Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 17,815
- 32,195
Unazipenda "h" hadi basi.Tutumihe kitu gani mkuhu?Ase ifike mahali tuambiane ukweli kuna watu hawapigi mswaki kwasababu morng ana amka na vitungu swahumu kutafuna ili kukata halufu ya mdogo hii inapelekea hata jasho la mwili kuwa baya sana.
Tumia kwa tiba na sio kufanya ndio dawa ya meno epuka kula vyakula vyenye viuongo vingi sana hivi vinaleta hathari kubwa kwa upande wa jasho ndio maana baadhi ya watu unakuta wananuka vitunguu swahumu mda wote au ana kuwa na jasho baya
Bado nasisitiza kutumia mtindi sana kwakukata harufu ya jasho baya usafi wa mwili muhimu sana kuwa smart kwa binadamu ni kipaumbele
Wote kwa ujumla mkuuunaongelea wanaume ama wanawake?
Hathari amesafiri.Vitunguu swahumu✖️
Vitunguu saumu✔️
Ahhahahaah dah haya bhnaUnazipenda "h" hadi basi.Tutumihe kitu gani mkuhu?
Watu hawajui tuPiga mswaki na chumvi hautonuka mdomo mpaka kaburini.
Sema kama mwandiko wako una kikohozi utumiwe vitunguhu sahumu?Ahhahahaah dah haya bhna
Unakutana mtu ananuka vitunguu saumu mpaka unajiuliza huyu anatembea uku anapika?Inakera sana vitunguu saumu pamoja na vitunguu maji
Aroo unafanya kazi gani mpaka unaweza kunusa midomo na jasho la watu?Ase ifike mahali tuambiane ukweli kuna watu hawapigi mswaki kwasababu morng ana amka na vitungu swahumu kutafuna ili kukata halufu ya mdogo hii inapelekea hata jasho la mwili kuwa baya sana.
Tumia kwa tiba na sio kufanya ndio dawa ya meno epuka kula vyakula vyenye viuongo vingi sana hivi vinaleta hathari kubwa kwa upande wa jasho ndio maana baadhi ya watu unakuta wananuka vitunguu swahumu mda wote au ana kuwa na jasho baya
Bado nasisitiza kutumia mtindi sana kwakukata harufu ya jasho baya usafi wa mwili muhimu sana kuwa smart kwa binadamu ni kipaumbele
apana tangawizi inatoshaSema kama mwandiko wako una kikohozi utumiwe vitunguhu sahumu?
Mkuu harufu ya mtu una hisi na sio swala la kusema unamchunguza mtu wewe uwezi kujijua kama unajasho baya ila jirani yako anaweja jua kwasababu ile harufu anaipataAroo unafanya kazi gani mpaka unaweza kunusa midomo na jasho la watu?
Anapika chai imeungwa nazi na vitunguu saumu.Noma sana.Halafu anaongea kwa pozi huku ganda la maharage limeng'ang'ania kwenye meno.Unakutana mtu ananuka vitunguu saumu mpaka unajiuliza huyu anatembea uku anapika?
Bado nipo kwenye doziVipi ulilimaliza la Kunywa Mtindi? Dah, jamaa ulidanganya na kuwapa watu chai ya baridiiiiiiiii isiyo na sukari.
Sijui nani aliwadanganya aseTena mtu akila vitungu swaumu baada ya mda kidogo Domo ndo linatema kama nini,