Uzito wa Hoja za Kisiasa za Zitto Kuhusu Makubaliano ya Barrick and Serikali

ET2019

New Member
Jul 22, 2019
3
10
Kama ilivyo kawaida wanasiasa ambao wamekuwa mbembele KUPINGA mabadiliko ya sheria ya madini wamekuwa tena vinara wa kueneza upotoshaji wa makubaliano ya awali ya BARICK na Tanzania. Tangia mwanzo ubashiri wao umekuwa kushindwa kwa serekali na kushitakiwa kwenye mahakama za Kimafaifa. Katika kila hatua wamekuwa nyuma ya wakati kwenye mapinduzi lakini wamekuwa mbele ya wakati kwenye kupotosha.
Nimefanya uchambuzi wa Hoja za Zitto na nimeweka majibu upande wa kulia. Kitu cha Msingi kabisa katika haya yote ni Kwamba mabadiliko ya sheria ya Madini yanatumika na kwa asilimia kubwa mwitikio wa wadau umekuwa mkubwa.
Ukisoma kwa makini makataba wa Tanzania na Barrick utaona umesheheni wao kukubali kufuata masharti ya sheria ya Madini.
HOJA YA ZITTOUKWELI HALISI WA HOJA
Dola Milioni 300 za kumaliza mgogoro KIINI MACHO
Serikali imekubaliana na Barrick kuwa italipwa Dola milioni 300 (wastani wa TZS 700 Bilioni) kama malipo ya kumaliza mgogoro wote (full, final and complete settlement) na SIO kishika uchumba kama Serikali ilivyoeleza umma. Barrick watalipa fedha hizi kwa muda wa MIAKA 7 na zitakuwa ni baada ya kuondoa madai yote ya kodi ambayo Acacia inaidai Tanzania.

Itakumbukwa kuwa Acacia Group ina madai ya marejesho ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT refunds) inayofikia takribani Dola za Marekani milioni 240 (wastani wa 552 Bilioni). Hivyo katika malipo ya Dola za Marekani Milioni 300, zitakazobakia baada ya kutoa madai ya VAT refunds ni Dola Milioni 60 (wastani wa 138 Bilioni) tu. Kama tutakavyoona katika hoja ya pili hapa chini hata hizi Dola za Marekani Milioni 60 kimsingi hazitatolewa.
Hoja hii ni mfu kwasababu zifuatatazo..

Kwanza ni kweli kwamba dola milioni 300 ndio italipwa kumaliza mgogoro wa (kikodi) lakini haya si Malipo peke yake ambayo yatalipwa kama malipo ya kutatua Mgogoro wote.

Pili ni Uongo kwamba milioni 300 zote zitalipwa baada ya kutoa madai ya marejesho ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT refunds).

Mkataba upo wazi kwamba kutakuwa na malipo ya awali ya US$100 million (Billioni 230) kwa serekali kumlikishwa mzigo wa dhahabu na Makinikia uliopo Bandarini.

There will be an initial upfront “payment” by way of assignment to the GoT of minerals contained in containers at Dar es Salaam port with a value of US$100 million, such value to be determined pursuant to a protocol separately agreed between the parties.

Baada ya hapo kutakuwa na malipo mengine kwa miaka 6 ya dola US$33.33 million kila mwaka.

“Conditional on and following completion under the Framework Agreement, six subsequent
payments of US$33.33 million”
Tatu- Marejesho ya kodi yatakayokatwa kwenye miaka itakayofuata yanahusiana na mwaka wa fedha 2018 tu na sio miaka mingine ya nyuma.
“The Framework Agreement allows for the US$300 million settlement payment to be reduced by an amount equal to any excess claimed by the Tanzania Revenue Authority if an assessment
arising from the Tanzania Revenue Authority’s audit in respect of the 2018 tax year results in a total tax liability for the Acacia parties in excess of what is expected (i.e. exceeds the total of the
2018 amounts paid by Acacia prior to the date of the Framework Agreement).”







2. Barrick Gold Wamesamehewa Kodi ya Ongezeko la Mtaji USD 85.6M
Hoja hii pia ni mfu. Ikumbukwe kwamba Serekali ya Tanzania (GOT) ndio ilikataa kufanya mazungumzo na Acacia ambapo msimamo wa Serekali ulikuwa ni kuifuta Acacia kabisa Tanzania.

Ili kukidhi sharti la kusudio hilo Barrick ilitakiwa inunue hisa 36% ambazo ilikuwa haizimiliki ndani ya Acacia na sharti waliopewa na ( GOT) ilikuwa kufanya manunuzi kwa Shares swaps (Kubadilishana shares) na sio cash payments.

Hivyo basi umiliki haujabadilika isipokuwa wamiliki kwasasa wanamiliki shares za migodi ya Tanzania kupitia Barrick moja kwa moja na si kupitia Acacia.

Hivyo msamaha huo unaendana na Lengo pana amabalo ilikuwa ni kuiondoa Acacia kwenye Ubia wa umiliki wa kampuni mpya Tanzu itakayo undwa baada ya huu mchakato.

Hata tukisema kwamba Capital gains imepotea lakini ukiangalia faida pana zinazoletwa na makubaliano hayo mfano tu ni Takwa la Kampuni kutumia Zaidi ya hizo dola USD 85.6M kwenye shughuli za jamii kila mwaka.

Kampuni itatakiwa kila mwaka kwa miaka yote ya Uhai wake kutumia dola milioni US$70m (Tsh 150 bilion ) kila mwaka kuwekeza kwenye shughuli za jamii na pia watatumia US$6 per ounce on top kuwekeza kwenye shughuli za jamii.

1. The Framework Agreement provides that the TMCs will commit up to US$70m in aggregate, plus up
to US$6 per ounce of gold sold in concentrate and doré from the mines, on various specified CSR related
initiatives in Tanzania
4. Bunge lafungwa mikono kubadili sheria yeyote

Serikali ya Tanzania na Kampuni ya Barrick wamekubaliana kuwa baada ya mkataba wao kukamilika Bunge la Tanzania haliwezi kutunga sheria yeyote ambayo itabadili makubaliano hayo na kodi zote zilizokuwa zinafanya kazi wakati wa kuingia makubaliano hazitaweza kubadilishwa kipindi chote ambacho Barrick watakuwa wanafanya kazi Tanzania (fiscal stabilisation).
Hi hoja ni Uongo.
Mkataba una fiscal stabilisation inayohusina na ugawanaji wa faida ( 50/50 Benefits ).

Hivyo Bunge halikatazwi kutunga sheria or kubadili sheria. Ispokuwa ikitokea mabadiliko yametokea Mkataba utapitiwa kuhakikisha bado unakisi ugawanaji wa 50/50.
Kama inavyoonyeshwa hapo chini.

The 50/50 Principle is also subject to: (i)
a separate annual review of the fiscal regime (set out in more detail under the Amended and
Restated MDAs) resulting in amendments to the Amended and Restated MDAs as necessary
each year to seek to ensure the projected sharing of economic benefits will remain equal going
forward in accordance with the 50/50 Principle; and (ii) fiscal stabilization provisions (set out in
more detail under the Amended and Restated MDAs) providing that in the event of any change
to the fiscal regime applicable to the TMCs which is detrimental to them and/or any change to
the laws in force as of 1 January 2019, which would, or would likely, cause a material distortion
of the equal sharing of economic benefits, the Amended and Restated MDAs will be amended to
restore the 50/50 Principle.

Tanzania kupewa Hisa 16% za daraja B lakini Watanzania kunyimwa umiliki wa 30% kupitia Soko la Hisa la DSE
Ni kweli kuwa Serikali itapewa hisa za bure 16% kwenye Kampuni tanzu zote za Acacia hapa nchini kama tulivyoambiwa na Serikali. Lakini hisa hizo ni za Daraja la B ambazo ni hisa dhaifu kulinganisha na zile za Daraja la kwanza. Hisa hizo haziruhusiwi kuuzwa, hazina kura kwa masuala fulani fulani ya Kampuni na huwezi hata kuziweka kama dhamana ya mikopo. Hata mgawo wa gawio hisa hizi hupata baada ya wale wa daraja A kulipwa kwa ukamilifu
Huu Pia ni Uongo Mtakatifu.

Madaraja haya ya hisa yametengenezwa Kuruhusu shares za Barrick ziendelee kuuzwa kwenye soko la hisa na zile za Serekali zisipunguzwe thamani.

