comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 8,226
- 5,948
Kibanda: Jeshi la Polisi linapaswa kuundwa upya
Mwanahabari mkongwe Absalom Kibanda akichangia mada katika mkutano wa Wajumbe wa Tume ya Haki Jinai, Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais na Wahariri wa Vyombo vya Habari, amesema “Lazima tuwe wakweli Jeshi la Polisi linapaswa kuundwa upya, kwa namna gani sifahamu lakini kuwe na tahadhari na tuwe makini kwa kuwa Nchi jirani tumeona Askari Polisi wakikimbizwa na raia.”
Ameongeza “Mwaka 2014 nikiwa Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri nilisema kuna haja ya Jeshi la Polisi kufumuliwa kwa kuwa kuna Waandishi walikamatwa na kushirikiliwa licha ya kuwa wao walienda kuripoti kitendo cha kiongozi wa kisiasa kushikiliwa.”
Mwanahabari mkongwe Absalom Kibanda akichangia mada katika mkutano wa Wajumbe wa Tume ya Haki Jinai, Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais na Wahariri wa Vyombo vya Habari, amesema “Lazima tuwe wakweli Jeshi la Polisi linapaswa kuundwa upya, kwa namna gani sifahamu lakini kuwe na tahadhari na tuwe makini kwa kuwa Nchi jirani tumeona Askari Polisi wakikimbizwa na raia.”
Ameongeza “Mwaka 2014 nikiwa Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri nilisema kuna haja ya Jeshi la Polisi kufumuliwa kwa kuwa kuna Waandishi walikamatwa na kushirikiliwa licha ya kuwa wao walienda kuripoti kitendo cha kiongozi wa kisiasa kushikiliwa.”