ACACIA warns of mine closure unless Tanzania lifts export ban

Jinsi hiyo habari ilivyoandikwa kwa kukumbusha gharama za uwekezaji, kama haya mambo yakifikia kufungwa huo mgodi basi tutegemee kudaiwa Kimataifa na tutegemee pia kuwa watashinda kesi na tukifanya ubishi kulipa tutegemee kufungwa mikanda kwa muda mrefu.

Hawa watu huwa hawana utani linapokuja suala la maslahi yao.
....Very well said mkuu. Kwenye uchumi huwa hawana maskhara, ikiwa wameivuruga Iraq and Libya for economical reasons watashindwa huku?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo si mepesi kihivyo siku hizi,
Ukienda benki kama unaweka rehani kitu ambacho hati yake inasoma watu wawili lazima hao wawili wawepo na waweke sahihi zao wote...kama sijaweka maana yake sikukubaliana, na maana yake naweza pinga hilo mahakamani na nyumba haitauzwa.....
Pili sidhani kama ana huo ujeuri wa kwenda kuweka kitu benki angali si kitu chake.

Watu watamuunga mkono endapo ataacha kubagua watu, akiendelea bagua watu hii vita tutaumia wote ila lawama zitaenda kwao
....Hahahaaaa, good response.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magufuri kulikuwepo na umhimu wa kupita Kakola kwa kweli kuucheki huu Mgodi maana napata hofu itakula kwetu hiiii vibaya sana. Kama hawa wanatishia kufunga operations zao Tz......
 
Jinsi hiyo habari ilivyoandikwa kwa kukumbusha gharama za uwekezaji, kama haya mambo yakifikia kufungwa huo mgodi basi tutegemee kudaiwa Kimataifa na tutegemee pia kuwa watashinda kesi na tukifanya ubishi kulipa tutegemee kufungwa mikanda kwa muda mrefu.

Hawa watu huwa hawana utani linapokuja suala la maslahi yao.
Well said@Faizafoxy!
 
...Unaanzaje kusimama pamoja kama taifa ikiwa upande mmoja unachukuliwa kwamba wao hawana haki wala mchango kwenye ujenzi wa taifa lao? Wanapuuzwa, kunyanyaswa na kunyimwa haki zao as if wao si Tanzania? Sasa ktk mazingira hayo huo umoja mnatarajia kuupataje? Labda kwa kutumia polisi kama kawaida yenu....

Tatizo lako akili imelewa siasa na kudhani kuwa anayeisifia CDM na mwana CDM na kila anayeisifia CCM nj mwana CCM.....

Jitoe kwanza utumwa fikra za wanasiasa ili upate fikra huru za kuipigania nchi yako......

Mimi kama Mtanzania nasimama na Tanzania kwa kuwa najua kuwa wanasiasa ni watu wa kupita tu...kama ambavyo walivyopita wengine....

Siwezi kuona au kutetea uozo kwa kuwa unafanyika sehemu ambayo mimi nimeegemea....huo utakuwa ni ukosefu wa akili na utumwa wa fikra.....

Tupo hapa kuipigania TANZANIA ambayo sio ya Magufuli wala ya Mbowe au Lissu bali ni yetu sote mimi na wewe......na ikiharibika tutaangamie mimi na wewe......




Think big take control of your decisions
 
mkuu ccm ndiyo fola ata ingekuwa upinzani ningesema nasema hivi sababu viongozi walipewa dola (Ccm) wanafanya siada wakati tumesain mikataba ya kifisadi na tunsoumia ni wananchi bila kujali chama kwa hiyo nawalaunu ccm kwa kufuni ka moshiwakati moto unawaka
Pia ni lazima kikubali makosa na kusahihishamakosa na si kuanza kuleta propaganda za kishenzi huku wakijua mikataba inatubana kama taifa Na ni lazima wahusika ambao ni wadtafu wawajibishwe kwa ushenzi uliofanyika ili iwe fundisho kwa vizazi vijavyo
mstaafu mmoja amemuhonga bwana mkubwa nyumba hamsini huko chato wiki mbili zilizopita
 
Tz ikitaifisha hiyo migodi haitaweza kamwe kuiendeleza kwa hapo ilipofikia. Maana migodi hiyo mikubwa sasa HV IPO underground gharama ni kubwa sana kuoperate. Imetushinda kamgodi kadogo tu meremeta tutaweza GGM au North Mara!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama tutaweza kuendesha hiyo migodi haitatusaidia kitu. Dunia ya sasa ubabe hausaidii kitu, hasa kwa Nchi ndogo kama yetu. Tutawekewa vikwazo tu kuuza hayo madini tutayapeleka wapi? Wakati wao ndo wanunuaji, itakula kwetu. Pasipo busara hapa tutegemee kufunga mikanda tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nadhani mheshimiwa rais afanye maamuzi sahihi tu ya kutaifisha ma kampuni hayo na kila kitu kilichoko hapa kinachowahusu. Lakini ili kuwa some ashughulike na wale waliowaingiza hapa chini bila kujali vyeo vyao wala itikadi zao

Sent using Jamii Forums mobile app
.

Kwa mtazamo wangu, nadhani tunadhani kuwa Magufuli anamaanisha asemacho, kitu ambacho sivyo kabisa. Yeye na watu wake anajua hilo kabisaaa.....