Mkataba unasema;
b. the GoT shareholder – 16% free carried interest (held in the form of Class B shares), with such free carry interest being non-transferable (directly or indirectly).

Maana yake hakutakuwa na mbinu za kupunguza thamani au kuipoka serekali share zake .

Pili, Mkataba unasema hisa Daraja A na B zitakuwa sawa wanatumia neon la kilatin pari passu lenye maana sawa.


J. The articles of association for the TMCs, which will be entered into on the Closing Date, provide that Class A shares and Class B shares rank pari passu in all respects except that:

Pamoja na huo usawa share za Tanzania za daraja B zinapewa nguvu Zaidi kwenye mambo ya Ziada.

Kwanza inazuia share za Serekali kuuzwa kwa mtu binafsi, kuwekwa rehani etc hii nikukidhi takwa la kisheria kuhakikisha hizo 16% hazipo diluted/punguzwa thamani.

Takwa la kisheria ni kwa serekali kumiliki asilimia 16% muda wote- Kama zinzweza kuzwa kama anayotaka Zitto hilo takwa litatimizwaje ?

(i) Class B shares may only be issued to, held by or transferred to the GoT shareholder and may not be pledged, charged or otherwise disposed - THIS WORDING MEANS THEY ARE NON DILUTABLE. of (whereas the Class A shares are transferable to: (a) a financial institution by way of a pledge to secure bona fide debt; (b) an affiliate (with GoT shareholder consent, not to beunreasonably withheld); or

Pia Mkataba unaonesha kila mwanahisa atapata gawio kutokana na share zake na taratibu za kawaida za kimahesabu.
M. As well as setting out the proportionate interests of each shareholder, details on governance and transfer restrictions, each TMC Shareholders’ Agreement provides that, subject to applicable laws in Tanzania, each TMC board will be entitled to make a distribution (in the form of dividends, repayment of shareholder loans, or return of capital) of all of the distributable profits as determined by that TMC board for each fiscal year to the respective shareholders of the TMC in proportion to their 84%/16% proportionate interest.

Kipengele N kinampa madaraka makubwa sana Serekali (GOT) ambapo maamuzi mengi yote ambayo hutumika kam mianya ya kukwepa kodi na uhamishaji faida yatafanyika kwa makubaliaono yake

N. Certain actions cannot be taken by the TMCs without the prior approval of the GoT shareholder (in
each case not to be unreasonably withheld or delayed) (being the “Reserved Matters”). The list of Reserved Matters includes, but is not limited to:
a. amendment to the articles of association of the TMCs;
b. any merger, sale of all or substantially all assets, reorganisation, joint venture, acquisition of more than 50% of the shares then in issue by any person other than the Acacia shareholder or its affiliates, application to list any shares on any recognized national or international stock
exchange or public offer of securities or similar in respect of the TMCs;
c. issuance to any party (other than to shareholders or their affiliates on a pro rata basis) of any shares, whether Class A or Class B shares, in the capital of the TMC, or any securities, options or rights etc.;
d. provision by the TMC of any credit, the making of a loan or advance, or the granting of a guarantee, in each case other than in the ordinary course of the business (ordinary course
includes, for the purpose of obtaining third party finance for the TMC’s operations or business or as part of the usual terms of contracts for the sale of the TMC’s products on arm’s length terms); and
e. authorization or entering into of any shareholder loan from an affiliate of the TMC to the TMC
(i) for the purpose of on-lending of proceeds raised through external third party financing, and
(ii) which does not require the TMC to issue, grant or deliver loan notes to the GoT shareholder representing a 16% interest therein.
Mahesabu hewa ya Zitto

Tanzania Imekosa Shilingi Trilioni 2 kwa Sababu ya Viongozi Kukosa Maarifa

Siku za mwanzo kabisa za mgogoro wa Makanikia nilieleza kuwa Serikali ya Rais Magufuli haina Maarifa ya kuwezesha nchi kupata ushindi katika suala hili, watu wengi walinitukana, lakini leo imedhihirika hivyo.

Wakati ule nilitoa mfano kuwa Acacia ilipotaka kununuliwa na Kampuni nyengine ya Canada kwa thamani ya Dola za Marekani 4.4 Bilioni (wastani wa TZS 10 Trilioni), Tanzania ingefaidika sana kwa kupata Kodi ya Ongezeko la Mtaji ya Dola za Marekani 880 Milioni (wastani wa TZS 2 Trilioni), Serikali haikufanya subira na ikazuia Makanikia na mpango ule wa Acacia kununuliwa ukavubjika.
  • Kwanza sio kweli kama anavyosema Zitto kwamba mazungumzo ya Acacia na Endeavour Mining ziliizotaka kuungana na si kununuana yalivunjika kwasababu ya Serekali ya Tanzania kubadilisha sheria za Madini Au kuzuia Makinikia. Ushahidi ambao unapatikana kwenye mitandao na ulikuwa reported na Gazeti la The East African na Mengine ya kimataifa unaonesha Kwamba Mazungumzo yalivunjika kwa kutokubaliana dhamani ya shares “ Mining firm Endeavour Mining Corporation has withdrawn from merger talks with Acacia Mining Plc due to a dispute over shareholder value. Pia gazeti maarufu la MiningMX pia waliandika habari inayopatikana hapa kunaonesha kwamba hawakukubaliana kwasababu ya dhamani za sharei na nina Quote. “Endeavour Mining Corporation announced today that it has terminated discussions with Acacia Mining regarding a potential corporate transaction following the inability to reach an agreement that it believed would create adequate value for Endeavour’s shareholders.
  • Pili Zitto anasema thamani ya Acacia Mwaka 2017 ilikuwa ni Dola za kimarekani million 4 kitu ambacho ni uongo mtakatifu. Gazeti la Bloomberg tarehe 13 January 2017 reported kwamba ukiyaunganisha hayo Makampuni mawili kwapamoja ndio yalikuwa na dhamani ya 3.8 Billion USD. Ambapo kwa kipindi hicho Acacia ilikuwa na dhamani ya US$2.2bn.
  • Lengo Kubwa kuhusu ulaghai huo hapo juu ni kuonesha kwamba Serekali imepata hasara kitu ambacho ni cha uongo na kupoteza lengo halisi.
Hoja ya Nyongeza za watu wengine Mitandaoni - Ujenzi wa SmelterSerekali haijailazimisha Barrick kujenga Smelter kwasababu ipo kwenye mazungumzo na wawekezaji wengine.

Kwahiyo Tangia January 2019 Tanzania iliruhusu export ya gold na copper concentrates wakati inaingia kwenye majadiliano ya mwisho na wawekezaji wa kujenga smelters.

Wawekezaji wote walitaka uhakika wa upatikanaji wa makinikia na njia mojawapo wa kuwahakikishia ni kuwazuia Barrick kujenga Smelter.

Na hizi taarifa zipo in public domain sio siri.
https://www.theeastafrican.co.ke/bu...Dar-es-Salaam/2560-4944218-ck2prfz/index.html

Kwa mantiki hiyo juu ndio maana kwenye

F. Amended and Restated MDAs kumekwa takwa kwamba migodi yote ITARUHUSIWA tu kupeleka makinikia nje ya nchi mpaka ujenzi wa Smelter uishe.

the TMCs will have the unfettered right to export minerals (including doré and
concentrates) until refining (in the case of doré) and smelting (in the case of concentrates) are available in Tanzania
 

Attachments

  • Endover.JPG
    Endover.JPG
    53.6 KB · Views: 13
Hakuna mtu atakueelewa mkuu. Umeleta vitu vikubwa wakati vichwa vyetu ni vya kuku. Tunapenda vitu vilaini laini na vyenye elements za umbeya umbeya. Hapa utaambulia matusi tu na kebehi.
 
Kama ilivyo kawaida wanasiasa ambao wamekuwa mbembele KUPINGA mabadiliko ya sheria ya madini wamekuwa tena vinara wa kueneza upotoshaji wa makubaliano ya awali ya BARICK na Tanzania. Tangia mwanzo ubashiri wao umekuwa kushindwa kwa serekali na kushitakiwa kwenye mahakama za Kimafaifa. Katika kila hatua wamekuwa nyuma ya wakati kwenye mapinduzi lakini wamekuwa mbele ya wakati kwenye kupotosha.
Nimefanya uchambuzi wa Hoja za Zitto na nimeweka majibu upande wa kulia. Kitu cha Msingi kabisa katika haya yote ni Kwamba mabadiliko ya sheria ya Madini yanatumika na kwa asilimia kubwa mwitikio wa wadau umekuwa mkubwa.
Ukisoma kwa makini makataba wa Tanzania na Barrick utaona umesheheni wao kukubali kufuata masharti ya sheria ya Madini.
HOJA YA ZITTOUKWELI HALISI WA HOJA
Dola Milioni 300 za kumaliza mgogoro KIINI MACHO
Serikali imekubaliana na Barrick kuwa italipwa Dola milioni 300 (wastani wa TZS 700 Bilioni) kama malipo ya kumaliza mgogoro wote (full, final and complete settlement) na SIO kishika uchumba kama Serikali ilivyoeleza umma. Barrick watalipa fedha hizi kwa muda wa MIAKA 7 na zitakuwa ni baada ya kuondoa madai yote ya kodi ambayo Acacia inaidai Tanzania.

Itakumbukwa kuwa Acacia Group ina madai ya marejesho ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT refunds) inayofikia takribani Dola za Marekani milioni 240 (wastani wa 552 Bilioni). Hivyo katika malipo ya Dola za Marekani Milioni 300, zitakazobakia baada ya kutoa madai ya VAT refunds ni Dola Milioni 60 (wastani wa 138 Bilioni) tu. Kama tutakavyoona katika hoja ya pili hapa chini hata hizi Dola za Marekani Milioni 60 kimsingi hazitatolewa.
Hoja hii ni mfu kwasababu zifuatatazo..

Kwanza ni kweli kwamba dola milioni 300 ndio italipwa kumaliza mgogoro wa (kikodi) lakini haya si Malipo peke yake ambayo yatalipwa kama malipo ya kutatua Mgogoro wote.

Pili ni Uongo kwamba milioni 300 zote zitalipwa baada ya kutoa madai ya marejesho ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT refunds).

Mkataba upo wazi kwamba kutakuwa na malipo ya awali ya US$100 million (Billioni 230) kwa serekali kumlikishwa mzigo wa dhahabu na Makinikia uliopo Bandarini.

There will be an initial upfront “payment” by way of assignment to the GoT of minerals contained in containers at Dar es Salaam port with a value of US$100 million, such value to be determined pursuant to a protocol separately agreed between the parties.

Baada ya hapo kutakuwa na malipo mengine kwa miaka 6 ya dola US$33.33 million kila mwaka.

“Conditional on and following completion under the Framework Agreement, six subsequent
payments of US$33.33 million”
Tatu- Marejesho ya kodi yatakayokatwa kwenye miaka itakayofuata yanahusiana na mwaka wa fedha 2018 tu na sio miaka mingine ya nyuma.
“The Framework Agreement allows for the US$300 million settlement payment to be reduced by an amount equal to any excess claimed by the Tanzania Revenue Authority if an assessment
arising from the Tanzania Revenue Authority’s audit in respect of the 2018 tax year results in a total tax liability for the Acacia parties in excess of what is expected (i.e. exceeds the total of the
2018 amounts paid by Acacia prior to the date of the Framework Agreement).”






2. Barrick Gold Wamesamehewa Kodi ya Ongezeko la Mtaji USD 85.6M
Hoja hii pia ni mfu. Ikumbukwe kwamba Serekali ya Tanzania (GOT) ndio ilikataa kufanya mazungumzo na Acacia ambapo msimamo wa Serekali ulikuwa ni kuifuta Acacia kabisa Tanzania.

Ili kukidhi sharti la kusudio hilo Barrick ilitakiwa inunue hisa 36% ambazo ilikuwa haizimiliki ndani ya Acacia na sharti waliopewa na ( GOT) ilikuwa kufanya manunuzi kwa Shares swaps (Kubadilishana shares) na sio cash payments.

Hivyo basi umiliki haujabadilika isipokuwa wamiliki kwasasa wanamiliki shares za migodi ya Tanzania kupitia Barrick moja kwa moja na si kupitia Acacia.

Hivyo msamaha huo unaendana na Lengo pana amabalo ilikuwa ni kuiondoa Acacia kwenye Ubia wa umiliki wa kampuni mpya Tanzu itakayo undwa baada ya huu mchakato.

Hata tukisema kwamba Capital gains imepotea lakini ukiangalia faida pana zinazoletwa na makubaliano hayo mfano tu ni Takwa la Kampuni kutumia Zaidi ya hizo dola USD 85.6M kwenye shughuli za jamii kila mwaka.

Kampuni itatakiwa kila mwaka kwa miaka yote ya Uhai wake kutumia dola milioni US$70m (Tsh 150 bilion ) kila mwaka kuwekeza kwenye shughuli za jamii na pia watatumia US$6 per ounce on top kuwekeza kwenye shughuli za jamii.

1. The Framework Agreement provides that the TMCs will commit up to US$70m in aggregate, plus up
to US$6 per ounce of gold sold in concentrate and doré from the mines, on various specified CSR related
initiatives in Tanzania
4. Bunge lafungwa mikono kubadili sheria yeyote

Serikali ya Tanzania na Kampuni ya Barrick wamekubaliana kuwa baada ya mkataba wao kukamilika Bunge la Tanzania haliwezi kutunga sheria yeyote ambayo itabadili makubaliano hayo na kodi zote zilizokuwa zinafanya kazi wakati wa kuingia makubaliano hazitaweza kubadilishwa kipindi chote ambacho Barrick watakuwa wanafanya kazi Tanzania (fiscal stabilisation).
Hi hoja ni Uongo.
Mkataba una fiscal stabilisation inayohusina na ugawanaji wa faida ( 50/50 Benefits ).

Hivyo Bunge halikatazwi kutunga sheria or kubadili sheria. Ispokuwa ikitokea mabadiliko yametokea Mkataba utapitiwa kuhakikisha bado unakisi ugawanaji wa 50/50.
Kama inavyoonyeshwa hapo chini.

The 50/50 Principle is also subject to: (i)
a separate annual review of the fiscal regime (set out in more detail under the Amended and
Restated MDAs) resulting in amendments to the Amended and Restated MDAs as necessary
each year to seek to ensure the projected sharing of economic benefits will remain equal going
forward in accordance with the 50/50 Principle; and (ii) fiscal stabilization provisions (set out in
more detail under the Amended and Restated MDAs) providing that in the event of any change
to the fiscal regime applicable to the TMCs which is detrimental to them and/or any change to
the laws in force as of 1 January 2019, which would, or would likely, cause a material distortion
of the equal sharing of economic benefits, the Amended and Restated MDAs will be amended to
restore the 50/50 Principle.
Tanzania kupewa Hisa 16% za daraja B lakini Watanzania kunyimwa umiliki wa 30% kupitia Soko la Hisa la DSE
Ni kweli kuwa Serikali itapewa hisa za bure 16% kwenye Kampuni tanzu zote za Acacia hapa nchini kama tulivyoambiwa na Serikali. Lakini hisa hizo ni za Daraja la B ambazo ni hisa dhaifu kulinganisha na zile za Daraja la kwanza. Hisa hizo haziruhusiwi kuuzwa, hazina kura kwa masuala fulani fulani ya Kampuni na huwezi hata kuziweka kama dhamana ya mikopo. Hata mgawo wa gawio hisa hizi hupata baada ya wale wa daraja A kulipwa kwa ukamilifu
Huu Pia ni Uongo Mtakatifu.

Madaraja haya ya hisa yametengenezwa Kuruhusu shares za Barrick ziendelee kuuzwa kwenye soko la hisa na zile za Serekali zisipunguzwe thamani.

Mkataba unasema;
b. the GoT shareholder – 16% free carried interest (held in the form of Class B shares), with such free carry interest being non-transferable (directly or indirectly).

Maana yake hakutakuwa na mbinu za kupunguza thamani au kuipoka serekali share zake .

Pili, Mkataba unasema hisa Daraja A na B zitakuwa sawa wanatumia neon la kilatin pari passu lenye maana sawa.


J. The articles of association for the TMCs, which will be entered into on the Closing Date, provide that Class A shares and Class B shares rank pari passu in all respects except that:

Pamoja na huo usawa share za Tanzania za daraja B zinapewa nguvu Zaidi kwenye mambo ya Ziada.

