Account in Dollars

Account in Dollars

Mbimbinho

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2009
Posts
8,328
Reaction score
7,804
Habarini wanajamvi.
Msaada pliz, ni Bank ipi yenye naweza kuwa na account in dollars, with affordable terms.

Asanteni.
 
Kama una account ya TZS CRDB ni rahisi sana kufungua Dollar account, it can take you only 15 minutes. Just you need to write an application letter asking to have a dollar account at the same time don't forget to get them informed dat you also posses a TZS account, that is all with CRDB.
 
Mkuu hapa tunaangalia Bank Charges na Floating Balance katika account. CRDB utajuta kwanza floating ni dola $100
 
Kama una account ya TZS CRDB ni rahisi sana kufungua Dollar account, it can take you only 15 minutes. Just you need to write an application letter asking to have a dollar account at the same time don't forget to get them informed dat you also posses a TZS account, that is all with CRDB.

Mkuu anataka with Affordable Terms mie nina a/c ya dola CRDB mwisho wa cku ilinishinda nikahamia KCB
 
Habarini wanajamvi.
Msaada pliz, ni Bank ipi yenye naweza kuwa na account in dollars, with affordable terms.

Asanteni.

Clarify level of your transactions expected in that account so that you can get correct advice. If you want to make transfer in NBC dollar to NBC Shilling you can negotiate rate but for other bank CRDB included I am not sure
 
Mkuu anataka with Affordable Terms mie nina a/c ya dola CRDB mwisho wa cku ilinishinda nikahamia KCB

Thanks mkuu, nifungue macho zaidi, what happened? what made you uhame CRDB?
 
Naongelea Savings Account

Mkuu ni hivi charges zao ziko hivi kwa haraka haraka..... Floating balance ya KCB ni $50 na CRDB ni $100#

Wote wanacharge dola $5 kila mwezi kwenye account yako

Wote wanacharge 1% kwa kiasi unacho withdraw

Ila cha ajabu kuna charges nyingine CRDB ambazo huwa zijawahi kufafanuliwa na ni za ajabu tu.
 
Standard chartered na stanbic vip? Maana hizi za nyumbani sio rafiki kabisa
 
Naongelea Savings Account

Mkuu ni hivi charges zao ziko hivi kwa haraka haraka..... Floating balance ya KCB ni $50 na CRDB ni $100#

Wote wanacharge dola $5 kila mwezi kwenye account yako

Wote wanacharge 1% kwa kiasi unacho withdraw

Ila cha ajabu kuna charges nyingine CRDB ambazo huwa zijawahi kufafanuliwa na ni za ajabu tu.

Naona kama tofauti uloonyesha ni negligible!!
 
Mkuu hapa tunaangalia Bank Charges na Floating Balance katika account. CRDB utajuta kwanza floating ni dola $100

Hapana. Nina account ya dollar na unaweza kuacha balance hata US$ 20. Talking from experience!
Monthly maintenance nayo si kubwa sana. Kuna faida pia ya internet banking
 
Akiba nilienda wakaniambia nianze kuweka 100 dollar. Then kila mwez nakatwa 5dollar. Nikakimbia
 
Hapana. Nina account ya dollar na unaweza kuacha balance hata US$ 20. Talking from experience!
Monthly maintenance nayo si kubwa sana. Kuna faida pia ya internet banking

Mkuu CRDB au benki nyingine...?
 
kwema mkuu... Nadhani naweza kuwa na experience japo sio kubwa bt ya kutosha. The good thing ni kwamba sijawahi kuwa na acc ya shilingi na toka nianze nimekuwa na ac za dola CRDB, Stanbic, Standard charter na hatimae access bank. Bila ushabiki Access bank is the best (according to my experience). gharama zake ni kama ifuatavyo; costs of withdrawal in cash ni 0.5%, account maintenance costs ni 1.00 usd kwa mwezi. over and out. wezi wa tatu nilipata capitalization ya 7.92 usd na mwezi wa nne nilipata 8.24 usd mwezi wa tano sita na saba sijachukua statement bt sijwahi kukatwa hela zangu japo zipo kidogo kila mwezi zinaongezeka at least 5 usd kama capitalization. opening balance ni 5 USD
 
kwema mkuu... Nadhani naweza kuwa na experience japo sio kubwa bt ya kutosha. The good thing ni kwamba sijawahi kuwa na acc ya shilingi na toka nianze nimekuwa na ac za dola CRDB, Stanbic, Standard charter na hatimae access bank. Bila ushabiki Access bank is the best (according to my experience). gharama zake ni kama ifuatavyo; costs of withdrawal in cash ni 0.5%, account maintenance costs ni 1.00 usd kwa mwezi. over and out. wezi wa tatu nilipata capitalization ya 7.92 usd na mwezi wa nne nilipata 8.24 usd mwezi wa tano sita na saba sijachukua statement bt sijwahi kukatwa hela zangu japo zipo kidogo kila mwezi zinaongezeka at least 5 usd kama capitalization. opening balance ni 5 USD

Asante Igwachnya, nitakimbila hUKO access
 
kwema mkuu... Nadhani naweza kuwa na experience japo sio kubwa bt ya kutosha. The good thing ni kwamba sijawahi kuwa na acc ya shilingi na toka nianze nimekuwa na ac za dola CRDB, Stanbic, Standard charter na hatimae access bank. Bila ushabiki Access bank is the best (according to my experience). gharama zake ni kama ifuatavyo; costs of withdrawal in cash ni 0.5%, account maintenance costs ni 1.00 usd kwa mwezi. over and out. wezi wa tatu nilipata capitalization ya 7.92 usd na mwezi wa nne nilipata 8.24 usd mwezi wa tano sita na saba sijachukua statement bt sijwahi kukatwa hela zangu japo zipo kidogo kila mwezi zinaongezeka at least 5 usd kama capitalization. opening balance ni 5 USD

Mkuu nimependa hao access, vipi unajua matawi yao countrywise, isije kuwa wapo dar tu? itabidi nifunge ya kwangu crdb nihamie access kumbe!
 
Back
Top Bottom