ACT Mkutano wa Makambako (PICHA)

ACT Mkutano wa Makambako (PICHA)

Naona Bwana Zito unajitahidi kuudhoofisha upinzani . Hongera sana.
 
Ha ha ha.. .. Asante sana mkuu kumbe mwakubali kuwa ni msaliti wa upinzani . anacho kifanya hakitambeba yeye kitampa auheni waliokuwa wakimtuma.
 
Wadau mkutano Wa CHADEMA Mbeya vijijini ndio unaisha umeongozwa na mwenyekiti chadema mbeya


huyo ni mwenyekiti wa wilaya ya mbeya bado mkoa kanda taifa? ACT angalieni haya mambo sasa mtumeni Samsoni ama wale kina mwamedi
 
Kutoka katika huo umati! Wanachama wangapi wapya wamechukua Kadi!?
 
Mungu kamwe hamtupi mtu mwenye dhamira yakweli,nasikia Mbowe kamtumia msg Zitto yakumtusi!kama niKweli basi naamini kuwa Zitto ni moto wakuotea mbali.Jambisha jambisha mpaka kwa Dj!!
 
Picha za mikutano ya CDM, CCM na ACT inaonesha Demokrasia inazidi kukua Tanzania. Ni jambo la kujivunia kuwa watanzania wameruhusiwa kushiriki wao wenyewe kwenye kuamua hatima yao.

Nawashauri CDM kuanchana na propaganda za ACT na ku-focus kujenga CDM kama CDM.majibu yatapatikana kwenye ballot box.
 
Waliochukua kadi ni wangapi hadi sasa au waliohudhulia wote ni wanachama.
 
Back
Top Bottom