Kwanza inazuia share za Serekali kuuzwa kwa mtu binafsi, kuwekwa rehani etc hii nikukidhi takwa la kisheria kuhakikisha hizo 16% hazipo diluted/punguzwa thamani.

Takwa la kisheria ni kwa serekali kumiliki asilimia 16% muda wote- Kama zinzweza kuzwa kama anayotaka Zitto hilo takwa litatimizwaje ?

(i) Class B shares may only be issued to, held by or transferred to the GoT shareholder and may not be pledged, charged or otherwise disposed - THIS WORDING MEANS THEY ARE NON DILUTABLE. of (whereas the Class A shares are transferable to: (a) a financial institution by way of a pledge to secure bona fide debt; (b) an affiliate (with GoT shareholder consent, not to beunreasonably withheld); or

Pia Mkataba unaonesha kila mwanahisa atapata gawio kutokana na share zake na taratibu za kawaida za kimahesabu.
M. As well as setting out the proportionate interests of each shareholder, details on governance and transfer restrictions, each TMC Shareholders’ Agreement provides that, subject to applicable laws in Tanzania, each TMC board will be entitled to make a distribution (in the form of dividends, repayment of shareholder loans, or return of capital) of all of the distributable profits as determined by that TMC board for each fiscal year to the respective shareholders of the TMC in proportion to their 84%/16% proportionate interest.

Kipengele N kinampa madaraka makubwa sana Serekali (GOT) ambapo maamuzi mengi yote ambayo hutumika kam mianya ya kukwepa kodi na uhamishaji faida yatafanyika kwa makubaliaono yake

N. Certain actions cannot be taken by the TMCs without the prior approval of the GoT shareholder (in
each case not to be unreasonably withheld or delayed) (being the “Reserved Matters”). The list of Reserved Matters includes, but is not limited to:
a. amendment to the articles of association of the TMCs;
b. any merger, sale of all or substantially all assets, reorganisation, joint venture, acquisition of more than 50% of the shares then in issue by any person other than the Acacia shareholder or its affiliates, application to list any shares on any recognized national or international stock
exchange or public offer of securities or similar in respect of the TMCs;
c. issuance to any party (other than to shareholders or their affiliates on a pro rata basis) of any shares, whether Class A or Class B shares, in the capital of the TMC, or any securities, options or rights etc.;
d. provision by the TMC of any credit, the making of a loan or advance, or the granting of a guarantee, in each case other than in the ordinary course of the business (ordinary course
includes, for the purpose of obtaining third party finance for the TMC’s operations or business or as part of the usual terms of contracts for the sale of the TMC’s products on arm’s length terms); and
e. authorization or entering into of any shareholder loan from an affiliate of the TMC to the TMC
(i) for the purpose of on-lending of proceeds raised through external third party financing, and
(ii) which does not require the TMC to issue, grant or deliver loan notes to the GoT shareholder representing a 16% interest therein.
Mahesabu hewa ya Zitto

Tanzania Imekosa Shilingi Trilioni 2 kwa Sababu ya Viongozi Kukosa Maarifa

Siku za mwanzo kabisa za mgogoro wa Makanikia nilieleza kuwa Serikali ya Rais Magufuli haina Maarifa ya kuwezesha nchi kupata ushindi katika suala hili, watu wengi walinitukana, lakini leo imedhihirika hivyo.

Wakati ule nilitoa mfano kuwa Acacia ilipotaka kununuliwa na Kampuni nyengine ya Canada kwa thamani ya Dola za Marekani 4.4 Bilioni (wastani wa TZS 10 Trilioni), Tanzania ingefaidika sana kwa kupata Kodi ya Ongezeko la Mtaji ya Dola za Marekani 880 Milioni (wastani wa TZS 2 Trilioni), Serikali haikufanya subira na ikazuia Makanikia na mpango ule wa Acacia kununuliwa ukavubjika.
  • Kwanza sio kweli kama anavyosema Zitto kwamba mazungumzo ya Acacia na Endeavour Mining ziliizotaka kuungana na si kununuana yalivunjika kwasababu ya Serekali ya Tanzania kubadilisha sheria za Madini Au kuzuia Makinikia. Ushahidi ambao unapatikana kwenye mitandao na ulikuwa reported na Gazeti la The East African na Mengine ya kimataifa unaonesha Kwamba Mazungumzo yalivunjika kwa kutokubaliana dhamani ya shares “ Mining firm Endeavour Mining Corporation has withdrawn from merger talks with Acacia Mining Plc due to a dispute over shareholder value. Pia gazeti maarufu la MiningMX pia waliandika habari inayopatikana hapa kunaonesha kwamba hawakukubaliana kwasababu ya dhamani za sharei na nina Quote. “Endeavour Mining Corporation announced today that it has terminated discussions with Acacia Mining regarding a potential corporate transaction following the inability to reach an agreement that it believed would create adequate value for Endeavour’s shareholders.
  • Pili Zitto anasema thamani ya Acacia Mwaka 2017 ilikuwa ni Dola za kimarekani million 4 kitu ambacho ni uongo mtakatifu. Gazeti la Bloomberg tarehe 13 January 2017 reported kwamba ukiyaunganisha hayo Makampuni mawili kwapamoja ndio yalikuwa na dhamani ya 3.8 Billion USD. Ambapo kwa kipindi hicho Acacia ilikuwa na dhamani ya US$2.2bn.
  • Lengo Kubwa kuhusu ulaghai huo hapo juu ni kuonesha kwamba Serekali imepata hasara kitu ambacho ni cha uongo na kupoteza lengo halisi.
Hoja ya Nyongeza za watu wengine Mitandaoni - Ujenzi wa SmelterSerekali haijailazimisha Barrick kujenga Smelter kwasababu ipo kwenye mazungumzo na wawekezaji wengine.

Kwahiyo Tangia January 2019 Tanzania iliruhusu export ya gold na copper concentrates wakati inaingia kwenye majadiliano ya mwisho na wawekezaji wa kujenga smelters.

Wawekezaji wote walitaka uhakika wa upatikanaji wa makinikia na njia mojawapo wa kuwahakikishia ni kuwazuia Barrick kujenga Smelter.

Na hizi taarifa zipo in public domain sio siri.
https://www.theeastafrican.co.ke/bu...Dar-es-Salaam/2560-4944218-ck2prfz/index.html

Kwa mantiki hiyo juu ndio maana kwenye

F. Amended and Restated MDAs kumekwa takwa kwamba migodi yote ITARUHUSIWA tu kupeleka makinikia nje ya nchi mpaka ujenzi wa Smelter uishe.

the TMCs will have the unfettered right to export minerals (including doré and
concentrates) until refining (in the case of doré) and smelting (in the case of concentrates) are available in Tanzania
-Mkataba upo wazi kwamba kutakuwa na malipo ya awali ya US$100 million (Billioni 230) kwa serekali kumlikishwa mzigo wa dhahabu na Makinikia uliopo Bandarini.
- Marejesho ya kodi yatakayokatwa kwenye miaka itakayofuata yanahusiana na mwaka wa fedha 2018 tu na sio miaka mingine ya nyuma.
-Hata tukisema kwamba Capital gains imepotea lakini ukiangalia faida pana zinazoletwa na makubaliano hayo mfano tu ni Takwa la Kampuni kutumia Zaidi ya hizo dola USD 85.6M kwenye shughuli za jamii kila mwaka.
-
Serekali haijailazimisha Barrick kujenga Smelter kwasababu ipo kwenye mazungumzo na wawekezaji wengine.
Kwahiyo Tangia January 2019 Tanzania iliruhusu export ya gold na copper concentrates wakati inaingia kwenye majadiliano ya mwisho na wawekezaji wa kujenga smelters.
Wawekezaji wote walitaka uhakika wa upatikanaji wa makinikia na njia mojawapo wa kuwahakikishia ni kuwazuia Barrick kujenga Smelter.
hivyo ni vichache nilivyoona vina walakini,
1.Ukisoma frame work agreement vizuri hakuna mahali inasema serikali iyamilkishwa mzigo wa makenikia uliozuiwa bali watalipa hiyo ammount kama upfront ili makenikia hayo wayasombe kwenda huko wanakotaka na ni sehemu ya hiyo kishika uchumba.
2.labda kama nimekosea mahesabu ya kodi ni up to ending 31st dec 2018
3.sheria iliyopo bado inawalazimisha kuwajibika kwenye CSR sasa ukiachia kodi eti wataitumia kwenye CSR ni ajabu halafu USD85.6M ni fedha ndogo sana kwa CSR kwenye miradi yake yote hapa TZ.
4. si barrick wala acacia waliokwisha onyesha nia ya kujenga smelter hapa nchini ndio maana waliingia gharama kuwapeleka wataalamu wetu wakiwamo wabunge kwenda ughaibuni kujifunza kuhusu smelters.Pia ukumbuke framework hii ina kipengele kinachozuia mabadiliko ya aina yoyote ya sheria itakayo athiri makubaliano haya, kwa maana hiyo hata ukijenga li smelter lako hapa TZ bado wana uwezo wa kukataa kuitumia,
maelezo yako ni mengi, ngoja tuishie hapa kwanza wakati tukiendelea kuperuzi na kutafakari, wote ni watz tunaipenda tz mijadala hii ni muhimu sana for our beterment as a country, tusitukanane wala kudharauliana tujadili na kueleweshana tu!!! MADILA GAWIZA BANA SE!!
 
