Acacia haina hatia Tanzania: Serikali ya JPM itaithibitishia Mahakama ya Usuluhishi London

Ungejiuzulu hiyo Nafasi uliyokuwa nayo kupinga ufisadi uliokuwa CCM na serikalini wakati wako Leo siku Ya mashujaa Mimi ningependekeza jina lako liwemo mchumia tumbo wewe kwa nini ulikauka nchi inaliwa inaharibika wewe upo tu unasibiri muda ufike ustaafu upate kiinua mgongo?mwenyezi Mungu nakushukuru kunipa uvumilivu nisimporomshee matusi Ya nguoni huyu mzee mstaafu na nisipigwe ban na moderators
Kwani sasa hivi CCM na Magu hawaitafuni nchi bila huruma wewe ukiwa mfaidika?

Taratibu za kitaasisi zilizosimikwa na wataalam zipo. Magu alikuwa humo kwa nini aliunga mkono ufisadi huo? Kwa taarifa yako Magu ni namba 1 fisadi siyo kwa mali tu bali na ukiukwaji wa madaraka kwa manufaa ya kundi lake. CCM ni mwamvuli tu ambalo wewe kwa ujinga wako unatoa povu kila mahali.
1. Nyumba za serikali kundi hilo hilo
2.Samaki wa Mgufuli
3. Kumpiga Janeti
4.Kusigina katiba na sheria za nchi CCM inakodoa macho tu.
5. Ukabila udini ukanda kupora bajeti na kutumia anavyotaka
6.Mauaji ya kisiasi na kuwabagua wenye mawazo mbadala
7. Kuunda makundi ya mtandao ya upotoshaji
8. Kushindwa kutumia pesa kama zilivyotengwa na bunge akiwa waziri
9. Mavuno ya kutoka kwenye vivuko na mizani.
10. Mfano wa karibu kuvuruga uchumi kwa kuanza ugomvi na wa wawekezaji kwenye sekta zote.
11. Anajitahidi kudhibiti upinzani

Ongezea mengine kama umebakia na akili kidogi
 
Wa kulaumiwa ni Lisu!!! Ndio akili za ma ccm wanazopandikiza kwa wananchi!!! Mikataba yote Ali sign Lisu na yeye ndio aliosema ndiooooo kule bungeni
 
We are at war for our resources wait whether accacia stole from us legally or not theft is theft we want what is ours That was stolen from us legally or nor. we want ours you should not hide behind legal den. Colonialism Was legal because it had all international legal law mandate in Berlin to scramble Africa among yourselves. we can't accept second international scramble Of our minerals we want ours don't try to hide in international Theft laws. freedom fighters fought against intenternal Theft laws they never asked for arbitration in international Theft colonialization laws. it is time to fight for our minerals to hell with international colonization laws that Steel our minerals. Magufuli go on go on if they are karl Peters Who signed contract with any modern day chief mangungo to colonize our minerals tell them that we have magufuli we don't recognize those Chief mangungo contracts
Lugha ya Malkia hii,
Ni shiida!
Steel=steal.
 
