mdaharunga
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 413
- 396
Inawezekana hupo Serious na ulichoandika. Hatahivyo kwakuwa umeandika mambo ya Utanzania na pia umetaja ujuha basi nitakuuliza maswali kidogo.Kuwa na akili huru, penda kusikia hata yale yanayopingana na imani, itikadi na misimamo yako. Kuuliza uzawa/utanzania kwa misingi tu utofauti wa kufikiri ni ujuha wa kiwango cha reli standard gauge.
Je, Unafahamu kinachongumziwa?
Je, unaelewa kinachozungumziwa?
Je, mleta mada Unadhani ana elewa?
Unaelewa kwanini nilimuuliza mleta mada swali hilo?
Nini maoni yako juu ya sakata la sasa.
Dhihirisha kuwa mimi ni JUHA lakini wewe siyo JUHA kwa kujibu maswali hayo.