Acha pombe km ushafanya yafuatayo....

Acha pombe km ushafanya yafuatayo....

Arsenal

Senior Member
Joined
Aug 12, 2008
Posts
190
Reaction score
71
1. Kujisaidia haja kubwa bar
2. Kubadilisha nguo bar
3. Kununua nguo bar
4. Kuzaa na mhudumu
5. Kupigana bar
6. Kufatwa na familia sana sana mke bar na fujo kuanza
7. Kusimamishwa kazini au kazi kuiweka rehani
8. Kukoroma bar
9. Kubakia peke yako bar mpk inafungwa
10. Kuondoka asubuhi
11. Kuoga bar
12. ongezea mengine
 
13.Kuandikisha bili kaunta ili ilipwe mwisho wa mwezi.
14.Girlfriend wako amekuja Bar na shoga zake wa4 wanywe kwa bili yako.

15.Kunywa bia Bar kumbe mfukoni huna kitu, ukalazimishwa kuosha glasi za Bar yote na kupiga deki hadi vyoo!
 
Mpaka nikamilishe ndo naacha,baadhi kama manne yamenikuta.

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
1. Kujisaidia haja kubwa bar
2. Kubadilisha nguo bar
3. Kununua nguo bar
4. Kuzaa na mhudumu
5. Kupigana bar
6. Kufatwa na familia sana sana mke bar na fujo kuanza
7. Kusimamishwa kazini au kazi kuiweka rehani
8. Kukoroma bar
9. Kubakia peke yako bar mpk inafungwa
10. Kuondoka asubuhi
11. Kuoga bar
12. ongezea mengine
12. Kushindwa kumgegeda mkeo
13. Kutema mate ovyo ndani
14. Huna muda wa kuonana na watoto
 


1. Kujisaidia haja kubwa bar
2. Kubadilisha nguo bar
3. Kununua nguo bar
4. Kuzaa na mhudumu
5. Kupigana bar
6. Kufatwa na familia sana sana mke bar na fujo kuanza
7. Kusimamishwa kazini au kazi kuiweka rehani
8. Kukoroma bar
9. Kubakia peke yako bar mpk inafungwa
10. Kuondoka asubuhi
11. Kuoga bar
12. ongezea mengine
12. Kushindwa kumgegeda mkeo
13. Kutema mate ovyo ndani
14. Huna muda wa kuonana na watoto
15 kupigwa mtungo/ kuliwa kabang
 
.Kushabikia ccm
.kulala na viatu
.kushindwa kula
.kukojoa,kutapika na kunya kitandani.
.kutukana ovyo njiani
.kuingia chumbani kwa mwenye nyumba ukidhani ni chumba chako.
.kulala mitaloni
.kumsalimia baba yako `sema kichaa wangu'
.kuongea kizungu wakati hata milango ya shule huijui(hujasoma)
 
.Kushabikia ccm
.kulala na viatu
.kushindwa kula
.kukojoa,kutapika na kunya kitandani.
.kutukana ovyo njiani
.kuingia chumbani kwa mwenye nyumba ukidhani ni chumba chako.
.kulala mitaloni
.kumsalimia baba yako `sema kichaa wangu'
.kuongea kizungu wakati hata milango ya shule huijui(hujasoma)
Ha ha ha umenichekesha sana leo mkuu
 
Yote hayo cha mtoto kulewa hadi kusahau nyumbani unaishi segerea we unaenda kunduchi
 
No 4 haina shida ili uwe unapata huduma nzuri bar ni kutembea na mmoja wa wahudumu wa hiyo bar kwahiyo ukiwa umechanganya zanz na konyagi mpira wa baba kutoboka sio jambo geni na mimba kuingia sio dhambi
 
- kuweka viatu kwenye fridge
- kulala chooni
- kukabwa na vibaka na kuibiwa viatu,nguo na kila kitu na kukuacha na boxer
- kuweka viatu kwenye microwave na kuiwasha.
 
Back
Top Bottom