Acheni ngono zembe

Acheni ngono zembe

Hold on....!!
Unazungumzia wanaume wa sayari gani? Wenye hizo nguvu za kugegedana hivyo?[emoji23][emoji23]acha utani wewe?
Hata kama ni mfano Fanya kutoa mifano yenye uhalisia kidogo basi.

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Ananizungumzia mimi hapa
 
Kwa wanawake wa sasa inawezekana tena ukiwa uswahilini na ugumu wa maisha wa sasa.

Kuna jamaa yangu anakaa uswahilini sasa wanawake wanavyo jisogeza kwake kwa kuwa anatumia usafiri wa kampuni na amechukua nyumba upande na yuko peke yake.

Akiwa yupo off au weekend wanawake 4 mpaka wa 5 kwa siku huwa wanapewa dozi na wengine hujileta bila ratiba na kuishia getini pasipo kuingia ndani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu anawadada mia utakuta anakazi ila ratiba yake ni hii hapa.
Ijioni 12 akiwa home anakuja A huyo atapika watakula ataenda atakuja B huyu atakaa ikifika saa sita ataondoka C huyo atalala mpaka jua kuchomoza saa 12 asubuhi.
Na D ni wakazini so lunch wao wapo guest.
After lunch wanarudi kazini mara mteja E atadai wanatoka kumbe wataenda guest tena au kwa E .
F atakuja 12 ijioni halafu ataakaa kidogo saa mbili ataondoka G atakuja watapika atakula ikifika saa 4 ataenda ndio maisha ya Tyson everyday of his life sasa ukimpima utafind nini hivi T kwa wote hao anakumbuka Kinga.??
KWA WADADA
Atleast ukimpata atakayekutuliza unatulia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulimfatilia nani akitenda hayo??

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom