so saaad...
Usikute mama yake aliuawa na jeshi la America. Nahisi tuu.
Usikute mama yake aliuawa na jeshi la America. Nahisi tuu.
Hapana, siku hizi wanauliwa kwa sucide bombers wa Kishia na Sunni sect violence.
Na haka katoto kanatia huruma jinsi kanavyo mmiss mama yake. I hope he will grow to be a good man.