ACACIA: Makinia Ina Dhahabu 0.3% , Hasara Baada Kusitisha Usafirishaji BIL. 392 Kwanza Miezi 6 Tu

Namba zimekupiga chenga kwahiyo ulivyoona percent ni fraction basi umeona ndogo kweli kweli!

FYI, sio 0.3% bali ni 0.02%... ni ndogo kuliko hiyo uliyotaja!!

Sasa turudi kwenye hesabu! Takwimu zinasema kwa mwaka wanasafirisha takribani tani 50,000.

Tani 50,000 = 50,000,000 kg

0.02% ya 50M = 10,000 kg... kwa mwaka>>> Kwa miezi 6 = 5,000kg za dhahabu.

Takwimu za leo, 1kg of gold ni takribani $40,400... zidisha mara 5,000 = $202,000,000

Tukichukua exchange rate ya Sh.2000, times 202,000,000 unakuta ni zaidi ya TShs. 400 Billion halafu wewe unashangaa 392Billion!!
Umeamua kuja na pct yako na hesabu zako!
 
ACACIA walisema Dhahabu ni 0.3% tu, leo wanalia wamepoteza 80% ya their Business Tsh. 392B in 6 Months tu! Imagine17 year
Hawa ni Majambazi siyo Kampuni ya kuchimba Madini
Hasara haipatikani kwenye product pekee, huwezi jua ni kwa namna gani Kwenye Stock Exchange wamedrop, huwezi jua wanazungushaje hela yao kila baada ya kuuza Makinikia na faida wanayoipata huko! Hawa ni WEZI,ndio, ila nyinyi sijui hata mpewe jina gani, ni zaidi ya Majizi, hawa hawakuiba pasipo msaada wenu, hebu punguzeni Unafiki kidogo tu! Wizi wao upo Kisheria, na Hasara mtailipa Kisheria!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mhuuu, uongo mwingine jaman, hv ukiwa unapoteza USD 1m kila siku baada ya miezi 6 utakuwa umepoteza 392B? We kwel mahaba na kijan yamekuzid sn, hebu tupe source ya hicho ulichoandika.
Mkuu miezi sita ina siku 180, kwa hiyo ni dola milioni 180, sasa kama dola moja ni 2200 yupo sahihi ni bilioni 390. Hata ripoti yao wamesema wamepoteza zaidi ya dola milioni 176....usiwe unajielekeza kupinga tu ili uwe upande wa Tundu.
 
Soma uelewe masuala ya company profitability yanakuaje. Hiyo sio hasara kama unavofkiria....hyo mostly ni "paper loss" inayotokana na depreciation ya shares za company kwakua confidence ya wanunuzi wa hisa imeshuka kutokana na disruptions za Tz na sio tu kwa makinikia.

An ant on the move does more than a dozing ox.
 
Tatizo hesabu zimekupiga chenga kwahiyo ulivyoona percent ni fraction basi umeona ni ndogo kweli kweli!

FYI, sio 0.3% bali ni 0.02%... ni ndogo kuliko hiyo uliyotaja!!

Sasa turudi kwenye hesabu! Takwimu zinasema kwa mwaka wanasafirisha takribani tani 50,000 za makinikia.

Tani 50,000 = 50,000,000 kg

0.02% ya 50M = 10,000 kg za dhahabu kwa mwaka>>> Kwa miezi 6 = 5,000kg za dhahabu.

Takwimu za leo, 1kg of gold ni takribani $40,400... zidisha mara 5,000 = $202,000,000

Tukichukua exchange rate ya Sh.2000, times 202,000,000 unakuta ni zaidi ya TShs. 400 Billion halafu wewe unashangaa 392Billion!!
Mbona unapiga hesabu bila kuuchenjua mchanga?

Anyway najua ni hamu ya kupata Noah.
 
Sure! Hesabu zao are sensible than those of TRA's. Kwa hesabu hizo ni roughly 800bn/- kwa mwaka. Kwa miaka 17 bila kujali kiwango cha miaka ya kwanza ya uwekezaji ni 13.6tr/-. Duh; sasa nyie wazee mnawatoza kodi 424/- tr kwa kipindi hicho hicho hata mwendawazimu anawashangaa.
 
