wapambe wa Lumumba angalia mateja yake
 
ACT ukoo wa zitto mpalula migebuka chama cha misikitini kimeanza kwa fujo kali utapojua kinaungana na wapambe wa Lumumba angalia mateja yake

chadema tumeshawazoea kwa ubaguzi . kama act ni chama cha misikiti na chadema ni chama cma makanisa?
 
potelea mbali waseme vyovyote,mwanzo mgumu lkn wanauhakika na viti 10,kuna vyama vlianzishwa hata kiti kimoja walikosa,na viliishi na badae vikawa tishio,kuliko kuwa mjumbendio na mtumwa na kubaguliwa afadhali muanze upya ili kuwa na demokrasia na uzalendo wa kweli kwa nchi yetu me niko kusini nawasubiri kwa hamu wakina ZITTO.
 
Back
Top Bottom