OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,243
- 103,945
atahujumu serikali huyu.ni kumpa kacheo kakijinga,apewe uwaziri mkuu wa kwenye twitaAdhabu yake asipewe madaraka yoyote
atahujumu serikali huyu.ni kumpa kacheo kakijinga,apewe uwaziri mkuu wa kwenye twitaAdhabu yake asipewe madaraka yoyote
maneno mengi mpaka unajikanganya.kama unategemea Magufuli amtaje kwa jina Kikwete sahau.Magufuli anamzunguka JK waziwazi.juzi bungeni akamnanga kuwa ameenda abroad mara nyingi kuliko kumuona mama ake kjijini.Binafsi sijawahi kusikia au kuona kwenye media zote JPM akimsema vibaya JK, mara zote Magufuli anazungumzia kuhusu mifumo mibovu ya Viongozi kutowajibika kikamilifu wizi/ufisadi na
Dogo jembe ndo nani?,
Unapita kimya kimya huku umekunja ndita Mr kiparangoto imekula kwako.
Dogo jembe ndo nani?,
muongo huyo Mbon me nlipa makavu live aka ni block kma ame hackiwa mbona ana block watu wanao mkandia
Dogo jembe ndo nani?,
mwezi wa kwanza makamba
Dogo jembe ndio ---- gani? jembe alimlima nani?