Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 9,014
- 11,903
Mkuu,
Acha kutoatoa hela kwa wanawake watakufilisi.
Hizo hela wekeza kwenye miradi, someshea ndugu wa familia yako yaani kaka na dada zako wa mama mmoja ili kupunguza utegemezi.
Kama umeoa hizo hela tumia na mke wako wa ndoa.
Kama hutaki sikubembelezi endelea kuhonga.
Acha kutoatoa hela kwa wanawake watakufilisi.
Hizo hela wekeza kwenye miradi, someshea ndugu wa familia yako yaani kaka na dada zako wa mama mmoja ili kupunguza utegemezi.
Kama umeoa hizo hela tumia na mke wako wa ndoa.
Kama hutaki sikubembelezi endelea kuhonga.

hii ni spesho kwa wachumba na wapenzi kupeana pesa si dhambi.