Acha kutoatoa hela kwa wanawake watakufilisi

Acha kutoatoa hela kwa wanawake watakufilisi

Mleta mada mnamshambulia bure maskini, yeye kashauri tu na nado kasema kama hutaki kuchukua ushauri wake hakulazimishi,
We endelea kuhonga tu.

Mimi natembea kwenye reli ya mleta mada kabla hajaanzisha hii kitu


Kula like mwanangu mwenyewe
 
Mkuu,
Acha kutoatoa hela kwa wanawake watakufirisi.

Hizo hela wekeza kwenye miradi, someshea ndugu wa familia yako yaani kaka na dada zako wa mama mmoja ili kupunguza utegemezi.

Kama umeoa hizo hela tumia na mke wako wa ndoa.

Kama hutaki sikubembelezi endelea kuhonga.
Msg sent and maybe received..! Ila ile ASALI ile HAINA MBABE
 
Kuhonga nako ni kipaji.. mimi kipaji hicho sina. Kipaji changu ni kuichakata mbususu
 
Vipo vingi sana fb, vinaomba hela kishenz utafikiri tunaziokota.

Screenshot_20210502-091515.png
 
Mimi labda wanifilisi damu pesa za kutoa toa ndio sina
 
Nidhamu ya hela mtu haambiwi, acha azitumbue akishafulia,ndo atajifunza.
 
Back
Top Bottom