ACACIA: Hatujafikia makubaliano yoyote ya kuilipa Tanzania

Barua imeandikwa na Acacia, mazungumzo yalikuwa kati ya rais na Barrick. Kwanini watu hawasomi?
We naye huna unalojua kuhusu company law?? Hivi unajua maana ya subsidiary company???? Barrick ni kampuni mama na Acacia mining plc ni subsidy yake au sijui niite kampuni mtoto inayooperate chini ya barrick gold!!!!

Hivyo chochote kinachoamuliwa Acacia kinaathiri Barrick gold and vice versa
 
Kwanini Gerson Msigwa na wapambe wa MAGUFULI wanaachwa kupotosha UMMA hivi?

Kwanini wameamua kuwazingua watanzania hivi?
Hata mazungumzo ya mdosi mbele ya waandishi wa habari yalikuwa wazi kuwa watalipa baada ya mazungumzo ambayo yanalenga win-win situation. Sisi thankfulness kuwa kukubali kulipa. Hao jamaa ni wazuri sana wa negotiations. Wanaweza kutupiga kilaini
 
Hata mazungumzo ya mdosi mbele ya waandishi wa habari yalikuwa wazi kuwa watalipa baada ya mazungumzo ambayo yanalenga win-win situation. Sisi thankfulness kuwa kukubali kulipa. Hao jamaa ni wazuri sana wa negotiations. Wanaweza kutupiga kilaini

Mzungu alikuwa wazi, kama hivi:
Prof Thornton Said:
"I have come here in order to help resolve the problem and I assure the President that we are interested in sitting down and reaching a resolution which is a win win (A win for Tanzania and a win for Barrick and our Subsidiary company, ACACIA)

After having these extensive conversations I feel very optimistic that we will reach a resolution which is a win win for all parties and we will be sitting down soon with a team designated by the President and our own team to go through the detail of that and I feel very good about the progress today."

 
Mleta mada hajui kizungu, wamekubali mjadala ili kuona hela inayodaiwa na Tz inalipwaje! Sasa hata mjadala wa Malipo hayo bado tayr waseme wamekubaliana kulipa? Je Tsh ngapi? Mleta mada usitawaze wakati unaendelea kunya!

Subr wakae wajadl waone wanalipa Kiasi gani, kwa awamu ngapi ? Wakatae kulipa hafu watasafirisha vp mchanga wao? Utaozea bandarn! Acha kupotosha!
 
Hata ukiwasikiliza kwenye mazungumzo yao , wanaongelea swala la kujadiliana. Hii maana yake ni lazima:
1. Wajiridhishe na hizo ripoti kama ni za kweli au la
2. Wakokotoe nao hesabu zao ili kufikia muafaka
3. Wajadili the way foward baada ya majibu ya hapo juu.

Ngoma hii bado mbichi sana. Magufuli awe mpole tu . Na kama walidanganya hiyo ripoti kwa namna yoyote ile, wajiandae kuomba msamaha mchana kweupe.

Lissu bado ana hoja.
Hapa ndipo penye tatizo ya akili imeona kama WALIDANGANYA haikuona kama ni KWELI duh!!!!!!! Akili ya jicho mchungwa, haya tumalizie na ramli yako Kama ni KWELI Tindu Lisu ajiande kuunganishwa na mafisadi mahakamani
 
Ku-opt kwenda kwenye mazungumzo ndiyo kila kitu hata wasipolipa chochote naimani kama tukiwa na team nzuri kona zote kwenye mkataba zitanyooshwa.

Magu kaua ndege wawili kwa jiwe moja.
 
Makubaliano waliyofikia ni kuwa na mazungumzo na Serikali na "kama" kuna fedha itathibitika hazijalipwa kama kodi ama hazijatolewa kama mrabaha basi zitalipwa. Hakuna mahali pamesemwa hata na taarifa ile ya Ikulu kwamba watalipa zile fedha zote zilizotajwa kwenye taarifa ya zile tume mbili za Rais.
Hapo wajanja watakuwa wemepiga dili binafsi tayari.
 
Walikuwa na kelele sana naona sasa watakuwa wameenda kulala,
Nyie mnachangia bila hata kupitia kilichochangiwa na wengine?? Hoja ya mleta mada imeshaonyeshwa kuwa ni ziro.Hakuna pahala ambako kulitangazwa kuwa serikali imesema Barrick watailipa.
 
Mzungu alikuwa wazi, kama hivi:
Prof Thornton Said:
"I have come here in order to help resolve the problem and I assure the President that we are interested in sitting down and reaching a resolution which is a win win (A win for Tanzania and a win for Barrick and our Subsidiary company, ACACIA)

After having these extensive conversations I feel very optimistic that we will reach a resolution which is a win win for all parties and we will be sitting down soon with a team designated by the President and our own team to go through the detail of that and I feel very good about the progress today."
Kwa hiyo unamaanisha je Mkuu??
 
Back
Top Bottom