BondJamesBond
Member
- Jul 6, 2011
- 85
- 60
Nigeria waliamua kuhamisha mji mkuu na serikali nzima ikahamia Abuja bila mgogoro na wameujenga hasa mji wao, sisi Nyerere alikuja na unafiki wa kuhamisha makao makuu to Dodoma miaka hiyo lakini leo kila anayekuja anakikita Dar
Hivi mnajua kama airport ya Dodoma haina taa usiku?
Hivi kwa nini waandishi wa habari hawaulizi maswali kama haya? na je kulikuwa na umuhimu gani wa kuanzisha CDA na pesa za walipakodi ambazi zlifujwa bila mahesabu?
Last but not least hivi kuna mtu anayo masterplan ya mji wa Dodoma?
Hivi mnajua kama airport ya Dodoma haina taa usiku?
Hivi kwa nini waandishi wa habari hawaulizi maswali kama haya? na je kulikuwa na umuhimu gani wa kuanzisha CDA na pesa za walipakodi ambazi zlifujwa bila mahesabu?
Last but not least hivi kuna mtu anayo masterplan ya mji wa Dodoma?