tz2015
JF-Expert Member
- Jun 23, 2014
- 982
- 447
Mkuu hii lugha ni hatari sana japo siyo kwako bali kwa mwenye hiyo benki.Una uhuru wa kuchagua mabenki yanayotoa mikopo ni mengi sio lazima uende kwao
Tatizo linalotukumba watanzania tulioajiriwa hatujui waliotuajiri wanapata wapi
fedha za kutulipa mishahara,laiti tungejua tungeheshimu wateja wa matajiri
zetu walete biashara,ili tuendelee kupata mishahara.