jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,987
- 22,515
Unaweza kusema kwa uhakika mipaka ya demokrasia ni ipi?Tumepewa uhuru wa kujieleza. Ila usivuke mipaka.
Kuna sheria ya nchi aliyoivunja?
Unaweza kusema kwa uhakika mipaka ya demokrasia ni ipi?Tumepewa uhuru wa kujieleza. Ila usivuke mipaka.
Napenda kurudia kwamba hakuna jeshi lolote duniani hata kama tungekusanya majeshi yote ya dunia hii na kuyaleta Tanzania hawataweza kuizuia nguvu ya umma pale inapokuwa imeamua kufanya mabadiliko.Napenda tena kurudia kwamba si lazima askari mfanye kile ambacho wakubwa wenu wanataka na kuwaamuru kufanya. Tunaweza kusimama imara na kutetea haki za Watanzania tukiwamo na sisi askari. Niliwahi kugoma kutii amri ya kukamatwa na kuwekwa rumande.
Mkuu ile avatar ya Twiga irudishe mara moja moja bana...!Aaaaa kamanda, ndo unaanza kumchongea akamatwe .... lol ...
Jeshi la polisi linamshikilia mhariri wa gazeti la Tanzania Daima, A. Kibanda kwa tuhuma za uchochezi. Kibanda anashikiliwa kwenye makao makuu ya polisi jijini Dar es Salaam.
Jeshi la polisi linamshikilia mhariri wa gazeti la Tanzania Daima, A. Kibanda kwa tuhuma za uchochezi. Kibanda anashikiliwa kwenye makao makuu ya polisi jijini Dar es Salaam.
Mkuu hata Membe ana uraia wa canada....hapo ulipo chukua karatasi haraka....Yo Yo alisema keshachukuwa uraia wa Kenya, sasa sijui ilikuwa mbwembwe tu ama vipi.
Yo Yo bana, without you JF is boring ha ha ha!Mkuu hata Membe ana uraia wa canada....hapo ulipo chukua karatasi haraka....
Mzee umenena kweli inatosha sina la kuongeza.. sana sana povu litanitoka nikianza kunena kwa jazba..CCM has to go bana, inachosha eti,duh!
Miaka yoote hiyomko madarakani na mambo inazidi kuwa mbaya?
Hawana uhalali wa kuendelea kuongoza nchi, we need changes, we need something new!
Most of us are tired with CCM, wana boa ka nini, miaka yote hiyo wako tu na hakuna kinachoendelea, umasikini ndo unazidi, nimegunduwa CCM hawawezi kabisa kubadilisha hali tuliyonayo na hawatakaa waweze, na kwa hiyo tumechoshwa, its time go CCM, msiingize nchi kwenye machafuko kwasababu chama chenu kitafutwa mtakapoondolewa madarakani.
Kwani kafanya nini?
Na uchochezi wake ume egemea wapi?
Kitu gani hasa kinachomtambulisha kuwa yeye ni mchochezi?
Walianza na Jerry Muro,Malecturers wa Ustawi,Lema,wakaja Wanachuo wa UDSM,Jana Mhimbili,leo Kibanda...Maboss wa polisi siku hizi wamepewa Magari ya V8 lazima wafe na mtu...................JK from JW to poltician and today back to his JW proffessional.
Occupy Streets...