Profesa ntare nkobe
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 6,954
- 8,148
Huyo 36yrd atakuwa single mother na kwa umri alio nao achukue mchuchu 23yrs huyo wa 33 ni sawa sawa nakununua vitz iliyotumika miaka 15
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Namuona kidume mwenzetu anaelekea kuwekewa dole huko kudekezwa
Huyu wa 23 akija kupata kaz jamaa ajueHahaha baharia mwenzangu unataka kumrudisha nyuma jamaa, sema anachofikiria yeye, ni huyu tayar ana kazi, mwingine anamtegemea yeye apate kazi! Na huyu anayemtegemea ndio anampenda zaidi!
tii nafsi yako mkuu.Hello Guys
Kama kawaida yangu huwa sina stori za mitaani, nina simulizi ambazo ni true stories!
Kuna mwana ana mchumba wake, nadhani mwaka wa tatu sasa, huyo demu wake ndio kwanza kamaliza chuo ana 23 yrs saivi, mwana ana 33. Kulingana na chamgamoto za kimapenzi na maisha alichelewa kuoa.
Sasa mwana anasema kapata demu (mchepuko) kazini kwake, na wana kama miezi mitatu hivi maana alitokea kupishana na huyo mchumba wake mwana ikabidi atafute sehemu ya kujiliwaza. Huyu demu ana 36 yrs saiv, na according to mwana anasema huyo dada yupo tayar kuanza maisha na mwana, na hata akimwangalia tu ana interest kweli za kuolewa.
Sasa jamaa amekuwa kwenye sintofahamu kali, yupi amchague, anafikira huyu wa 36 tayar anajua maisha hata namna ya kuishi na mwanaume, na amekuwa akidekezwa sana anapokuwa kwa huyu mwanamke, ila huyu wa 23 (ambaye ni mchumba japo si rasmi) mwana anasema anatumia muda mwingi sana kusolve ugomvi badala ya maisha. Anasema yupo dilema!
Kwako mwana jamiiforum, u amshauri nin kijana mwenzetu?
Huyu wa 36 kuna kiimbembe huko mbele,wakishavutana. Atulie tu asake kinu kingine kwa utulivuHahaha baharia mwenzangu unataka kumrudisha nyuma jamaa, sema anachofikiria yeye, ni huyu tayar ana kazi, mwingine anamtegemea yeye apate kazi! Na huyu anayemtegemea ndio anampenda zaidi!
Hapana siyo mke wa mtu. Hajawahi kuolewa huyu!Awe makini na huyo wa 36. Unaweza kukuta ni mke wa mtu. Wakati fulani niliwahi kupata changamoto kama hiyo.
Wa 36 lazima anyenyekee, giza limeingia
Huyo 36yrd atakuwa single mother na kwa umri alio nao achukue mchuchu 23yrs huyo wa 33 ni sawa sawa nakununua vitz iliyotumika miaka 15
Duh kwa wakati huu wa ngosha mzee baba?Huyo wa 36 awe mke mkubwa na huyo wa 23 awe mke mdogo
🤣🤣🤣🤣🤣 Huyu wa 23 kiukweli namuonaga anamsumbua sana, mara hela ya kula unajua zile za kichuochuo, ila yeye anadai huyu 23 yupo loyal sana kwake, hakana mambo makubwa zaidi ya hayo ya kichuochuo!Huyu wa 23 akija kupata kaz jamaa ajue
Atasahaulika mazma atalilia choon
Na yeye akijiangalia ana 33 anaona anachelewa, japokuwa pia ana mtoto alimzalisha mdada mmoja kama miaka miwili au mitatu iliyopita. Ila nadhani concern yake kwa sasa ni kuishi na mke, na ndio hivyo anaona hapa kwa 36 anadekezwa lakin ukimuuliza anakiambia anakapenda haka ka 23 japo kana utoto mwingi!Hawa 30+ huwa wazuri kwa maisha, ila aangalie kuhusu kuwa na familia, kama anachukua afanye haraka kuweka familia walau apate 3 hadi wanne watoto. Maana wengine wanakuwa tayari washachoka kuleta watoto ndio hapo inakuwa kimbembe kwenda huko na kule kutafuta