Baadhi yetu Tumekuwa tukihukumu Acacia kwa sababu zilizoibuliwa na kamati za Prof Mruma na Prof Osoro, na miongoni mwa hoja hizo ni Acacia kufanya kazi bila Certificate of Incorporation ( Cheti cha Usajili kutoka Brela), Kutokuwa na Leseni ya uchimbaji madini, Kutoa taarifa potofu juu ya kiwango cha madini kilichopo katika Makinikia kwa kutoa taarifa za chini ( under reporting of mineral contents). Haya yote yakapelekea kamati ya Prof Osoro kuja na hoja ya fedha zinazopotea kiasi cha zaidi ya trillion 100. Na taarifa hizo pia zimetumika na TRA katika ukadiriaji wa kodi, penalty za ukwepaji wa kodi zinazokadiriwa kufikia Trilioni 423 ( Kiwango kinachotafsiriwa kuwa mara 10 ya bajeti ya Chombo cha Uchunguzi wa Anga cha Marekani NASA, Mara nne ya GDP ya Tanzania, kiwango Karibu sawa na GDPs za Tanzania, Kenya na Ethiopia kwa pamoja, Kiwango ambacho ni bajeti ya trillion 20/Yr kwa zaidi ya miaka 20 na zaidi ni kiwango kinachoweza kununua Airbus 380 zaidi ya 1140).
Siku za karibuni Acacia wamefungua kesi ya Usuluhishi katika Mahakama ya kimataifa London ili kujaribu kuuupatia ufumbuzi Mgogoro wake Na Tanzania.
Hoja ya msingi ni Je, Acacia wana hatia?
1. Kwamba Acacia haijasaliliwa na Brela na haina Leseni ya uchimbaji. Kisheria Acacia ina operate kama International companies nyingi duniani, mfano kampuni ya Coca-Cola imesajiliwa kisheria nchini Marekani, na inaendesha shughuli zake dunia nzima, muhimu kufahamu ni kwamba Coca-Cola haizalishi wala kuuza bidhaa yeyote, badala yake kuna Viwanda vinavyozalisha bidhaa za Coca-Cola mfano Kwanza Limited, kisheria Viwanda hivyo vinatakiwa kusajiliwa na mamlaka zote za ndani ikiwemo Brela, na pia wanawajibika kulipa kodi. Coca-Cola kazi yake ni matangazo tu. The same way to Acacia, yeye sio mchimbaji wa madini bali ni kampuni za Pangea na Buly. Hivyo Acacia haiwezi kuhodhi leseni ya uchimbaji kwa sababu sio kampuni ya Uchimbaji bali ni jina la biashara
2. Kwamba Acacia wametoa taarifa za chini juu ya kiwango cha madini : Ukweli ni kwamba moja ya Sifa za International companies ni kutumia makampuni mengine kufanya kazi zao mama za kitaalamu ( Outsourcing), Acacia imeikabidhi kampuni ya kimataifa ya SGS kazi zinazohusu upimaji wa kiwango cha madini kilichopo katika Makinikia, na kwa kutumia majibu hayo, TRA / Shareholders / Wanunuzi wa Makinikia wanatumia findings za SGS/TMAA katika kubaini stahiki yao. Sasa kama Ripoti ya Prof Mruma na Osoro ni sahihi SGS atawajibika kwa niaba ya mteja wake Acacia kulipa tozo zote zinazotokana na under estimation.
3. Mwisho: Ili suala hili lifikie concesus ni lazima pande nyingi zihusishwe, kwanza SGS ambaye ndie mpimaji wa Acacia, Wanunuzi wa Makanikia, Acacia . Na kama wasipokubaliana lazima kuundwe independent panel of investigation ili kubaini ubora wa maabara za SGS, Maabara zilizotumiwa na kamati ya Mruma na njia zilizotumiwa Kama zinakidhi viwango vya kimataifa.


Sent using Jamii Forums mobile app
Umetumwa, peleka hii takataka yako huko.
 
Kila kitu kina tarehe moja waingereza wana msemo you can cheat a person but not forever iko siku ataerevuka atajua ulikuwa unamdanganya hata kichaa kuna siku kichaa chake hutulia. Watanzania kichaa tulichorogwa na wazungu kimeisha tunataka chetu kwenye minerals