ACACIA walisema Dhahabu ni 0.3% tu, leo wanalia wamepoteza 80% ya their Business Tsh. 392B in 6 Months tu! Imagine17 year
Hawa ni Majambazi siyo Kampuni ya kuchimba Madini
Kwa mfano wana zaidi ya kontena 1000 za mchanga na kontena moja ina thamani ya Tsh 300 million kwa makadirio ya ACACIA siyo kamati ya Magu vinginevyo ungecheza kwenye hesabu kubwa sana

kwa hiyo 1000 x 300,000,000= Tsh 300,000,000,000/=(Tsh 300 Billion)

sasa ukija kwenye hesabu ya kamati

unajiuliza swali rahisi tu kwa kusema kama kontena 277 ni Tsh 1.43 Trillion, je, kontena 1000 ni sawa na Tsh Ngapi?

kwa hiyo utasema (1000 x 1.43)/277= Tsh 5.16 trillion kwa mujibu wa kamati ya Magu kwa mfano wa kontena 1000

halafu kutokuuza mzigo siyo hasara kwa sababu bado iko kwenye stock yao.. labda kama inatokana na share zao kushuka na gharama zingine za storage na demmurages za makontena
 
Mkuu miezi sita ina siku 180, kwa hiyo ni dola milioni 180, sasa kama dola moja ni 2200 yupo sahihi ni bilioni 390. Hata ripoti yao wamesema wamepoteza zaidi ya dola milioni 176....usiwe unajielekeza kupinga tu ili uwe upande wa Tundu.
Hasara mnayoipigia hesabu ni tofauti na kanuni walioitumia wahusika!

Wapelekeeni report ya Osoro ili wawaleteeni majibu official.
 
Kwa mfano wana zaidi ya kontena 1000 za mchanga na kontena moja ina thamani ya Tsh 300 million kwa makadirio ya ACACIA siyo kamati ya Magu vinginevyo ungecheza kwenye hesabu kubwa sana

kwa hiyo 1000 x 300,000,000= Tsh 300,000,000,000/=(Tsh 300 Billion)

sasa ukija kwenye hesabu ya kamati

unajiuliza swali rahisi tu kwa kusema kama kontena 277 ni Tsh 1.43 Trillion, je, kontena 1000 ni sawa na Tsh Ngapi?

kwa hiyo utasema (1000 x 1.43)/277= Tsh 5.16 trillion kwa mujibu wa kamati ya Magu kwa mfano wa kontena 1000

halafu kutokuuza mzigo siyo hasara kwa sababu bado iko kwenye stock yao.. labda kama inatokana na share zao kushuka na gharama zingine za storage na demmurages za makontena
Image ya company mmeispoil.

Gharama yake mtakimbiana, mtamuachia mwenyekiti ahangaike nalo.
 
Yani kwa hili la makinikia CCM mmechanganya bangi na nywele za chini ya kiuno.Tulieni mkojoe upepo?

Sasa hivi mnawadai kodi zaidi ya mara 60 ya mtaji wao.Ngojeni tutawaona tu na nyie.
Unaamini fedha zinazodaiwa ni za CCM,hazikuhusu.Kweli humu tunapoteza muda kujaddiliana na baadhi ya watu.Maumivu ya matendo ya ACASIA yanawaathiri wana CCM tu. Na uwezo mkubwa wa kujenga hoja yako ya kutetea ngozi nyeupe ni hiyo uliyoiweka. Mnastahili kuungana na Tsavingirai acha wengine tubaki na Jongwe Mugabe na wanaofanana naye.
 
Kwa hiyo unataka tutumie hii akili yako ya kukariri kukokotoa kuhalalisha wiz wa Acacia?
Tatizo hesabu zimekupiga chenga kwahiyo ulivyoona percent ni fraction basi umeona ni ndogo kweli kweli!

FYI, sio 0.3% bali ni 0.02%... ni ndogo kuliko hiyo uliyotaja!!

Sasa turudi kwenye hesabu! Takwimu zinasema kwa mwaka wanasafirisha takribani tani 50,000 za makinikia.

Tani 50,000 = 50,000,000 kg

0.02% ya 50M = 10,000 kg za dhahabu kwa mwaka>>> Kwa miezi 6 = 5,000kg za dhahabu.

Takwimu za leo, 1kg of gold ni takribani $40,400... zidisha mara 5,000 = $202,000,000

Tukichukua exchange rate ya Sh.2000, times 202,000,000 unakuta ni zaidi ya TShs. 400 Billion halafu wewe unashangaa 392Billion!!
 
Back
Top Bottom