Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,347
- 5,553
"Tukiwakamata Mafisadi, Uchumi wa nchi yetu utayumba".....Mizengo Kayanza Peter Pinda, Bungeni 2011
Napenda tu kutambua kwamba kwenda Habari Cop. kwa huyu jamaa ni pigo kwa mageuzi nchini. Alikuwa mwana mageuzi mzuri na tamaa ya maslahi zimemwondoa. Alikuwa askari hodari ila hakuwa Imara. Ameshindwa kusimamia anachoamini na uzalendo wake kwa tamaa ya fedha. Ni pigo kwa mageuzi na ninasikitika! Ameshindwa kuwa imara lakini uhodari wake ulikuwa na faida kubwa sana kwetu! Tutamkumbuka kwa uhodari wake na tutasikitika kwa kutokuwa kwake imara!