ACACIA wapinga vikali Matokeo ya Kamati ya pili ya Rais

Majambazi sugu hawa acacia. Anayeweza kuwafikishia ujumbe kwa lugha ya kiingereza naomba awafikishie huu ujumbe. Kwamba Acacia ni majambazi sugu yenye roho za kinyama. Na yalaaniwe majambazi haya.
 
Hapa unataka umakini gani zaidi? Tumetumia wataalam wa miamba na madini. Wataalam wa uchumi na wanasheria. Tumefanya uchunguzi, tumeleta findings. Unataka umakini gani?

Hizo findings more or less za upande mmoja,na waliofanya ni wale wale waliosaini hiyo Mikataba.Hivi Mruma si aliajiriwa na hayo hayo makampuni muda mfupi baada ya kusaini mikataba ya madini the same to Kalemani,leo hawa waliokwisha tusua raslimali zetu wanatufanyia tena investigation,mh sidhani kama itakuwa sahihi.Kwangu mimi wangeweka hizi investigation kwenye very neutral ground.

Any way wale wale waliotupiga kwenye vivuko na madini sina la zaidi
 
TL ndio aliwaleta hao Acacia Tanzania hii? Akasaini nao mikataba hotelini? Halafu akaishia kuwekwa ndani na Mkapa 1998 kwa kosa hilo? Mbona mnajitoa ufahamu sana?
Na wewe usiwe kama ulichelewa kulia ulipozaliwa bana! Waliosaini, Acacia( tena wizi mwingine wamepiga nje ya hata hiyo mikataba ovyo) na Lissu plus wapambe wake wote wanatuumiza kama nchi kwa sasa.
 
Hapa unataka umakini gani zaidi? Tumetumia wataalam wa miamba na madini. Wataalam wa uchumi na wanasheria. Tumefanya uchunguzi, tumeleta findings. Unataka umakini gani?

Pia tukumbuke walioandaa hizo ripoti ni wasomi wazuri tu, kama wanadanganya watakwenda wenyewe kuteta kisheria na kiutaalamu zaidi, Tuache maneno ya kijiweni ambayo hayana fact yeyote.
 
Naona kila upande unamtegea mwenzie unasema upo tayari kwa majadiliano. Sasa hapa kama una akili utajiuliza maswali mengi. Wa kwanza alie ibiwa anadai chake lakini hamfikishi mahakamani mwizi wake, na yule alietuhumiwa kuiba na kuzuiliwa mali zake na kusababisha kuchafuliwa ambapo hisa zake zimeporomoka kwa kiasi kikubwa nae hataki kumshitaki aliemchafulia jina, aliemuingiza hasara ya hisa na bidhaa zake zilizoshikiliwa nae anasema yupo tayari kwa majadiliano. Kuna alama kubwa sana ya kuuliza na ya mshangao ambazo hazionekani ni za kufikirika ambazo hazionekani kwa macho zinahitaji majibu ya kufikirika.
Unaweza kuta umeibiwa kwenye nyumba yako ukiamua kuwapeleka
wezi mahakamani na BABA YAKO pia anahusika, unaamua kulimaliza
mezani au kwa vikao vya wazee.
 
Sumaye ndo alikua PM. Alisha jinasibu kua yeye ilikua ndo kila kitu wakati wa BM.

Sumaye hawezi kuchomoka yeye na Mkapa, Tatizo tunaongopewa mtu akiwa upinzani basi amekuwa msafi.Wachafu wako pande zote pasipo kujali chama na wasafi wapo pande zote, Rais anania njema sana kwa watanzania ndio maana kaamua kufanya haya yote pasipokujali amefanya nani au yupo upand gani makosa madogodogo yatakuwepo ila tuangali faida tunayopata nchi.
 
Usimwamini bepari kwa hili nasimama na yohana gambe kwa asilimia mia
 
Wanajitoa ufahama hawa .... afu mbona hawakanushi vyote!! mbona hawasemi kama ni kweli hawajasajiliwa + plus mambo mengine mengi ambayo yameongelewa kwenye ripoti! nilitegemea labda wangetoa jibu moja badala ya jingine kama ripoti inavosema matokeo yake wana copy na ku paste statement ngonjera zao zile zile wanazozisema siku zote!!

Hawa ni wa kufilisi tu na waondoke nchini.

"Sisi tumefanya biashara zetu kwa utaratibu bora kabisa na kwa kufuata sheria zote za Tanzania".

unataka itumike lugha gani tena kuonyesha wamesajiliwa na mambo mengine???
 
Wanajitoa ufahama hawa .... afu mbona hawakanushi vyote!! mbona hawasemi kama ni kweli hawajasajiliwa + plus mambo mengine mengi ambayo yameongelewa kwenye ripoti! nilitegemea labda wangetoa jibu moja badala ya jingine kama ripoti inavosema matokeo yake wana copy na ku paste statement ngonjera zao zile zile wanazozisema siku zote!!

Hawa ni wa kufilisi tu na waondoke nchini.
nadhani acacia bado hawajapokea kwa maandishi ripoti ya kamati ndo maana hawajajibu kila kitu. hata ivo kwa mtazamo wangu itaundwa kamati huru ya kuchunguza tena hayo makinikia kwa kuwa bado makontena yenye mchanga yapo, vinginevyo hii drama haitafika mwisho!
 
Nani aliwasainisha mikataba?
Chama gani kilipitisha mikataba kwa kusema ndyoooo?
Kama walikuwa hawalipi kodi ni mbona mbowe asipo lipa kodi wiki tu mshajua je utashindwa kujua kama ACACIA kama hawajalip 24hrs?
Je huyu hakuwepogi kipind hicho?
Je wapinzani hawakushauri kuhusu hili toka muda?

Mkuu huwezi kununua akili yangu kwa kiki na sifa...mnanunuliwa ninyi na viini macho sio mimi najielewa.
Hivi wewe jamaa unatakaje? Tusichukue hatua kwakuwa walifanya hivyo ni CCM?!!. Hivi Unafahamu kuwa upinzani una waliokuwa wanaCCM wakubwa sana? Hapa si uCCM wala Upinzani. Issue ni wizi na watu walioshiriki bila kujali wapo CCM ama upinzani
 
Back
Top Bottom