katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,126
- 5,762
- Thread starter
- #41
wanaume tunapenda sana wajawa'zitto, ni wachemu sana nyie!![emoji7][emoji7]
Ananizungumzia mimi hapaHold on....!!
Unazungumzia wanaume wa sayari gani? Wenye hizo nguvu za kugegedana hivyo?[emoji23][emoji23]acha utani wewe?
Hata kama ni mfano Fanya kutoa mifano yenye uhalisia kidogo basi.
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Kataa hata mimi sikuamini kuwa kuna watu kama hao ila nimejionea hapa anaamka asubuhi anamtoa huyo anarudi na mwingine hapo mpaka mchana anamtoa wa ijioni 12 mpaka saa mbili anamtoa huyo anaenda kumleta mwingine hadi asubuhi .
Niliona aliekua anakula watatu kwa siku ila wengi hivyo mweeeeKataa hata mimi sikuamini kuwa kuna watu kama hao ila nimejionea hapa anaamka asubuhi anamtoa huyo anarudi na mwingine hapo mpaka mchana anamtoa wa ijioni 12 mpaka saa mbili anamtoa huyo anaenda kumleta mwingine hadi asubuhi .
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi wa nne sio mbaya il wengi hivyo hadi leo nashangaa nini.
Hapana babe simfahamu[emoji6][emoji6]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dahAcheni ngono zembe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah
Sasa hayo ya kuzaa mie nimeolewa nimeata process .Mbona unahubiri ambacho hukufanyi! Ungekuwa unatumia kinga wasingekuzalisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulimfatilia nani akitenda hayo??Mtu anawadada mia utakuta anakazi ila ratiba yake ni hii hapa.
Ijioni 12 akiwa home anakuja A huyo atapika watakula ataenda atakuja B huyu atakaa ikifika saa sita ataondoka C huyo atalala mpaka jua kuchomoza saa 12 asubuhi.
Na D ni wakazini so lunch wao wapo guest.
After lunch wanarudi kazini mara mteja E atadai wanatoka kumbe wataenda guest tena au kwa E .
F atakuja 12 ijioni halafu ataakaa kidogo saa mbili ataondoka G atakuja watapika atakula ikifika saa 4 ataenda ndio maisha ya Tyson everyday of his life sasa ukimpima utafind nini hivi T kwa wote hao anakumbuka Kinga.??
KWA WADADA
Atleast ukimpata atakayekutuliza unatulia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mjeda dar mpaka mama mwenye nyumba kamtoa anamtia aibu.
Basi umetishaaaaaaaa.Ananizungumzia mimi hapa