Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,421
- 40,409
Closed
Hiyo ni hatari sanahata dem akija short time anaweza kukufia tuu kama zake zimefika.huwa nikiwa na dem tumelala napata was was sana mda mwingi huwa namchek km anapumua.hakuna kitu naogopa km hicho maana dem alishawahi kuzimia geto huo mtiti wake sitakuja kusahau.kumbe dem alikuwa na ugonjwa wa mapepo
Ni vizuri kugundua 'risk' mapema ili ujipange au uiepuke isikutokeeunawaza kufa tu
ha ha ha mabaharia upenda kujilipua mkuuJambo ambalo Mabaharia hatupendi kulisikia kabisa!
Naamini mabaharia wengi wataupita kimya kimya tu!
Utaanzaje kuwaeleza?na ndugu zake watalichukulia kwa uzito gani?Hivi tumekubaliana kuishi na mtu kwetu wote hawajui,then akaugua kawaida akalazwa akafa? Nitashtakiwa?
Kwa kosa gani?
Labda waniloge.....kwanza akiumwa lazma mawasiliano ya kwao yatapatikana tu.
Tahadhari ni muhimu zaidiMwenye masikio na asikie
Ni sawa na kupanda gari na kupata ajaliAcha tule maisha bhana maisha yenyew mafupi haya
Ndugu wa pande mbili kujua unaishi na mtoto wao ni muhimu zaidi katika kupunguza makaliUmeongea sahihi, lakini kifo ni mipango ya Mungu kama kapanga afie kwako hawezi kufia kwao mkuu.
kama hiyo ndio changamoto, ni bora pande mbili wajue kuna uhusiano ambao unategemea kuja kuwa mume na mkeNi kweli tatizo mahali ndo vijana wanaogopa,so wanaamua kuchukua kwanza ili kupunguza urge ya mahali maana wazazi watakuwa hawana namna.
kama hiyo ndio changamoto, ni bora pande mbili wajue kuna uhusiano ambao unategemea kuja kuwa mume na mke