Kama ilivyo kawaida wanasiasa ambao wamekuwa mbembele KUPINGA mabadiliko ya sheria ya madini wamekuwa tena vinara wa kueneza upotoshaji wa makubaliano ya awali ya BARICK na Tanzania. Tangia mwanzo ubashiri wao umekuwa kushindwa kwa serekali na kushitakiwa kwenye mahakama za Kimafaifa. Katika kila hatua wamekuwa nyuma ya wakati kwenye mapinduzi lakini wamekuwa mbele ya wakati kwenye kupotosha.
Nimefanya uchambuzi wa Hoja za Zitto na nimeweka majibu upande wa kulia. Kitu cha Msingi kabisa katika haya yote ni Kwamba mabadiliko ya sheria ya Madini yanatumika na kwa asilimia kubwa mwitikio wa wadau umekuwa mkubwa.
Ukisoma kwa makini makataba wa Tanzania na Barrick utaona umesheheni wao kukubali kufuata masharti ya sheria ya Madini.
HOJA YA ZITTOUKWELI HALISI WA HOJA
Dola Milioni 300 za kumaliza mgogoro KIINI MACHO
Serikali imekubaliana na Barrick kuwa italipwa Dola milioni 300 (wastani wa TZS 700 Bilioni) kama malipo ya kumaliza mgogoro wote (full, final and complete settlement) na SIO kishika uchumba kama Serikali ilivyoeleza umma. Barrick watalipa fedha hizi kwa muda wa MIAKA 7 na zitakuwa ni baada ya kuondoa madai yote ya kodi ambayo Acacia inaidai Tanzania.

Itakumbukwa kuwa Acacia Group ina madai ya marejesho ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT refunds) inayofikia takribani Dola za Marekani milioni 240 (wastani wa 552 Bilioni). Hivyo katika malipo ya Dola za Marekani Milioni 300, zitakazobakia baada ya kutoa madai ya VAT refunds ni Dola Milioni 60 (wastani wa 138 Bilioni) tu. Kama tutakavyoona katika hoja ya pili hapa chini hata hizi Dola za Marekani Milioni 60 kimsingi hazitatolewa.
Hoja hii ni mfu kwasababu zifuatatazo..

Kwanza ni kweli kwamba dola milioni 300 ndio italipwa kumaliza mgogoro wa (kikodi) lakini haya si Malipo peke yake ambayo yatalipwa kama malipo ya kutatua Mgogoro wote.

Pili ni Uongo kwamba milioni 300 zote zitalipwa baada ya kutoa madai ya marejesho ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT refunds).

Mkataba upo wazi kwamba kutakuwa na malipo ya awali ya US$100 million (Billioni 230) kwa serekali kumlikishwa mzigo wa dhahabu na Makinikia uliopo Bandarini.

There will be an initial upfront “payment” by way of assignment to the GoT of minerals contained in containers at Dar es Salaam port with a value of US$100 million, such value to be determined pursuant to a protocol separately agreed between the parties.

Baada ya hapo kutakuwa na malipo mengine kwa miaka 6 ya dola US$33.33 million kila mwaka.

“Conditional on and following completion under the Framework Agreement, six subsequent
payments of US$33.33 million”
Tatu- Marejesho ya kodi yatakayokatwa kwenye miaka itakayofuata yanahusiana na mwaka wa fedha 2018 tu na sio miaka mingine ya nyuma.
“The Framework Agreement allows for the US$300 million settlement payment to be reduced by an amount equal to any excess claimed by the Tanzania Revenue Authority if an assessment
arising from the Tanzania Revenue Authority’s audit in respect of the 2018 tax year results in a total tax liability for the Acacia parties in excess of what is expected (i.e. exceeds the total of the
2018 amounts paid by Acacia prior to the date of the Framework Agreement).”







2. Barrick Gold Wamesamehewa Kodi ya Ongezeko la Mtaji USD 85.6M
Hoja hii pia ni mfu. Ikumbukwe kwamba Serekali ya Tanzania (GOT) ndio ilikataa kufanya mazungumzo na Acacia ambapo msimamo wa Serekali ulikuwa ni kuifuta Acacia kabisa Tanzania.

Ili kukidhi sharti la kusudio hilo Barrick ilitakiwa inunue hisa 36% ambazo ilikuwa haizimiliki ndani ya Acacia na sharti waliopewa na ( GOT) ilikuwa kufanya manunuzi kwa Shares swaps (Kubadilishana shares) na sio cash payments.

Hivyo basi umiliki haujabadilika isipokuwa wamiliki kwasasa wanamiliki shares za migodi ya Tanzania kupitia Barrick moja kwa moja na si kupitia Acacia.

Hivyo msamaha huo unaendana na Lengo pana amabalo ilikuwa ni kuiondoa Acacia kwenye Ubia wa umiliki wa kampuni mpya Tanzu itakayo undwa baada ya huu mchakato.

Hata tukisema kwamba Capital gains imepotea lakini ukiangalia faida pana zinazoletwa na makubaliano hayo mfano tu ni Takwa la Kampuni kutumia Zaidi ya hizo dola USD 85.6M kwenye shughuli za jamii kila mwaka.

Kampuni itatakiwa kila mwaka kwa miaka yote ya Uhai wake kutumia dola milioni US$70m (Tsh 150 bilion ) kila mwaka kuwekeza kwenye shughuli za jamii na pia watatumia US$6 per ounce on top kuwekeza kwenye shughuli za jamii.

1. The Framework Agreement provides that the TMCs will commit up to US$70m in aggregate, plus up
to US$6 per ounce of gold sold in concentrate and doré from the mines, on various specified CSR related
initiatives in Tanzania
4. Bunge lafungwa mikono kubadili sheria yeyote

Serikali ya Tanzania na Kampuni ya Barrick wamekubaliana kuwa baada ya mkataba wao kukamilika Bunge la Tanzania haliwezi kutunga sheria yeyote ambayo itabadili makubaliano hayo na kodi zote zilizokuwa zinafanya kazi wakati wa kuingia makubaliano hazitaweza kubadilishwa kipindi chote ambacho Barrick watakuwa wanafanya kazi Tanzania (fiscal stabilisation).
Hi hoja ni Uongo.
Mkataba una fiscal stabilisation inayohusina na ugawanaji wa faida ( 50/50 Benefits ).

Hivyo Bunge halikatazwi kutunga sheria or kubadili sheria. Ispokuwa ikitokea mabadiliko yametokea Mkataba utapitiwa kuhakikisha bado unakisi ugawanaji wa 50/50.
Kama inavyoonyeshwa hapo chini.

The 50/50 Principle is also subject to: (i)
a separate annual review of the fiscal regime (set out in more detail under the Amended and
Restated MDAs) resulting in amendments to the Amended and Restated MDAs as necessary
each year to seek to ensure the projected sharing of economic benefits will remain equal going
forward in accordance with the 50/50 Principle; and (ii) fiscal stabilization provisions (set out in
more detail under the Amended and Restated MDAs) providing that in the event of any change
to the fiscal regime applicable to the TMCs which is detrimental to them and/or any change to
the laws in force as of 1 January 2019, which would, or would likely, cause a material distortion
of the equal sharing of economic benefits, the Amended and Restated MDAs will be amended to
restore the 50/50 Principle.

