Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,396
- 7,968
Mungu amjalie heri na apone haraka arudi kwenye mapambano. Adui yetu watanzania ni umaskini, ujinga na maradhi,,, ni bora kuelekeza nguvu kupambana na hao maadui badala ya kupambana na watu kama Kibanda. Mpumbavu pekee huwaza kumdhuru mtu ili kufifisha fikra zake.