Na wanadhani kuwa labda scenario ya miaka sabini enzi za Hayati Mwl. J. K. Nyerere alipotaifisha majumba na mali zingine za (wageni ? wawekezaji ? mabepari ? ) kupitia sera ya ujamaa na kujitegemea ni sawa na sasa wakati is quite different na scenario hii ya wawekezaji hawa especially ktk sekta ya madini !!

Vivyo hivyo, labda, tunadhani scenario ya ufukuzaji na utaifishaji wa mashamba ya wazungu kule Zimbabwe uliofanywa na serikali ya ZANU - PF chini ya Rais mzee sana kuliko wote duniani kwa sasa Robert Mugabe na kuwagawia wazawa mashamba ni sawa tu na sasa wakati is quite different na scenario hii ya hapa Tanzania...!!

Si hivyo tu, bali, tunadhani scenario ya kufuta hati milki ama kutaifisha umiliki wa mashamba yasiyoendelezwa ya akina Frederick Sumaye na wengine, ni sawa na hii wakati is quite different na scenario hii ya wawekezaji hawa wa kimataifa ambao wameingia miaka ya 90s wakiwa na mikakati dhabiti tena wakizijua vyema vijiserikali hivi vya kiafrika ambavyo ni unpredictable na corrupt...

Nimekueleza kidogo haya nikioanisha na hayo kwa kutambua, mshikaji wetu huyu anapiga porojo za siasa za majukwaani tu kufurahisha genge la kahawa na audience ya Kakonko wanaingia mkenge na kama majuha wanaamini na kushangilia kwelikweli huku jamaa na watu wake deep in their heart wakitambua kabisa kuwa, wanacheza mchezo wa siasa za Kiafrika !!

Anyway, let us wish him all the best ili kila Mtanzania aje ajinyakulie Noah yake mpya ya Tshs. 20,000,000 toka Japan kutoka kwenye 108trn atakazolipa "Mthungu" mstaarabu saaana wa ACACIA.....!!

Na nadhani (labda) sasa, vijiji vyetu na mitaa yetu ya kila mji hapa TZ itaanza kutekelezewa ahadi ya uchaguzi wa mwaka 2015 ktk sera za Chama Cha Makinikia - CCM ya kila kijiji/mtaa kuwa unapata 50,000,000 kila mwaka wa fedha !!!
 
Tatizo lako akili imelewa siasa na kudhani kuwa anayeisifia CDM na mwana CDM na kila anayeisifia CCM nj mwana CCM.....

Jitoe kwanza utumwa fikra za wanasiasa ili upate fikra huru za kuipigania nchi yako......

Mimi kama Mtanzania nasimama na Tanzania kwa kuwa najua kuwa wanasiasa ni watu wa kupita tu...kama ambavyo walivyopita wengine....

Siwezi kuona au kutetea uozo kwa kuwa unafanyika sehemu ambayo mimi nimeegemea....huo utakuwa ni ukosefu wa akili na utumwa wa fikra.....

Tupo hapa kuipigania TANZANIA ambayo sio ya Magufuli wala ya Mbowe au Lissu bali ni yetu sote mimi na wewe......na ikiharibika tutaangamie mimi na wewe......




Think big take control of your decisions
....Stupidest and irrelevant comment. Sijawahi hata kuwa na kadi ya any political party, so kufikiri kila ninachoongea ni siasa biased ni ujuha wako tuu. Mtu yeyote makini hahitaji kuwa mwanasiasa ili kuona na kuhitimisha kwamba wanachofanyiwa watanzania wengine si sawa na ni uvunjaji wa sheria. Kwanza watanzania ambao ni active politically ni wangapi kwa akili yako? Unalia lia hapa eti hatuna umoja kama taifa,rubbish!!! U know very well the reasons but yet u have the audacity to bring it up!!!
 
....Stupidest and irrelevant comment. Sijawahi hata kuwa na kadi ya any political party, so kufikiri kila ninachoongea ni siasa biased ni ujuha wako tuu. Mtu yeyote makini hahitaji kuwa mwanasiasa ili kuona na kuhitimisha kwamba wanachofanyiwa watanzania wengine si sawa na ni uvunjaji wa sheria. Kwanza watanzania ambao ni active politically ni wangapi kwa akili yako? Unalia lia hapa eti hatuna umoja kama taifa,rubbish!!! U know very well the reasons but yet u have the audacity to bring it up!!!
Asante ndugu yangu uwe na wakati mwema wewe na wapendwa wako.....
 
Mimi nadhani mheshimiwa rais afanye maamuzi sahihi tu ya kutaifisha ma kampuni hayo na kila kitu kilichoko hapa kinachowahusu. Lakini ili kuwa some ashughulike na wale waliowaingiza hapa chini bila kujali vyeo vyao wala itikadi zao

Sent using Jamii Forums mobile app

Hapa hatafutwi mchawi bali solution to problem.Kama wanataka kufunga mgodi si wafunge waondoke?Kuna haja yoyote ya kutoa hayo matamshi.Sheria ni msumeno na kama hufuati taratibu za kimkataba utakuwa umeuvunja mwenyewe.Accasia wamevunja mkataba hivyo njia pekee wakubaliane na serikali kulipa kile walichokiiba au walichotuibia waTZ.Wafanye biashara kwa kufuata taratibu za nchi vinginevyo ndo hivyo sasa.wamenasa wanahitaji fadhila.Hakuna fadhili dawa ni kulipa walichokiiba.OVA.
 
Back
Top Bottom