Tanzania kupewa Hisa 16% za daraja B lakini Watanzania kunyimwa umiliki wa 30% kupitia Soko la Hisa la DSE
Ni kweli kuwa Serikali itapewa hisa za bure 16% kwenye Kampuni tanzu zote za Acacia hapa nchini kama tulivyoambiwa na Serikali. Lakini hisa hizo ni za Daraja la B ambazo ni hisa dhaifu kulinganisha na zile za Daraja la kwanza. Hisa hizo haziruhusiwi kuuzwa, hazina kura kwa masuala fulani fulani ya Kampuni na huwezi hata kuziweka kama dhamana ya mikopo. Hata mgawo wa gawio hisa hizi hupata baada ya wale wa daraja A kulipwa kwa ukamilifu
Huu Pia ni Uongo Mtakatifu.

Madaraja haya ya hisa yametengenezwa Kuruhusu shares za Barrick ziendelee kuuzwa kwenye soko la hisa na zile za Serekali zisipunguzwe thamani.

Mkataba unasema;
b. the GoT shareholder – 16% free carried interest (held in the form of Class B shares), with such free carry interest being non-transferable (directly or indirectly).

Maana yake hakutakuwa na mbinu za kupunguza thamani au kuipoka serekali share zake .

Pili, Mkataba unasema hisa Daraja A na B zitakuwa sawa wanatumia neon la kilatin pari passu lenye maana sawa.


J. The articles of association for the TMCs, which will be entered into on the Closing Date, provide that Class A shares and Class B shares rank pari passu in all respects except that:

Pamoja na huo usawa share za Tanzania za daraja B zinapewa nguvu Zaidi kwenye mambo ya Ziada.

Kwanza inazuia share za Serekali kuuzwa kwa mtu binafsi, kuwekwa rehani etc hii nikukidhi takwa la kisheria kuhakikisha hizo 16% hazipo diluted/punguzwa thamani.

Takwa la kisheria ni kwa serekali kumiliki asilimia 16% muda wote- Kama zinzweza kuzwa kama anayotaka Zitto hilo takwa litatimizwaje ?

(i) Class B shares may only be issued to, held by or transferred to the GoT shareholder and may not be pledged, charged or otherwise disposed - THIS WORDING MEANS THEY ARE NON DILUTABLE. of (whereas the Class A shares are transferable to: (a) a financial institution by way of a pledge to secure bona fide debt; (b) an affiliate (with GoT shareholder consent, not to beunreasonably withheld); or

Pia Mkataba unaonesha kila mwanahisa atapata gawio kutokana na share zake na taratibu za kawaida za kimahesabu.
M. As well as setting out the proportionate interests of each shareholder, details on governance and transfer restrictions, each TMC Shareholders’ Agreement provides that, subject to applicable laws in Tanzania, each TMC board will be entitled to make a distribution (in the form of dividends, repayment of shareholder loans, or return of capital) of all of the distributable profits as determined by that TMC board for each fiscal year to the respective shareholders of the TMC in proportion to their 84%/16% proportionate interest.

Kipengele N kinampa madaraka makubwa sana Serekali (GOT) ambapo maamuzi mengi yote ambayo hutumika kam mianya ya kukwepa kodi na uhamishaji faida yatafanyika kwa makubaliaono yake

N. Certain actions cannot be taken by the TMCs without the prior approval of the GoT shareholder (in
each case not to be unreasonably withheld or delayed) (being the “Reserved Matters”). The list of Reserved Matters includes, but is not limited to:
a. amendment to the articles of association of the TMCs;
b. any merger, sale of all or substantially all assets, reorganisation, joint venture, acquisition of more than 50% of the shares then in issue by any person other than the Acacia shareholder or its affiliates, application to list any shares on any recognized national or international stock
exchange or public offer of securities or similar in respect of the TMCs;
c. issuance to any party (other than to shareholders or their affiliates on a pro rata basis) of any shares, whether Class A or Class B shares, in the capital of the TMC, or any securities, options or rights etc.;
d. provision by the TMC of any credit, the making of a loan or advance, or the granting of a guarantee, in each case other than in the ordinary course of the business (ordinary course
includes, for the purpose of obtaining third party finance for the TMC’s operations or business or as part of the usual terms of contracts for the sale of the TMC’s products on arm’s length terms); and
e. authorization or entering into of any shareholder loan from an affiliate of the TMC to the TMC
(i) for the purpose of on-lending of proceeds raised through external third party financing, and
(ii) which does not require the TMC to issue, grant or deliver loan notes to the GoT shareholder representing a 16% interest therein.
Mahesabu hewa ya Zitto

Tanzania Imekosa Shilingi Trilioni 2 kwa Sababu ya Viongozi Kukosa Maarifa

Siku za mwanzo kabisa za mgogoro wa Makanikia nilieleza kuwa Serikali ya Rais Magufuli haina Maarifa ya kuwezesha nchi kupata ushindi katika suala hili, watu wengi walinitukana, lakini leo imedhihirika hivyo.

Wakati ule nilitoa mfano kuwa Acacia ilipotaka kununuliwa na Kampuni nyengine ya Canada kwa thamani ya Dola za Marekani 4.4 Bilioni (wastani wa TZS 10 Trilioni), Tanzania ingefaidika sana kwa kupata Kodi ya Ongezeko la Mtaji ya Dola za Marekani 880 Milioni (wastani wa TZS 2 Trilioni), Serikali haikufanya subira na ikazuia Makanikia na mpango ule wa Acacia kununuliwa ukavubjika.
  • Kwanza sio kweli kama anavyosema Zitto kwamba mazungumzo ya Acacia na Endeavour Mining ziliizotaka kuungana na si kununuana yalivunjika kwasababu ya Serekali ya Tanzania kubadilisha sheria za Madini Au kuzuia Makinikia. Ushahidi ambao unapatikana kwenye mitandao na ulikuwa reported na Gazeti la The East African na Mengine ya kimataifa unaonesha Kwamba Mazungumzo yalivunjika kwa kutokubaliana dhamani ya shares “ Mining firm Endeavour Mining Corporation has withdrawn from merger talks with Acacia Mining Plc due to a dispute over shareholder value. Pia gazeti maarufu la MiningMX pia waliandika habari inayopatikana hapa kunaonesha kwamba hawakukubaliana kwasababu ya dhamani za sharei na nina Quote. “Endeavour Mining Corporation announced today that it has terminated discussions with Acacia Mining regarding a potential corporate transaction following the inability to reach an agreement that it believed would create adequate value for Endeavour’s shareholders.
  • Pili Zitto anasema thamani ya Acacia Mwaka 2017 ilikuwa ni Dola za kimarekani million 4 kitu ambacho ni uongo mtakatifu. Gazeti la Bloomberg tarehe 13 January 2017 reported kwamba ukiyaunganisha hayo Makampuni mawili kwapamoja ndio yalikuwa na dhamani ya 3.8 Billion USD. Ambapo kwa kipindi hicho Acacia ilikuwa na dhamani ya US$2.2bn.
  • Lengo Kubwa kuhusu ulaghai huo hapo juu ni kuonesha kwamba Serekali imepata hasara kitu ambacho ni cha uongo na kupoteza lengo halisi.
Hoja ya Nyongeza za watu wengine Mitandaoni - Ujenzi wa SmelterSerekali haijailazimisha Barrick kujenga Smelter kwasababu ipo kwenye mazungumzo na wawekezaji wengine.

Kwahiyo Tangia January 2019 Tanzania iliruhusu export ya gold na copper concentrates wakati inaingia kwenye majadiliano ya mwisho na wawekezaji wa kujenga smelters.

Wawekezaji wote walitaka uhakika wa upatikanaji wa makinikia na njia mojawapo wa kuwahakikishia ni kuwazuia Barrick kujenga Smelter.

Na hizi taarifa zipo in public domain sio siri.
https://www.theeastafrican.co.ke/bu...Dar-es-Salaam/2560-4944218-ck2prfz/index.html

Kwa mantiki hiyo juu ndio maana kwenye

F. Amended and Restated MDAs kumekwa takwa kwamba migodi yote ITARUHUSIWA tu kupeleka makinikia nje ya nchi mpaka ujenzi wa Smelter uishe.

the TMCs will have the unfettered right to export minerals (including doré and
concentrates) until refining (in the case of doré) and smelting (in the case of concentrates) are available in Tanzania
CCM wangekuwa wanajibu hoja za wapinzani kwa mtindo huu kila mmoja angekuwa na upendo na furaha kuwa Mtanzania.

