tutasimamaje na mkurupukaji mbaguzi?asiyeshaurika?Ni Tanzania pekee ambapo wananchi wake wanafurahia mabalaa kwenye nchi yao......
Sote tunafahamu kuwa serikali ya CCM imefanya madudu mengi sana kwa faida ya matumbo yao......
Lakini kwa hapa ilipofikia tunatakiwa tusimame pamoja kama taifa.....