T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 10,650
- 34,933
Wameoana wapi wakati wazazi wao hawajui kabisa hicho kitu. Wanajua either wanakaa hostel au wamepanga tu mtaani kulingana na walivyoambiwa.Good wameoa sio wamechukuana maporini.
Mimi kuwa single kuliniweka hatarini maana muda wote nakuwa free kutembelewa na yeyote yule au najisikia leo nataka kusikia sauti ya kike. Sasa kila siku nitabadilisha mara ngapi, nikajichukulia pisi moja ndo navunga nayo. Kwanza sahivi situmii gharama za kipuuzi kama semester iliyopita, ile nilikuwa natumia nguvu nyingi kula kimasihara sahivi natumia gharama ndogo kumaintain mahusiano.