Ac milan yaifanyia arsenal kitu mbaya sana,ambacho wa2 walikuwa hawategemei kwa kuipa kipigo cha mbwa mwizi cha mabao 4-0!,mi nasema arsenal ndio bac tena,hana uwezo wa kumfunga bao 5,ktk mechi ya marudiano baada ya wiki 2,hata kama watakuwa kwao,na mnabahati mzee mzima sediof aliumia mapema ingekuwa balaa,bora mi nipo europa,hawa arsenal leo vipi utadhani walikuwa wamelewa!ohoo ac milan wazee haya!kweli Ngoma ya watoto haikeshi.
Ac milan yaifanyia arsenal kitu mbaya sana,ambacho wa2 walikuwa hawategemei kwa kuipa kipigo cha mbwa mwizi cha mabao 4-0!,mi nasema arsenal ndio bac tena,hana uwezo wa kumfunga bao 5,ktk mechi ya marudiano baada ya wiki 2,hata kama watakuwa kwao,na mnabahati mzee mzima sediof aliumia mapema ingekuwa balaa,bora mi nipo europa,hawa arsenal leo vipi utadhani walikuwa wamelewa!ohoo ac milan wazee haya!
Haaa! Unashangaa nini? Hawa ndio Arsenal, na Thierry Henry wao kaka!. Wamekula za uso 4. Boateng, Zlitan, Robinho katupiamo 2. Poleni Arsenal wote kwa kupewa furushi ilo takatifu na AC milan! Lakin msijali, iyo ndo soka! Nyie wa EUROPA ndogo na wazee wa Furushi, Arsenal tusubiri sisi The Blues: tutawapunguzia machungu!!! Chelsea tutatisha sana UEFA mwaka huu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.