Hatujarogwa na wazungu bali mchawi wetu ni CCM, tulipiga kelele miaka mingi juu ya wizi huu lakini serikali ya CCM na bunge lake wakapuuza na kuendekeza uchama zaidi ya weledi na utaifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baadhi yetu Tumekuwa tukihukumu Acacia kwa sababu zilizoibuliwa na kamati za Prof Mruma na Prof Osoro, na miongoni mwa hoja hizo ni Acacia kufanya kazi bila Certificate of Incorporation ( Cheti cha Usajili kutoka Brela), Kutokuwa na Leseni ya uchimbaji madini, Kutoa taarifa potofu juu ya kiwango cha madini kilichopo katika Makinikia kwa kutoa taarifa za chini ( under reporting of mineral contents). Haya yote yakapelekea kamati ya Prof Osoro kuja na hoja ya fedha zinazopotea kiasi cha zaidi ya trillion 100. Na taarifa hizo pia zimetumika na TRA katika ukadiriaji wa kodi, penalty za ukwepaji wa kodi zinazokadiriwa kufikia Trilioni 423 ( Kiwango kinachotafsiriwa kuwa mara 10 ya bajeti ya Chombo cha Uchunguzi wa Anga cha Marekani NASA, Mara nne ya GDP ya Tanzania, kiwango Karibu sawa na GDPs za Tanzania, Kenya na Ethiopia kwa pamoja, Kiwango ambacho ni bajeti ya trillion 20/Yr kwa zaidi ya miaka 20 na zaidi ni kiwango kinachoweza kununua Airbus 380 zaidi ya 1140).
Siku za karibuni Acacia wamefungua kesi ya Usuluhishi katika Mahakama ya kimataifa London ili kujaribu kuuupatia ufumbuzi Mgogoro wake Na Tanzania.
Hoja ya msingi ni Je, Acacia wana hatia?
1. Kwamba Acacia haijasaliliwa na Brela na haina Leseni ya uchimbaji. Kisheria Acacia ina operate kama International companies nyingi duniani, mfano kampuni ya Coca-Cola imesajiliwa kisheria nchini Marekani, na inaendesha shughuli zake dunia nzima, muhimu kufahamu ni kwamba Coca-Cola haizalishi wala kuuza bidhaa yeyote, badala yake kuna Viwanda vinavyozalisha bidhaa za Coca-Cola mfano Kwanza Limited, kisheria Viwanda hivyo vinatakiwa kusajiliwa na mamlaka zote za ndani ikiwemo Brela, na pia wanawajibika kulipa kodi. Coca-Cola kazi yake ni matangazo tu. The same way to Acacia, yeye sio mchimbaji wa madini bali ni kampuni za Pangea na Buly. Hivyo Acacia haiwezi kuhodhi leseni ya uchimbaji kwa sababu sio kampuni ya Uchimbaji bali ni jina la biashara
2. Kwamba Acacia wametoa taarifa za chini juu ya kiwango cha madini : Ukweli ni kwamba moja ya Sifa za International companies ni kutumia makampuni mengine kufanya kazi zao mama za kitaalamu ( Outsourcing), Acacia imeikabidhi kampuni ya kimataifa ya SGS kazi zinazohusu upimaji wa kiwango cha madini kilichopo katika Makinikia, na kwa kutumia majibu hayo, TRA / Shareholders / Wanunuzi wa Makinikia wanatumia findings za SGS/TMAA katika kubaini stahiki yao. Sasa kama Ripoti ya Prof Mruma na Osoro ni sahihi SGS atawajibika kwa niaba ya mteja wake Acacia kulipa tozo zote zinazotokana na under estimation.
3. Mwisho: Ili suala hili lifikie concesus ni lazima pande nyingi zihusishwe, kwanza SGS ambaye ndie mpimaji wa Acacia, Wanunuzi wa Makanikia, Acacia . Na kama wasipokubaliana lazima kuundwe independent panel of investigation ili kubaini ubora wa maabara za SGS, Maabara zilizotumiwa na kamati ya Mruma na njia zilizotumiwa Kama zinakidhi viwango vya kimataifa.


Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe naye ni LISU kumbe! Hivi uko CHADEMA? Ndiyo maana wanachadema wengi hupelekwa kupimwa mkojo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu yaani wewe ni mweupe pee!! Hujuo kitu kabisa hata waliokupa like nao ni weupe peee!! Sijui nianzie wapi hata kukufundisha... basi tu ngoja ninyamaze tu!!
Akawaulize chile .wanawake waliandamana wakiwa uchi hawaitaki barrick,na nchi hawataki hata kuwasikia Hawa matapeli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom