Mwinyi alichemsha!....Kiongozi wa serikali unapokuwa ktk mazingira kama yale ni lazima ufahamu unazungumza na watu gani na katika maziongira gani!.. Mwinyi alichemsha period!..Tazama basi viongozi wanaofahamu jinsi ya deal na issues..
The pope also said that he intends to make an appeal for "international solidarity" for Africa in the face of the global economic downturn.
He said that while the church does not propose specific economic solutions, it can give "spiritual and moral" suggestions...
Spiritual na Moral suggestions...haya nduio maneno, huyo Mwinyi hakufahamu kuwa mkusanyiko ule ulihitaji vitu hivyo sio habari za biashara ktk ngono...Kuna sehemu na wakati wa kuzungumzia mambo hayo..
The pope also said that he intends to make an appeal for "international solidarity" for Africa in the face of the global economic downturn.
He said that while the church does not propose specific economic solutions, it can give "spiritual and moral" suggestions...
Spiritual na Moral suggestions...haya nduio maneno, huyo Mwinyi hakufahamu kuwa mkusanyiko ule ulihitaji vitu hivyo sio habari za biashara ktk ngono...Kuna sehemu na wakati wa kuzungumzia mambo hayo..