ACT ni chama pekee ambacho ningemshauri Lipumba akimbilie huko

ACT ni chama pekee ambacho ningemshauri Lipumba akimbilie huko

gimmy's

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2011
Posts
3,343
Reaction score
3,396
Ni ukweli usiopingika kwamba maisha ya uanachama wa Prof Lipumba kwenye chama alichokipigania kwa jasho na damu upo mashakani.Kuna kila dalili Lipumba akatimuliwa uanachama na chama chake.

Ni bora kuondoka kwa heshima kwa kujivua mwenyewe uanachama kuliko kusubiri akawapa nafasi kina Mtatiro wakamuondoa na kujiona washindi.Kutimuliwa ni jambo la aibu si vema Lipumba akalisubiri,ni wakati sasa wa Lipumba kuchukua maamuzi ya haraka kujiwajibisha mwenyewe ili kujilindia heshima yake.

Lipumba ajiondoe haraka ahame chama tena awemakini juu chama ambacho atakichagua kuelekea.Ni imani yangu ACT wazalendo kingekua chama muafaka kwake.Lipumba ni mpinzani na abaki kuwa mpinzani hili litaendelea kumjengea heshima.

Kama ACT wazalendo watampata Lipumba basi watakuwa wameongeza nguvu kubwa sana kwenye chaguzi zijazo kwani ni wazi Lipumba ni kama taasisi nyuma yake wapo wengi watakao mfuata.
 
Ni ukweli usiopingika kwamba maisha ya uanachama wa Prof Lipumba kwenye chama alichokipigania kwa jasho na damu upo mashakani.Kuna kila dalili Lipumba akatimuliwa uanachama na chama chake.

Ni bora kuondoka kwa heshima kwa kujivua mwenyewe uanachama kuliko kusubiri akawapa nafasi kina Mtatiro wakamuondoa na kujiona washindi.Kutimuliwa ni jambo la aibu si vema Lipumba akalisubiri,ni wakati sasa wa Lipumba kuchukua maamuzi ya haraka kujiwajibisha mwenyewe ili kujilindia heshima yake.

Lipumba ajiondoe haraka ahame chama tena awemakini juu chama ambacho atakichagua kuelekea.Ni imani yangu ACT wazalendo kingekua chama muafaka kwake.Lipumba ni mpinzani na abaki kuwa mpinzani hili litaendelea kumjengea heshima.

Kama ACT wazalendo watampata Lipumba basi watakuwa wameongeza nguvu kubwa sana kwenye chaguzi zijazo kwani ni wazi Lipumba ni kama taasisi nyuma yake wapo wengi watakao mfuata.
Utamfuata halafu ikifika wakati wa uchaguzi atamkimbia Zitto na chama chake kisa ccm wamepenyeza.Arudi tuu vyuoni kufundisha nadharia za uchumi
 
Afadhali wewe umemshauri vizuri mana ndo chama kinachomfaa kuliko wale wanaosema akakamae mpaka gharika la Nuhu limpitie itakuwa too late
 
Ni ukweli usiopingika kwamba maisha ya uanachama wa Prof Lipumba kwenye chama alichokipigania kwa jasho na damu upo mashakani.Kuna kila dalili Lipumba akatimuliwa uanachama na chama chake.

Ni bora kuondoka kwa heshima kwa kujivua mwenyewe uanachama kuliko kusubiri akawapa nafasi kina Mtatiro wakamuondoa na kujiona washindi.Kutimuliwa ni jambo la aibu si vema Lipumba akalisubiri,ni wakati sasa wa Lipumba kuchukua maamuzi ya haraka kujiwajibisha mwenyewe ili kujilindia heshima yake.

Lipumba ajiondoe haraka ahame chama tena awemakini juu chama ambacho atakichagua kuelekea.Ni imani yangu ACT wazalendo kingekua chama muafaka kwake.Lipumba ni mpinzani na abaki kuwa mpinzani hili litaendelea kumjengea heshima.

Kama ACT wazalendo watampata Lipumba basi watakuwa wameongeza nguvu kubwa sana kwenye chaguzi zijazo kwani ni wazi Lipumba ni kama taasisi nyuma yake wapo wengi watakao mfuata.
Karibu Lipumba, wengi wanaomsimanga Lipumba ni wanalowasa.

Sababu zinajulikana.

Kwenye siasa hakuna rafiki wala adui wa kudumu.
 
Ni ukweli usiopingika kwamba maisha ya uanachama wa Prof Lipumba kwenye chama alichokipigania kwa jasho na damu upo mashakani.Kuna kila dalili Lipumba akatimuliwa uanachama na chama chake.

Ni bora kuondoka kwa heshima kwa kujivua mwenyewe uanachama kuliko kusubiri akawapa nafasi kina Mtatiro wakamuondoa na kujiona washindi.Kutimuliwa ni jambo la aibu si vema Lipumba akalisubiri,ni wakati sasa wa Lipumba kuchukua maamuzi ya haraka kujiwajibisha mwenyewe ili kujilindia heshima yake.

Lipumba ajiondoe haraka ahame chama tena awemakini juu chama ambacho atakichagua kuelekea.Ni imani yangu ACT wazalendo kingekua chama muafaka kwake.Lipumba ni mpinzani na abaki kuwa mpinzani hili litaendelea kumjengea heshima.

Kama ACT wazalendo watampata Lipumba basi watakuwa wameongeza nguvu kubwa sana kwenye chaguzi zijazo kwani ni wazi Lipumba ni kama taasisi nyuma yake wapo wengi watakao mfuata.

Hapana, aachane na uwnyekiti awe mshauri na apewe matunzo na chama kwa heshima yake
 
Ameshindwa kupitia mlango wa nyuma? Namshauri arejee kwa washirika wake pale umagambani (Lumumba) patamfaa sana.
 
jina huakisi tabia ya mtu LI-PUMBA,ukinyambulisha hilo jina utaona tabia yake na jina yanavyofanana.Ata makomeo naye mbishi kama jina lilivyo japo yeye mbaya zaidi katikati kuna kilevi ndo matokeo yake haya tunayaona
 
ushauri wa bure na sasa ndio wakati wa Lipumba kuchukua maamuzi
 
Back
Top Bottom