ACACIA: Hatujafikia makubaliano yoyote ya kuilipa Tanzania

Hii vita imekosa maana baada ya kugeuzwa kuwa vita ya CCM vs chadema badala ya vita ya kiuchumi, wengine wanatamani magufuli ashinde wengine wanatamani ashindwe. Wasome kwa comments zao utawaelewa. Sio siri mnaboa.
Hakuna mtu anaetamani tushindwe. Kinachotuboa ni tabia ya Magufuli kuwa muongo muongo na kupenda misifa isiyo kuwa na mpango kwa wananchi
Hebu fikiria jumatatu alivyohimiza watanzania wote tumwangalie akipokea ripoti na jinsi alivyokuwa anaongea kwa uchungu na kujifanya ameumizwa sana na wizi wa madini yetu halafu eti leo anakuja na ngonjera kwamba tunafanya mazungumzo. Mazungumzo na wezi? Foolish
 
Nikisoma Taarifa ya Accacia Baada Ripoti Ya tume ya Pili Kuhusu Makinikia ...


Nikisoma Na Taarifa Ya Barrick Leo Kuhusu Accacia Kuilipa Tanzanian, Bila Chembe yoyote ya Unafiki nachelea kusema hii Vita Bado Ndefu ..
 
MOTOCHINI njoo huku na wapumbavu wenzako mjiangalie kwenye kioo mnavyopendeza mkitembea utupu mitaani!.

Huo uwngo wenu ni bahati mbaya tu kwa kuwa lugha inayotumika hamuijui, au ndiyo kutafuta kiki kwa watanzani wajinga?

Hapo afadhli na maigizo ya kina Senga.

Hiyo barua imeandikwa na nani na rais kafanya mazungumzo na nani? Hata kusoma mmeshindwa?
 
Tatizo watanzania tunapenda umbea,chokochoko na Majungu! Wengine walikuwa happy kama Tanzania Tungeshtakiwa,na kutakiwa lipa Acacia.Wewe ,Mimi na ata aleandika hiyo note hapo juu toka Acacia atukuwepo Ikulu wakt hayo yanaongelewa sote tumeadithiwa tu! Tuache ushabiki maandazi acheni Serikali yetu ifanye kazi.
Unajua kwanini watu hawaipendi nchi yao.sababu njaa inatukabiri tukiona keki ya taifa inamilikiwa na wachache.
 
Halafu we mleta sledi hiyo barua ni ya Barrick au Acacia na heading yako umewataja wepi!
 
Hakuna mtu anaetamani tushindwe. Kinachotuboa ni tabia ya Magufuli kuwa muongo muongo na kupenda misifa isiyo kuwa na mpango kwa wananchi
Hebu fikiria jumatatu alivyohimiza watanzania wote tumwangalie akipokea ripoti na jinsi alivyokuwa anaongea kwa uchungu na kujifanya ameumizwa sana na wizi wa madini yetu halafu eti leo anakuja na ngonjera kwamba tunafanya mazungumzo. Mazungumzo na wezi? Foolish
Wameitwa vidume
 
Jamaa walivyonoma wameacha mawasiliano for inquiries namba za uingereza kule lugha ilikotoka na meli,
Me nimenunua mashine ya kutengenezea popcorn tayari
 
Si tumeambiwa kwamba wamekubali kulipa kumbe kiingereza hakikufahamika vizuri? Jamaa wanasema "no agreement have been reached" sasa upande wa pili tunaambiwa wamekubali kulipa. Hii sasa ishakuwa aibu ata kutafsiri neno la Nzungu.
 
Barua imeandikwa na Acacia, mazungumzo yalikuwa kati ya rais na Barrick. Kwanini watu hawasomi?
Tuna pupa ya kulipwa kwa sababu tunaamini tumeibiwa sana. Lakini ukifuatilia mwenendo wa utatu huu, kuja kwa mdosi wa Barick kumepunguza Ile tension iliyo kuwepo.Kutoka lazima watulipe hadi tutafanya nao mazungumzo. Jamaa anacheza PR
 
Makubaliano waliyofikia ni kuwa na mazungumzo na Serikali na "kama" kuna fedha itathibitika hazijalipwa kama kodi ama hazijatolewa kama mrabaha basi zitalipwa. Hakuna mahali pamesemwa hata na taarifa ile ya Ikulu kwamba watalipa zile fedha zote zilizotajwa kwenye taarifa ya zile tume mbili za Rais.
Naam. Huo ndio ukweli
 
Back
Top Bottom