Lkn huu mtindo wa kushambuliana kama walivyofanya kwa Lisu,kuuana kama walivyofanya kwa Mawazo,kuteka kama wanavyofanya kwa Mdude na wengine,kununua kama walivyowanunua baadhi ya wabunge wa upinzani,nk kunawafanya watanzania wakichukie jiki chama na udhalimu wake.

Huyu ndugu amefanya vizuri kujibu hoja kwa hoja,hata kama mengine yana mashaka,hata hivyo mejaribu kujibu baadhi ya hoja za Zito.
 
Great analysis and rebuttal to folks who intentionally want to mislead the facts for cheap political shots....

@Zitto
Kama ilivyo kawaida wanasiasa ambao wamekuwa mbembele KUPINGA mabadiliko ya sheria ya madini wamekuwa tena vinara wa kueneza upotoshaji wa makubaliano ya awali ya BARICK na Tanzania. Tangia mwanzo ubashiri wao umekuwa kushindwa kwa serekali na kushitakiwa kwenye mahakama za Kimafaifa. Katika kila hatua wamekuwa nyuma ya wakati kwenye mapinduzi lakini wamekuwa mbele ya wakati kwenye kupotosha.
Nimefanya uchambuzi wa Hoja za Zitto na nimeweka majibu upande wa kulia. Kitu cha Msingi kabisa katika haya yote ni Kwamba mabadiliko ya sheria ya Madini yanatumika na kwa asilimia kubwa mwitikio wa wadau umekuwa mkubwa.
Ukisoma kwa makini makataba wa Tanzania na Barrick utaona umesheheni wao kukubali kufuata masharti ya sheria ya Madini.
HOJA YA ZITTOUKWELI HALISI WA HOJA
Dola Milioni 300 za kumaliza mgogoro KIINI MACHO
Serikali imekubaliana na Barrick kuwa italipwa Dola milioni 300 (wastani wa TZS 700 Bilioni) kama malipo ya kumaliza mgogoro wote (full, final and complete settlement) na SIO kishika uchumba kama Serikali ilivyoeleza umma. Barrick watalipa fedha hizi kwa muda wa MIAKA 7 na zitakuwa ni baada ya kuondoa madai yote ya kodi ambayo Acacia inaidai Tanzania.

Itakumbukwa kuwa Acacia Group ina madai ya marejesho ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT refunds) inayofikia takribani Dola za Marekani milioni 240 (wastani wa 552 Bilioni). Hivyo katika malipo ya Dola za Marekani Milioni 300, zitakazobakia baada ya kutoa madai ya VAT refunds ni Dola Milioni 60 (wastani wa 138 Bilioni) tu. Kama tutakavyoona katika hoja ya pili hapa chini hata hizi Dola za Marekani Milioni 60 kimsingi hazitatolewa.
Hoja hii ni mfu kwasababu zifuatatazo..

Kwanza ni kweli kwamba dola milioni 300 ndio italipwa kumaliza mgogoro wa (kikodi) lakini haya si Malipo peke yake ambayo yatalipwa kama malipo ya kutatua Mgogoro wote.

Pili ni Uongo kwamba milioni 300 zote zitalipwa baada ya kutoa madai ya marejesho ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT refunds).

Mkataba upo wazi kwamba kutakuwa na malipo ya awali ya US$100 million (Billioni 230) kwa serekali kumlikishwa mzigo wa dhahabu na Makinikia uliopo Bandarini.

There will be an initial upfront “payment” by way of assignment to the GoT of minerals contained in containers at Dar es Salaam port with a value of US$100 million, such value to be determined pursuant to a protocol separately agreed between the parties.

Baada ya hapo kutakuwa na malipo mengine kwa miaka 6 ya dola US$33.33 million kila mwaka.

“Conditional on and following completion under the Framework Agreement, six subsequent
payments of US$33.33 million”
Tatu- Marejesho ya kodi yatakayokatwa kwenye miaka itakayofuata yanahusiana na mwaka wa fedha 2018 tu na sio miaka mingine ya nyuma.
“The Framework Agreement allows for the US$300 million settlement payment to be reduced by an amount equal to any excess claimed by the Tanzania Revenue Authority if an assessment
arising from the Tanzania Revenue Authority’s audit in respect of the 2018 tax year results in a total tax liability for the Acacia parties in excess of what is expected (i.e. exceeds the total of the
2018 amounts paid by Acacia prior to the date of the Framework Agreement).”







2. Barrick Gold Wamesamehewa Kodi ya Ongezeko la Mtaji USD 85.6M
Hoja hii pia ni mfu. Ikumbukwe kwamba Serekali ya Tanzania (GOT) ndio ilikataa kufanya mazungumzo na Acacia ambapo msimamo wa Serekali ulikuwa ni kuifuta Acacia kabisa Tanzania.

Ili kukidhi sharti la kusudio hilo Barrick ilitakiwa inunue hisa 36% ambazo ilikuwa haizimiliki ndani ya Acacia na sharti waliopewa na ( GOT) ilikuwa kufanya manunuzi kwa Shares swaps (Kubadilishana shares) na sio cash payments.

Hivyo basi umiliki haujabadilika isipokuwa wamiliki kwasasa wanamiliki shares za migodi ya Tanzania kupitia Barrick moja kwa moja na si kupitia Acacia.

Hivyo msamaha huo unaendana na Lengo pana amabalo ilikuwa ni kuiondoa Acacia kwenye Ubia wa umiliki wa kampuni mpya Tanzu itakayo undwa baada ya huu mchakato.

Hata tukisema kwamba Capital gains imepotea lakini ukiangalia faida pana zinazoletwa na makubaliano hayo mfano tu ni Takwa la Kampuni kutumia Zaidi ya hizo dola USD 85.6M kwenye shughuli za jamii kila mwaka.

Kampuni itatakiwa kila mwaka kwa miaka yote ya Uhai wake kutumia dola milioni US$70m (Tsh 150 bilion ) kila mwaka kuwekeza kwenye shughuli za jamii na pia watatumia US$6 per ounce on top kuwekeza kwenye shughuli za jamii.

1. The Framework Agreement provides that the TMCs will commit up to US$70m in aggregate, plus up
to US$6 per ounce of gold sold in concentrate and doré from the mines, on various specified CSR related
initiatives in Tanzania
4. Bunge lafungwa mikono kubadili sheria yeyote

Serikali ya Tanzania na Kampuni ya Barrick wamekubaliana kuwa baada ya mkataba wao kukamilika Bunge la Tanzania haliwezi kutunga sheria yeyote ambayo itabadili makubaliano hayo na kodi zote zilizokuwa zinafanya kazi wakati wa kuingia makubaliano hazitaweza kubadilishwa kipindi chote ambacho Barrick watakuwa wanafanya kazi Tanzania (fiscal stabilisation).
Hi hoja ni Uongo.
Mkataba una fiscal stabilisation inayohusina na ugawanaji wa faida ( 50/50 Benefits ).

Hivyo Bunge halikatazwi kutunga sheria or kubadili sheria. Ispokuwa ikitokea mabadiliko yametokea Mkataba utapitiwa kuhakikisha bado unakisi ugawanaji wa 50/50.
Kama inavyoonyeshwa hapo chini.

The 50/50 Principle is also subject to: (i)
a separate annual review of the fiscal regime (set out in more detail under the Amended and
Restated MDAs) resulting in amendments to the Amended and Restated MDAs as necessary
each year to seek to ensure the projected sharing of economic benefits will remain equal going
forward in accordance with the 50/50 Principle; and (ii) fiscal stabilization provisions (set out in
more detail under the Amended and Restated MDAs) providing that in the event of any change
to the fiscal regime applicable to the TMCs which is detrimental to them and/or any change to
the laws in force as of 1 January 2019, which would, or would likely, cause a material distortion
of the equal sharing of economic benefits, the Amended and Restated MDAs will be amended to
restore the 50/50 Principle.

