Wenye kumfagilia Ansbert wanajidanganya, hana experience ya uongozi, tuko nae hapa tunamjua hana uwezo wa kufanya kazi kukalisha ****** chini, ana mambo chungu mzima yasiyokua ya kikazi yakiwemo kuendesha vox media kwa kutumia mishahara ya Tanzania Daima, hana uwezo wa ku perservea sio kiongozi, mkabila wa hali ya juu kumbuka alivyo mfrustrate charles mulindwa kwa ajili ya kumpendelea yule dada wa kihaya mwenzie a very junior girl aliyeshindwa kazi kwa Bagenda kule eti akaletwa hapo ndio kila kikicha Charles anavuliwa majukumu yake anapewa huyo binti, na kwa vile wakina kibanda walikua wanamsujudia huyo Ansbert wakamuacha amnyanyase mpaka akaondoka.
Ansbert elimu ndogo sio graduate kama Kibanda kwa hiyio ustaarabu mwingi aliokua nao kibanda yeye hana kwa hiyo kama huyo madame Lilian anategemea bwana huyu asiyekua na muda wa kazi za hapa ofisini kuongoza jahazi asahau, kwa sasa yuko busy na ubunge wa chadema ataweza? hata makala zake za mswali magumu zimekua nadra tangu azungumzie ile ya kichwa kama CCM upuuzi mtupu hajaandika chochote, wote wamepoteza Tanzania Daima imempoteza mhariri, na mhariri kapoteza muajiri
Ansbert elimu ndogo sio graduate kama Kibanda kwa hiyio ustaarabu mwingi aliokua nao kibanda yeye hana kwa hiyo kama huyo madame Lilian anategemea bwana huyu asiyekua na muda wa kazi za hapa ofisini kuongoza jahazi asahau, kwa sasa yuko busy na ubunge wa chadema ataweza? hata makala zake za mswali magumu zimekua nadra tangu azungumzie ile ya kichwa kama CCM upuuzi mtupu hajaandika chochote, wote wamepoteza Tanzania Daima imempoteza mhariri, na mhariri kapoteza muajiri