ACT ANAKULA CCM ANATAKA KULALA CHADEMA, MKATAENI

ACT ANAKULA CCM ANATAKA KULALA CHADEMA, MKATAENI

Ndata

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2017
Posts
227
Reaction score
333
COMEDY ZA NDUGU ZANGU ACT.

Kwanza moja ya maombi makubwa ya ACT ni Chadema asishiriki uchaguzi, hii itampa nafasi ya kuwa chama kikuu cha upinzani na Zitto kuwa KB automatically. Hivyo Chadema wajue kabisa ACT wanalao kwenye hili.

Pili, Chadema kwenye movement yao ya NO REFORM NO ELECTION hakuna mahali popote wameomba sapoti ya chama chochote, wao wana malengo yao na wanajua ni namna gani watayafikia. Mnafiki anajitokeza na ku ACT kama vile yupo sambamba na Chadema ila leo Ado kagonga suti na kutimba Dodoma kuhakikisha wao wanakubaliana na CCM uchaguzi uwepo.

Baada ya kusaini wanaanza kutoa maandiko kibao kujitetea, hivi wanajitetea kwa nani? Wao ni wao na Chadema ni Chadema kila mmoja na mipango, malengo na njia zake kufikia mafanikio..

Anachofanya ACT ni kula kidogo Chadema na kula kidogo CCM hio ndio pumzi yake.

Swali ni kwakua wamekubali Uchaguzi ufanyike katika hali hii iliyopo, watakuwa na haki ya kulia wamefanyiwa faulo?

ACT sawa na Jahazi Asilia tuu, vyama maalum kuhalalisha mambo ya CCM zikiwemo chaguzi hizi zisizo za haki kwa malipo kidogo. Hivi vyama vipo pote duniani ingawa Africa imekuwa zaidi. Serikali kuwa na vyama vyao vya mfukoni na kuvitumia pale itapohitajika kuionesha dunia demokrasia ipo.

ACT kama alivyo Kiongozi wao wa Maisha Zitto Kabwe, hucharuka pale tuu makubaliano yao yanapokiukwa. Mfano ni baada ya Magufuli (RIP) Kumnyima Zitto uwaziri sote tuliona alivyoanza kuwa mkali.

Mwisho kabisa, ACT mshakubali kushiriki uchaguzi ujao pasipo mabadiliko yoyote, basi mjitahidi kukubaliana na matokeo ya kabla na baada ya uchaguzi. Wananchi tumewaona na tumewaelewa tayari.
 
ACT kama alivyo Kiongozi wao wa Maisha Zitto Kabwe, hucharuka pale tuu makubaliano yao yanapokiukwa. Mfano ni baada ya Magufuli (RIP) Kumnyima Zitto uwaziri sote tuliona alivyoanza kuwa mkali.
Huyo anaitwa Ayatollah Zitto Zuberi Kabwe!
 
COMEDY ZA NDUGU ZANGU ACT.

Kwanza moja ya maombi makubwa ya ACT ni Chadema asishiriki uchaguzi, hii itampa nafasi ya kuwa chama kikuu cha upinzani na Zitto kuwa KB automatically. Hivyo Chadema wajue kabisa ACT wanalao kwenye hili.

Pili, Chadema kwenye movement yao ya NO REFORM NO ELECTION hakuna mahali popote wameomba sapoti ya chama chochote, wao wana malengo yao na wanajua ni namna gani watayafikia. Mnafiki anajitokeza na ku ACT kama vile yupo sambamba na Chadema ila leo Ado kagonga suti na kutimba Dodoma kuhakikisha wao wanakubaliana na CCM uchaguzi uwepo.

Baada ya kusaini wanaanza kutoa maandiko kibao kujitetea, hivi wanajitetea kwa nani? Wao ni wao na Chadema ni Chadema kila mmoja na mipango, malengo na njia zake kufikia mafanikio..

Anachofanya ACT ni kula kidogo Chadema na kula kidogo CCM hio ndio pumzi yake.

Swali ni kwakua wamekubali Uchaguzi ufanyike katika hali hii iliyopo, watakuwa na haki ya kulia wamefanyiwa faulo?

ACT sawa na Jahazi Asilia tuu, vyama maalum kuhalalisha mambo ya CCM zikiwemo chaguzi hizi zisizo za haki kwa malipo kidogo. Hivi vyama vipo pote duniani ingawa Africa imekuwa zaidi. Serikali kuwa na vyama vyao vya mfukoni na kuvitumia pale itapohitajika kuionesha dunia demokrasia ipo.

ACT kama alivyo Kiongozi wao wa Maisha Zitto Kabwe, hucharuka pale tuu makubaliano yao yanapokiukwa. Mfano ni baada ya Magufuli (RIP) Kumnyima Zitto uwaziri sote tuliona alivyoanza kuwa mkali.