Tanzania kupewa Hisa 16% za daraja B lakini Watanzania kunyimwa umiliki wa 30% kupitia Soko la Hisa la DSE
Ni kweli kuwa Serikali itapewa hisa za bure 16% kwenye Kampuni tanzu zote za Acacia hapa nchini kama tulivyoambiwa na Serikali. Lakini hisa hizo ni za Daraja la B ambazo ni hisa dhaifu kulinganisha na zile za Daraja la kwanza. Hisa hizo haziruhusiwi kuuzwa, hazina kura kwa masuala fulani fulani ya Kampuni na huwezi hata kuziweka kama dhamana ya mikopo. Hata mgawo wa gawio hisa hizi hupata baada ya wale wa daraja A kulipwa kwa ukamilifu
Huu Pia ni Uongo Mtakatifu.

Madaraja haya ya hisa yametengenezwa Kuruhusu shares za Barrick ziendelee kuuzwa kwenye soko la hisa na zile za Serekali zisipunguzwe thamani.

Mkataba unasema;
b. the GoT shareholder – 16% free carried interest (held in the form of Class B shares), with such free carry interest being non-transferable (directly or indirectly).

Maana yake hakutakuwa na mbinu za kupunguza thamani au kuipoka serekali share zake .

Pili, Mkataba unasema hisa Daraja A na B zitakuwa sawa wanatumia neon la kilatin pari passu lenye maana sawa.


J. The articles of association for the TMCs, which will be entered into on the Closing Date, provide that Class A shares and Class B shares rank pari passu in all respects except that:

Pamoja na huo usawa share za Tanzania za daraja B zinapewa nguvu Zaidi kwenye mambo ya Ziada.

Kwanza inazuia share za Serekali kuuzwa kwa mtu binafsi, kuwekwa rehani etc hii nikukidhi takwa la kisheria kuhakikisha hizo 16% hazipo diluted/punguzwa thamani.

Takwa la kisheria ni kwa serekali kumiliki asilimia 16% muda wote- Kama zinzweza kuzwa kama anayotaka Zitto hilo takwa litatimizwaje ?

(i) Class B shares may only be issued to, held by or transferred to the GoT shareholder and may not be pledged, charged or otherwise disposed - THIS WORDING MEANS THEY ARE NON DILUTABLE. of (whereas the Class A shares are transferable to: (a) a financial institution by way of a pledge to secure bona fide debt; (b) an affiliate (with GoT shareholder consent, not to beunreasonably withheld); or

Pia Mkataba unaonesha kila mwanahisa atapata gawio kutokana na share zake na taratibu za kawaida za kimahesabu.
M. As well as setting out the proportionate interests of each shareholder, details on governance and transfer restrictions, each TMC Shareholders’ Agreement provides that, subject to applicable laws in Tanzania, each TMC board will be entitled to make a distribution (in the form of dividends, repayment of shareholder loans, or return of capital) of all of the distributable profits as determined by that TMC board for each fiscal year to the respective shareholders of the TMC in proportion to their 84%/16% proportionate interest.

Kipengele N kinampa madaraka makubwa sana Serekali (GOT) ambapo maamuzi mengi yote ambayo hutumika kam mianya ya kukwepa kodi na uhamishaji faida yatafanyika kwa makubaliaono yake

N. Certain actions cannot be taken by the TMCs without the prior approval of the GoT shareholder (in
each case not to be unreasonably withheld or delayed) (being the “Reserved Matters”). The list of Reserved Matters includes, but is not limited to:
a. amendment to the articles of association of the TMCs;
b. any merger, sale of all or substantially all assets, reorganisation, joint venture, acquisition of more than 50% of the shares then in issue by any person other than the Acacia shareholder or its affiliates, application to list any shares on any recognized national or international stock
exchange or public offer of securities or similar in respect of the TMCs;
c. issuance to any party (other than to shareholders or their affiliates on a pro rata basis) of any shares, whether Class A or Class B shares, in the capital of the TMC, or any securities, options or rights etc.;
d. provision by the TMC of any credit, the making of a loan or advance, or the granting of a guarantee, in each case other than in the ordinary course of the business (ordinary course
includes, for the purpose of obtaining third party finance for the TMC’s operations or business or as part of the usual terms of contracts for the sale of the TMC’s products on arm’s length terms); and
e. authorization or entering into of any shareholder loan from an affiliate of the TMC to the TMC
(i) for the purpose of on-lending of proceeds raised through external third party financing, and
(ii) which does not require the TMC to issue, grant or deliver loan notes to the GoT shareholder representing a 16% interest therein.
Mahesabu hewa ya Zitto

Tanzania Imekosa Shilingi Trilioni 2 kwa Sababu ya Viongozi Kukosa Maarifa

Siku za mwanzo kabisa za mgogoro wa Makanikia nilieleza kuwa Serikali ya Rais Magufuli haina Maarifa ya kuwezesha nchi kupata ushindi katika suala hili, watu wengi walinitukana, lakini leo imedhihirika hivyo.

Wakati ule nilitoa mfano kuwa Acacia ilipotaka kununuliwa na Kampuni nyengine ya Canada kwa thamani ya Dola za Marekani 4.4 Bilioni (wastani wa TZS 10 Trilioni), Tanzania ingefaidika sana kwa kupata Kodi ya Ongezeko la Mtaji ya Dola za Marekani 880 Milioni (wastani wa TZS 2 Trilioni), Serikali haikufanya subira na ikazuia Makanikia na mpango ule wa Acacia kununuliwa ukavubjika.
  • Kwanza sio kweli kama anavyosema Zitto kwamba mazungumzo ya Acacia na Endeavour Mining ziliizotaka kuungana na si kununuana yalivunjika kwasababu ya Serekali ya Tanzania kubadilisha sheria za Madini Au kuzuia Makinikia. Ushahidi ambao unapatikana kwenye mitandao na ulikuwa reported na Gazeti la The East African na Mengine ya kimataifa unaonesha Kwamba Mazungumzo yalivunjika kwa kutokubaliana dhamani ya shares “ Mining firm Endeavour Mining Corporation has withdrawn from merger talks with Acacia Mining Plc due to a dispute over shareholder value. Pia gazeti maarufu la MiningMX pia waliandika habari inayopatikana hapa kunaonesha kwamba hawakukubaliana kwasababu ya dhamani za sharei na nina Quote. “Endeavour Mining Corporation announced today that it has terminated discussions with Acacia Mining regarding a potential corporate transaction following the inability to reach an agreement that it believed would create adequate value for Endeavour’s shareholders.
  • Pili Zitto anasema thamani ya Acacia Mwaka 2017 ilikuwa ni Dola za kimarekani million 4 kitu ambacho ni uongo mtakatifu. Gazeti la Bloomberg tarehe 13 January 2017 reported kwamba ukiyaunganisha hayo Makampuni mawili kwapamoja ndio yalikuwa na dhamani ya 3.8 Billion USD. Ambapo kwa kipindi hicho Acacia ilikuwa na dhamani ya US$2.2bn.
  • Lengo Kubwa kuhusu ulaghai huo hapo juu ni kuonesha kwamba Serekali imepata hasara kitu ambacho ni cha uongo na kupoteza lengo halisi.
Hoja ya Nyongeza za watu wengine Mitandaoni - Ujenzi wa SmelterSerekali haijailazimisha Barrick kujenga Smelter kwasababu ipo kwenye mazungumzo na wawekezaji wengine.

Kwahiyo Tangia January 2019 Tanzania iliruhusu export ya gold na copper concentrates wakati inaingia kwenye majadiliano ya mwisho na wawekezaji wa kujenga smelters.

Wawekezaji wote walitaka uhakika wa upatikanaji wa makinikia na njia mojawapo wa kuwahakikishia ni kuwazuia Barrick kujenga Smelter.

Na hizi taarifa zipo in public domain sio siri.
https://www.theeastafrican.co.ke/bu...Dar-es-Salaam/2560-4944218-ck2prfz/index.html

Kwa mantiki hiyo juu ndio maana kwenye

F. Amended and Restated MDAs kumekwa takwa kwamba migodi yote ITARUHUSIWA tu kupeleka makinikia nje ya nchi mpaka ujenzi wa Smelter uishe.

the TMCs will have the unfettered right to export minerals (including doré and
concentrates) until refining (in the case of doré) and smelting (in the case of concentrates) are available in Tanzania
 
Back
Top Bottom