Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,021
Report ilisema hawa watu ni wezi?Sisi tumeongea na Mfuga Mbwa basi.
Report ilisema hawa watu ni wezi?Sisi tumeongea na Mfuga Mbwa basi.
Mkuu mbona una haraka we ngoja cku magu awaambie anataka trilion 100 zake ndio utoke povu??? Maadam mazungumzo bado tutulie tu muhim haki itendeke ila sioni wapi lisu kapotosha zaidi alitoa rai ambayo kwa ssa haina maan kwako ila kufikia cku ya mazungumzo ndio mtakuja niambia kma hamtomkumbukaMimi nilifikiri wanaipeleka Tanzania mahakamani kama mwanasheria wenu nguli alivyokuwa akidai. Sijui MIGA na takataka zingine. Nashangaa wanasema watajadiliana na serikali. Hawa wanasheria wasio na nidhamu na wanaoongea kwa kukurupuka wanapaswa wabadilike. Sasa watapolipa hela wanayodaiwa na Tanzania sijui mwanasheria wenu mropokaji atawaeleza nini Watanzania. Kukariri nako ni kubaya sana
Ni hatua nzuri ila kumbuka katika issue za hivi kwanza yaanza majadiriano ukionekana upande wowote unaleta zaidi utata hautaki kuridhia ndipo hatua zingine zinafuata. Nashauri serikali iwanoe wanasheria wake wakae mkao wa kula maana tusibweteke kwa kuambiwa wamekubari kufanya discussion then tukaconclude ndio wamekubali hapana tukae vizuri katika hili wao wasingeweza kwenda mahakani wakati raisi ameshatoa nafasi ya kukaa nao na kujadiri hili. Mimi naanza kuandaa parking yangu ya noahMimi nilifikiri wanaipeleka Tanzania mahakamani kama mwanasheria wenu nguli alivyokuwa akidai. Sijui MIGA na takataka zingine. Nashangaa wanasema watajadiliana na serikali. Hawa wanasheria wasio na nidhamu na wanaoongea kwa kukurupuka wanapaswa wabadilike. Sasa watapolipa hela wanayodaiwa na Tanzania sijui mwanasheria wenu mropokaji atawaeleza nini Watanzania. Kukariri nako ni kubaya sana
Sizonje hajui kiingereza, hakuna cha Noah Wala vitz mkuu, endelea na Mambo Yako!Leo nimeangalia taarifa za habari chanelvtatu nimeona maajabu. Kuna utofauti katika chanel hizi zote ila angalau chanel ten walijitahidi waliweka alipoongea rais alafu wakaweka alichokiongea yule wa barick pia ni tofauti na nilichokisoma kilichosambazwa mitandaoni au mimi kiingereza sikijui? Sijamsikia yule wa bariki kusema wamekubali kuripa hicho kilichotajwa katika tume ila kwa raisi nilisikia akisema wamekubali kuripa na mitandaoni pia, ebu msinichanganye naombeni audio au video ya huyu wa barick akikiri kukubali kuripa hizo hela ili niandae parking kabisa ya noah yangu
Ndio ni wezi...wamepewa fursa ya kujiteteaReport ilisema hawa watu ni wezi?
Ukiwa unamwamini Yohana utakuwa umerogwa.Huu utani sasa
Ina maana Yohana ametudanganya?
Watalipa tu! Mchina kawakaba koo wanawasubiri waondoke, huu mchezo watoto wafogo hawawezi elewa!!! HahahahaSisi tumeongea na Mfuga Mbwa basi.
Watalipa tu! Mchina kawakaba koo wanawasubiri waondoke, huu mchezo watoto wafogo hawawezi elewa!!! Hahahaha
Long may he reign JPM!
hii ngoma bado mbichiiiNdio ni wezi...wamepewa fursa ya kujitetea
Report ilisema hawa watu ni wezi?
Tatizo ni uelewa wa kiingereza na matarajio makubwa. Mzungu kasema tutafanya mazungumzo yenye lengo la win-win situation. Sisi tunasema wamekubali kulipa. Malipo yatategemea matokeo ya mazungumzo. Angalizo hawa waxungu ni wazuri sana wa negotiations. Tusipokuwa makini tutapigwa kiulaini sana mezani
Lakni si mazungumzo yameanza, na siyo wenu alivyokuwa anadanganya watu tutashitakiwa mbona hatujashitakiwa na makontena bado tumeyashikilia?
View attachment 523919 haya sasa,Barrick wamekanusha kufikia makubaliano ya kuilipa Tanzania japo wameongea na Rais
Mbona mnaita watu WEZI halafu kesho yake mkishiba "ugali na mnafu" mnaita watu haohao kuwa ni WANAUME?? Ina maana issue ya makinikia ndo imekufa rasmi? Ina maana hoja ya kampuni kutosajiliwa imekufa? Ina maana mikataba na sheria hazitapitiwa tena kama mlivyoahidi? Kwahiyo tukubali kuendelea na mikataba ya hovyo ya kupewa 4% na mwekezaji aendelee kuchukua 96%, kisa tu kuna "MWANAUME" amekuja leo?? Sidhani kama hii ni sahihi.
Hivi shida yetu ilikua huyo MWANAUME kuja au ilikua mikataba mibovu, na sheria mbovu kupelekwa bungeni kupitiwa upya? Hivi kuja kwa huyo aliyeitwa MWANAUME kunaondoa ukweli kwamba kampuni yake haijasajiliwa nchini?
Mbona mnajichanganya? Mlisema kampuni yake haijasajiliwa, then amekuja mnamuita MWANAUME. Mwanaume ambaye ameshindwa hata kusajili kampuni, huyo ni mwanaume kweli au dume suruali??
Halafu mmekaaje kwenye mazungumzo na mtu ambaye kampuni yake haitambuliki kisheria? Na aliposema atawalipa, mmekumbuka kumuuliza atawalipaje wakati kampuni yake haijasajiliwa? Ili kampuni ilipe kodi lazima iwe imesajiliwa. Sasa yeye atalipaje wakati mlituambia kampuni yake haijasajiliwa? Au mlikua mnatupiga fix??
Halafu JK alipocompromise na "wezi" wa EPA akawaambia warudishe pesa mlimuita dhaifu. Sasa mbona nyie leo mnacompromise na "wezi" wakubwa kuliko wa EPA, halafu mnawasifia kwa kuwaita WANAUME? And by the way kama mliowaita "wezi" wamegeuka kuwa wanaume, raia wanaoibiwa ni kina nani? Mbona mna matusi ya rejareja kwa raia wenu?
Naanza kuelewa kwanini "watangulizi wawili" wameambiwa wasiguswe. Hakuna dhamira ya kweli ya kupambana na jambo hili. Tutaendelea kuibiwa kwa sheria zilezile mbovu, kwa mikataba ileile ya kinyonyaji, kwa kampuni zilezile zisizosajiliwa halafu tukiulizwa tutasema "atakuja mwanaume kulipa". Kama ujinga ni kipaji, basi ccm wana kipaji maalumu.!!
Malisa GJ