Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,342
- 24,232
Wana JF, nasikitishwa sana na wana jukwaa wanaomshambulia Rais Magufuli on personal terms.
Tukumbuke, Magufuli ni binadamu ambaye tumembebesha nzigo mzito wa kutuongoza watanzania milioni 50.
Kama binadamu yeyote ana napungufu, maana si malaika kuwa hawezi kukosea.
Ila kutukana, kukejeli juhudi za dhati kabisa si tabia ya kitanzania.
Yes kuna wana JF wana mawazo mazuri ya kutia moyo, na tulione hili in goodlight.
Mfano mzuri ni huu wa Accacia kuanza kuelewa kuwa Magufuli si nguvu ya soda na kukubali kuchenjua mchanga wa madini humu nchini.
Tumpe pongezi panapostahili.
Tukumbuke, Magufuli ni binadamu ambaye tumembebesha nzigo mzito wa kutuongoza watanzania milioni 50.
Kama binadamu yeyote ana napungufu, maana si malaika kuwa hawezi kukosea.
Ila kutukana, kukejeli juhudi za dhati kabisa si tabia ya kitanzania.
Yes kuna wana JF wana mawazo mazuri ya kutia moyo, na tulione hili in goodlight.
Mfano mzuri ni huu wa Accacia kuanza kuelewa kuwa Magufuli si nguvu ya soda na kukubali kuchenjua mchanga wa madini humu nchini.
Tumpe pongezi panapostahili.