Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,654
Tatizo ni lugha wanayotumia kwa makubaliano. Barick wanatumia kizungu, sasa anayemtafsilia magu ndye anayekuwa anamdanganyaPia ni tatizo la serikali kudanganya uma! Barrick wenyewe wanasema watapeleka mapendekezo yote kwenye bodi ya ACACIA kwa ajili ya approval lakini serikali inasema BARRICK wamekubali kila kitu walichojadili wakati approval bado kutoka ACACIA
Mwisho wa siku usishangae migodi ikifunguliwa bila mirejesho ya nini walikubaliana
Sent using Jamii Forums mobile app