Mwisho kabisa, ACT mshakubali kushiriki uchaguzi ujao pasipo mabadiliko yoyote, basi mjitahidi kukubaliana na matokeo ya kabla na baada ya uchaguzi. Wananchi tumewaona na tumewaelewa tayari.
Zito na Mwamba hawana tofauti
 
COMEDY ZA NDUGU ZANGU ACT.

Kwanza moja ya maombi makubwa ya ACT ni Chadema asishiriki uchaguzi, hii itampa nafasi ya kuwa chama kikuu cha upinzani na Zitto kuwa KB automatically. Hivyo Chadema wajue kabisa ACT wanalao kwenye hili.

Pili, Chadema kwenye movement yao ya NO REFORM NO ELECTION hakuna mahali popote wameomba sapoti ya chama chochote, wao wana malengo yao na wanajua ni namna gani watayafikia. Mnafiki anajitokeza na ku ACT kama vile yupo sambamba na Chadema ila leo Ado kagonga suti na kutimba Dodoma kuhakikisha wao wanakubaliana na CCM uchaguzi uwepo.

Baada ya kusaini wanaanza kutoa maandiko kibao kujitetea, hivi wanajitetea kwa nani? Wao ni wao na Chadema ni Chadema kila mmoja na mipango, malengo na njia zake kufikia mafanikio..

Anachofanya ACT ni kula kidogo Chadema na kula kidogo CCM hio ndio pumzi yake.

Swali ni kwakua wamekubali Uchaguzi ufanyike katika hali hii iliyopo, watakuwa na haki ya kulia wamefanyiwa faulo?

ACT sawa na Jahazi Asilia tuu, vyama maalum kuhalalisha mambo ya CCM zikiwemo chaguzi hizi zisizo za haki kwa malipo kidogo. Hivi vyama vipo pote duniani ingawa Africa imekuwa zaidi. Serikali kuwa na vyama vyao vya mfukoni na kuvitumia pale itapohitajika kuionesha dunia demokrasia ipo.

ACT kama alivyo Kiongozi wao wa Maisha Zitto Kabwe, hucharuka pale tuu makubaliano yao yanapokiukwa. Mfano ni baada ya Magufuli (RIP) Kumnyima Zitto uwaziri sote tuliona alivyoanza kuwa mkali.

Mwisho kabisa, ACT mshakubali kushiriki uchaguzi ujao pasipo mabadiliko yoyote, basi mjitahidi kukubaliana na matokeo ya kabla na baada ya uchaguzi. Wananchi tumewaona na tumewaelewa tayari.
ACT ya Zitto inachekelea meno 32.

Vyama visivyo na uungwaji mkono lazima vijikombe kombe
 
COMEDY ZA NDUGU ZANGU ACT.

Kwanza moja ya maombi makubwa ya ACT ni Chadema asishiriki uchaguzi, hii itampa nafasi ya kuwa chama kikuu cha upinzani na Zitto kuwa KB automatically. Hivyo Chadema wajue kabisa ACT wanalao kwenye hili.

Pili, Chadema kwenye movement yao ya NO REFORM NO ELECTION hakuna mahali popote wameomba sapoti ya chama chochote, wao wana malengo yao na wanajua ni namna gani watayafikia. Mnafiki anajitokeza na ku ACT kama vile yupo sambamba na Chadema ila leo Ado kagonga suti na kutimba Dodoma kuhakikisha wao wanakubaliana na CCM uchaguzi uwepo.

Baada ya kusaini wanaanza kutoa maandiko kibao kujitetea, hivi wanajitetea kwa nani? Wao ni wao na Chadema ni Chadema kila mmoja na mipango, malengo na njia zake kufikia mafanikio..

Anachofanya ACT ni kula kidogo Chadema na kula kidogo CCM hio ndio pumzi yake.

Swali ni kwakua wamekubali Uchaguzi ufanyike katika hali hii iliyopo, watakuwa na haki ya kulia wamefanyiwa faulo?

ACT sawa na Jahazi Asilia tuu, vyama maalum kuhalalisha mambo ya CCM zikiwemo chaguzi hizi zisizo za haki kwa malipo kidogo. Hivi vyama vipo pote duniani ingawa Africa imekuwa zaidi. Serikali kuwa na vyama vyao vya mfukoni na kuvitumia pale itapohitajika kuionesha dunia demokrasia ipo.

ACT kama alivyo Kiongozi wao wa Maisha Zitto Kabwe, hucharuka pale tuu makubaliano yao yanapokiukwa. Mfano ni baada ya Magufuli (RIP) Kumnyima Zitto uwaziri sote tuliona alivyoanza kuwa mkali.

Mwisho kabisa, ACT mshakubali kushiriki uchaguzi ujao pasipo mabadiliko yoyote, basi mjitahidi kukubaliana na matokeo ya kabla na baada ya uchaguzi. Wananchi tumewaona na tumewaelewa tayari.
Nyie vibwengo mtaizuiaje ACT-Wazalendo kuwa chama kikuu cha upinzani? Hiyo iko wazi
 
Back
Top Bottom