UEFA Champions League 2012 - 1/8. ? UEFA.comWakuu ratiba ya uefa imekaaje mbona sioni chelsea, Madrid wanacheza lini, ratiba imepangwa vp, naangalia goal.com sioni kitu.
Nilikuwa nategemea utaimuvuzisha hii thread kule kwenye uzi husika wa Arsenal. Nashangaa tena wewe ndio umekuwa wa kwanza kushadadia.
Utakuwa ni mwathirika wa matokeo haya si bure. Arsenal ina jukwaa lake humu JF?Nilikuwa nategemea utaimuvuzisha hii thread kule kwenye jukwaa husika la Arsenal. Nashangaa tena wewe ndio umekuwa wa kwanza kushadadia.
With this kind of moderation sijui tunaenda wapi. Just sayn!
Hayo ni makosa madogo madogo tu..nilikuwa namaanisha uzi or thread. Mbona thread nyingine huwa mnaziunganisha?Utakuwa ni mwathirika wa matokeo haya si bure. Arsenal ina jukwaa lake humu JF?
BTW, si uungwana ku-merge threads kubwa kubwa ilhali some matches zinaweza kuwa zinajitegemea. Naamini umeona maboresho yalofanyika kwenye thread husika.
THINK!
Hayo ni makosa madogo madogo tu..nilikuwa namaanisha uzi or thread. Mbona thread nyingine huwa mnaziunganisha?
Yaelekea haya matokeo yamekufurahisha sana..naona mpaka unaipamba pamba title ya hii thread kila dk!
Nia yangu ni huu uzi uunganishwe. Kila mtu akianza kuleta matokeo ya kila match inayochezwa na timu aipendayo, hili jukwaa la sports unategemea litakuwa na hali gani?sasa kama we umekasirishwa na matokeo unataka kila mmoja akasirishwe!?
Nia yangu ni huu uzi uunganishwe. Kila mtu akianza kuleta matokeo ya kila match inayochezwa na timu aipendayo, hili jukwaa la sports unategemea litakuwa na hali gani?
Nia yangu ni huu uzi uunganishwe. Kila mtu akianza kuleta matokeo ya kila match inayochezwa na timu aipendayo, hili jukwaa la sports unategemea litakuwa na hali gani?
Hayo ni makosa madogo madogo tu..nilikuwa namaanisha uzi or thread. Mbona thread nyingine huwa mnaziunganisha?
Yaelekea haya matokeo yamekufurahisha sana..naona mpaka unaipamba pamba title ya hii thread kila dk!
Nilikuwa nategemea utaimuvuzisha hii thread kule kwenye uzi husika wa Arsenal. Nashangaa tena wewe ndio umekuwa wa kwanza kushadadia.
With this kind of moderation sijui tunaenda wapi. Just sayn!
Nia yangu ni huu uzi uunganishwe. Kila mtu akianza kuleta matokeo ya kila match inayochezwa na timu aipendayo, hili jukwaa la sports unategemea litakuwa na hali gani?
Nilikuwa nategemea utaimuvuzisha hii thread kule kwenye uzi husika wa Arsenal. Nashangaa tena wewe ndio umekuwa wa kwanza kushadadia.
With this kind of moderation sijui tunaenda wapi. Just sayn!